Nini siri ya mshahara kuwahi sana awamu hii ya 6?

Kuna mtu atakuja na kutoa povu...chakata salary hiyo mkuu tunaishi mara moja tu...mwagilia moyo
ha ha amna wakuniambia kitu niko kwenye utumishi wa umma since 2009 so i used to it pamoja mwamba
 
Ili ziwahi kufika mtaani kupunguza ugumu wa maisha na kuongezazunguko wa pesa 🀸
 
Simple. Hawezi kukuumizwa sehemu zote, ana kufurahisha huku na kukupiga pakubwa sehemu nyingine. Madhara yake mengine ni hapo hapo (Kama tozo na kupanda bei vitu mbalimbali). Madhara mengine ni mtambuka utaumia baadaye ama watoto wako. Kama kukodisha vitalu vya wanyama poli na kuruhusu wanyama hai kusafirishwa nje achilia mbali kwenye madini yetu ambapo usimamizi Sasa hivi ni legelege sana.
 
Mshahara kuwahi?
Ukilipwa tarehe 20 kila mwezi, na anayelipwa tarehe 30 kila mwezi. Utofauti wao ni upi?

Ila watu bana
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ jamaa umeuliza swali la msingi sanaa sema hata kuelewa ulichomaanisha
 
Fala ni wewe hapo,nani kasema salary tayari? Last month uliingia tarehe 22 ,bila shaka kesho utasoma pimbi wewe

Ukiwa muongo muongo uwe una tunza kumbu kumbu !
Juzi tuu kwenye uzi wa kiwanda cha METL (MO) ulisema wewe ni mtumishi wa pale kwa hiyo unaongea unachokijua! Leo tena unasema wewe ni mtumishi wa Umma

Wewe ni muongo muongo muongo ,muongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi binadam mnataka mfanyiwe jema lipi hapa duniani ndio mridhike???
 

Kama ni kampeni basi hii hoja ni dhaifu sana jipange mpaka kufikia uchaguzi uwe na hoja ya maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…