Sijawahi Wala sivai cheni miguuniKwani wewe cheni mguu wa kushoto huvai?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi Wala sivai cheni miguuniKwani wewe cheni mguu wa kushoto huvai?
Au Bora masterbation kabisana huo ndio ukweli , ukitomba, vaa kondom 4 au zaidi
Tattoo ni rangi kwenye ngozi.Muhukumu kwa matendo yake/tabia yake sio rangi...kwa hiyo kuchora tatoo ni rangi zao mzeebaba??????
Umeandika vitu vingi sana wala sibishi...Ila hoja yangu ni je, kweli tatoo ni natural color ya mtu,kuwa kazaliwa nayo?....umezungumzia mambo ya suti na kanzu,nadhani mfano wako sio relevant maana swali ni je wewe kama wewe unaweza amua kutembea uchi bila nguo kama ndo new lifestyle yako na usiache watu wakuhukumu kwa kisingizio kuwa that is your choice???.....kuna vitu ni ngumu sana kuvichukulia poa mzeebaba.Tattoo ni rangi kwenye ngozi.
Kwani unafikiri ni sauti?
Main point, usimhukumu mtu kwa jinsi anavyoonekana ukasema mfanyabiashara anavaa suti na mwizi anavaa jeans.
Hata mwizi anaweza kuvaa suti. Na mfanyabiashara akavaa jeans.
Usiishi kwa kukariri tu.
Kuna mfanyabiashara mmoja bilionea wa kimataifa wa Tanzania (juna kapuni kumuhifadhi) alishawahi kufukuzwa benki Uswizi kwa sababu alionekana muafrika mshamba kavaa kanzu kuukuu. Baada ya meneja wa benki kujua hela alizonazo kwenye hiyo benki, ilibidi aombwe msamaha sana.
Do not judge people by appearance.
Kuna watu wako kwenye kazi za creative design kwa mfano, kazi imemkaa mpaka imekuwa lifestyle, kaamua kujichora tattoo kama expression yake ya kuoenda creativity.
Ukiwa na shallow mind utam judge kuwa huyu haramia. Kumbe anapiga kazi na kulipa kodi pengine kukuzidi wewe.
Na hata kama hana kazi, inawezekqna na utu vizuri tu.
Kuna mshua mmoja alikuwa na nyodo sana za kusema vijana vibaya. Kuna vijana fulani walikuwa wanakaa karibu na geti lake. Wana sehemu wanabeba vyuma, wanapiga tattoo etc. Akawa anasema hawa vijana wavuta bangi tu hawana mchango katika jamii.
Siku moja, alikuwa anatoka kwake, gari lake likamharibikia getini. Mzee msomi lakini hajui lolote kuhusu magari zaidi ya kuendesha.
Basi walewale vijana aliokuwa anawasema vibaya wakawa ndio wa kwanza kwenda kumsaidia kutengeneza gari mpaka likawaka vizuri.
Baadaye akawa anawasifia kwamba kumbe wale vijana alikuwa anawaona wahuni na hawana mchango katika jamii, kumbe ni watu wazuri sana tu ukiwajua, wqna msaadq sana, na wanajua hata kutengeneza magari.
Waingereza wana msemo.
Do not judge a book by its cover.
Mimi napenda sana mwanamke mweye ma tatoo, vikuku, vipini puani mdomoni kwenye nyusi nk. Kikubwa nachowapendea ni kuwa hawa wameamua kujiwekea alama kabisa kujitambulisha kwamba wao ni makahaba! Hii inasaidia sana kwa mtu ambae hutaki ukaribu na mwanamke wa aina hiyo wee unakaa mbali mapemaa.
Mgongoni kwa wanaovaa madelaMabegani, mikononi...usoni... kifuani
Kwani wapi nimesema tattoo ni natural color?Umeandika vitu vingi sana wala sibishi...Ila hoja yangu ni je, kweli tatoo ni natural color ya mtu,kuwa kazaliwa nayo?....umezungumzia mambo ya suti na kanzu,nadhani mfano wako sio relevant maana swali ni je wewe kama wewe unaweza amua kutembea uchi bila nguo kama ndo new lifestyle yako na usiache watu wakuhukumu kwa kisingizio kuwa that is your choice???.....kuna vitu ni ngumu sana kuvichukulia poa mzeebaba.
Yaani hapo kuna umeme mkali, kitu kama Megawati 2500akichora tatuu, vaa kondom nne
"Tattoo ni rangi kwenye ngozi.Kwani wapi nimesema tattoo ni natural color?
Mbona unahoji vitu ambavyo sijaandika?
Nimeandik "rangi ya ngozi yake" sijaandika "rangi ya ngozi yake ya asili".
Zaidi, nimekupa muktadha wa nukuu kwa mifano iliyoenda mbali zaidi ya ngozi na rangi, nikaeleza principle hiyo kwa upana kwenye mavazi na hata vitabu.
Kwamba appearance can be deceiving.
Can you read with comprehension?
Are you that stupid?
Or are you just trying to be a troll?
Pia kama appearance can be deceiving wewe ni nani kutaka kulazimisha uelekeo wa maoni yangu juu ya tatoo.Kwani wapi nimesema tattoo ni natural color?
Mbona unahoji vitu ambavyo sijaandika?
Nimeandik "rangi ya ngozi yake" sijaandika "rangi ya ngozi yake ya asili".
Zaidi, nimekupa muktadha wa nukuu kwa mifano iliyoenda mbali zaidi ya ngozi na rangi, nikaeleza principle hiyo kwa upana kwenye mavazi na hata vitabu.
Kwamba appearance can be deceiving.
Can you read with comprehension?
Are you that stupid?
Or are you just trying to be a troll?
Kwani tattoo si rangi kwenye ngozi?"Tattoo ni rangi kwenye ngozi.
Kwani unafikiri ni sauti?"....rejelea hii comment yako hapo juu alafu ndo ujue kati yako na mimi na ni stupid....yaani unakana comment yako mwenyewe alafu unazungumzia mambo ya kuread with comprehension kweliiiii....dooh kazi ipo????
Tatoo ni urembo kongwe sana katika jamii mbalimbali za kiafrika. Wanawake kwa wanaume walijichora tatoo. Urembo huo ulipewa majina na maana tofauti Kati ya jamii na jamii.Mabinti wengi siku hizi wana michoro ya tattoo kwenye miili yao, inaonekana kama ni mtindo, mabinti siku hizi wamezibukia kwenye michoro ya tattoo.
Mimi sijataka kulazimisha uelekeo wa maoni yako juu ya tatto.Pia kama appearance can be deceiving wewe ni nani kutaka kulazimisha uelekeo wa maoni yangu juu ya tatoo.
Wafundishe wapate elimu.Tatoo ni urembo kongwe sana katika jamii mbalimbali za kiafrika. Wanawake kwa wanaume walijichora tatoo. Urembo huo ulipewa majina na maana tofauti Kati ya jamii na jamii.
Hivyo siyo jambo geni.
Hizo Tatoo zilikuwepo Tangu miaka ya Zamani hapa Barani Afrika
Na kwamba Tatooo ilikuwa ni sehemu ya Utamaduni wa Mwafrika.
Mwanafunzi wangu mimi sijambo.Mwalimu hujambo?