Nini sababu ya mikoa ya Kusini kuwa salama sana kibinadamu?

Unaanzaje kumuonea wivu mwanamke wa kimakonde?
Vifupi, sura imekoma na hawana shepu. Nishafika Mtwara na Lindi
Nyumba za kizamani bora hata Masasi kuna nyumba mpya
Cha kushangaza kutoka Dar mpk Mtwara 23,000
Dar to Lindi 23,000
Dar to Masasi 23,000
Mkuu hizi ni nyodo na shombo za kike ambazo wanapaswa kuwa nazo wanawake.

wanaume hawana tabia kama hizi na hawapanic bali wanajibu hoja kwa hoja na facts kwa facts.
 
Hakuna Cha ustaraabu wala Nini.

Watu wa huko bado wako primitive na hawana exposure.

So matukio yanatoka na hayatangazwi.
Kama matukio yanatokea na hayatangazwi wewe umejuaje kama yanatokea?

I can see you're fighting with your own mind!
 
... sidhani kama ni dini. Maana dini hizo hizo zilizoko kusini ndio hizo hizo zilizoko maeneo mengine ya nchi. Mbona hatusikii mauwaji ya kijnga kama hayo yakitokea Ulaya?
basi tuendelee kuzitafuta mkuu!
 
Mi ni mwenyeji wa Mtwara na ni kweli sijawahi kusikia kwa hayo mengi unayoyasema.

Utotoni kulikua na imani kuwa ili usizae albino unatakiwa kujitemea mate kifuani unapomwona albino yoyote yule ingawa kwa kule wapo wachache sana!
hakuna kiongozi, yaani ni nadra mno!
 
Mwaka juzi Magufuli walimtengenezea moshi ambao hata haujulikani umetokea wapi
 
kiongozi hizi ni stori za miaka ya 70 hizi; bila shaka umesimuliwa!
 
Wamwera
 
Habari zinaishiaga hukuhuko maporini, ni remote Sana hayo maeneo
 
Hiyo ndo point. Hakuna pilika za pesa ndio maana pako hivyo ywani ni full umaskini.
Pili usambaaji wa taarifa na huduma za jamii mikoa hii bado ni shida sana
imenibidi nicheke tu kwanza!
wilaya iliyo mbali kuliko zote na inayosemekana ipo porini ni liwale. nilifika huko liwale ndani kabisa katika kuhangaika na maisha na nimekuta vijana kwa wazee wana masmart phones kama kawaida. unazungumzia umaskini, safi kabisa....hivi uko wapi mkuu?!!! singida au simiyu? kigoma au tabora?
wekeni usharobaro, ulimbukeni na ujivuni pembeni tuchambue mambo kigreat thinkers!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…