Nini siri ya mshahara kuwahi sana awamu hii ya 6?

Nini siri ya mshahara kuwahi sana awamu hii ya 6?

Mimi naona mwandishi yupo sahihi
Hivi unajua pesa usipoipata kwa wakati ni sawasawa na hasara!
Ukitaka kuishi tofauti na malengo yako wewe pata pesa baada ya wakati. Ni kipindi ambacho mtu utaona umepata pesa nyingi lakini zinaishia kulipa madeni.
Sasa ukipata mshahara tar 21 ndo umepata kwa wakati?
Ukiutumia huo mshahara hadi tar 31 ukaisha ina maana utapewa mwingine tar 21 hapo ni siku 30 za mwezi. Hakuna tofauti yoyote. Labda kwa vile mmeambiwa msifie kila kitu bila kufikiria basi sifieni kupata hiyo tar 21.
 
Hivi ukiwa unapata mshahara kila tarehe 15 unakuwa unawahi sana ee?
 
Toka ameingia madarakani mama Samia amekuwa na akiwahisha kulipa mishahara mapema sana.

Kuna jamaa yangu yupo anafanya kazi "kwa wale jamaa zetu" wameingiziwa salary toka jana tarehe 21. Leo wife nae kaingiziwa mshahara yupo TAMISEMI.

Nini siri ya serikali ya awamu ya sita kulipa mishahara mapema hivi?
Sasa wewe ulitakaje?.
 
aisee jamani ngoja tukale bucket moja ya castle lite nikalale
 
Back
Top Bottom