Nini siri ya mshahara kuwahi sana awamu hii ya 6?

Nini siri ya mshahara kuwahi sana awamu hii ya 6?

Toka ameingia madarakani mama Samia amekuwa na akiwahisha kulipa mishahara mapema sana.

Kuna jamaa yangu yupo anafanya kazi "kwa wale jamaa zetu" wameingiziwa salary toka jana tarehe 21. Leo wife nae kaingiziwa mshahara yupo TAMISEMI.

Nini siri ya serikali ya awamu ya sita kulipa mishahara mapema hivi?
Siri ni tozo
 
Inawezekana kuna uandaaji wa ripoti na uwasilishaji kwa fedha iliyosalia, kabla ya tarehe 25; ili kujipanga upya kwa mwezi mwingine. Kwa sababu hata wakichelewa kulipa, fedha zitaonekana ni nyingi, wakati ni deni. Inawezekana ni mkakati waliojiwekea.
 
Toka ameingia madarakani mama Samia amekuwa na akiwahisha kulipa mishahara mapema sana.

Kuna jamaa yangu yupo anafanya kazi "kwa wale jamaa zetu" wameingiziwa salary toka jana tarehe 21. Leo wife nae kaingiziwa mshahara yupo TAMISEMI.

Nini siri ya serikali ya awamu ya sita kulipa mishahara mapema hivi?
Tatehe 21 hadi tarehe 21 ni siku ngapi?
 
unaongea vice versal mama anachelewesha ila sema account yako unaona frequency za wasafi fm ukiangalia salio so unataka kujua kama umetoka au laah mpaka 23 au 24
 
Mnapumbazwa ili siku yoyote mkijisikia wanyonge kwa kile mnachopokea muambiwe serikali ipo kwenye mchakato muda mrefu kulifanyia kazi hilo suala ndo maana wameanza kuwalipa mshahara kwa tarehe stahiki.

Mkija kustuka 2024 hii hapa jaramba linapigwa mnamchagua tena then hapo anaanza kuwaonyesha rangi yake halisi.
 
Toka ameingia madarakani mama Samia amekuwa na akiwahisha kulipa mishahara mapema sana.

Kuna jamaa yangu yupo anafanya kazi "kwa wale jamaa zetu" wameingiziwa salary toka jana tarehe 21. Leo wife nae kaingiziwa mshahara yupo TAMISEMI.

Nini siri ya serikali ya awamu ya sita kulipa mishahara mapema hivi?
Unatutangazia kwamba umepata mshahara
 
Mshahara unalipwa mapema ili kuhakikisha mfanyakazi amefungwa kisaikolojia ili asiweze kuondoka kazini au kuacha kazi. Kwa kipindi kiref kila mfanyakazi hua anapigia hesabu tareh 30, hivyo akilipwa tarehe 22 automatically akili yake haiko tayari kudeal na hiyo hela mapema, so ataitumia vbaya, by tarehe 30 ashapauka mbaya. So hapo ndoto za tareh 30 ingine znaanza, hana jinsi inabidi akomae tu hadi utoke tena. And the cycle of poverty continues
 
Toka ameingia madarakani mama Samia amekuwa na akiwahisha kulipa mishahara mapema sana.

Kuna jamaa yangu yupo anafanya kazi "kwa wale jamaa zetu" wameingiziwa salary toka jana tarehe 21. Leo wife nae kaingiziwa mshahara yupo TAMISEMI.

Nini siri ya serikali ya awamu ya sita kulipa mishahara mapema hivi?
Waulize misukule ya Mwendazake ila jibu la uhakika ni moja tuu,mama anaupiga mwingi.
 
Back
Top Bottom