Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
We yako siku ngapi?Jeuri yenu ni wiki moja tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We yako siku ngapi?Jeuri yenu ni wiki moja tu.
[emoji2][emoji2][emoji2]ila watuuuuWife alipe madeni yake ya vijora Sasa
Tatizo hujui kiswahiliMkumbuke pia kujipimia kwa urefu wa kamba yenu...
Siri ni tozoToka ameingia madarakani mama Samia amekuwa na akiwahisha kulipa mishahara mapema sana.
Kuna jamaa yangu yupo anafanya kazi "kwa wale jamaa zetu" wameingiziwa salary toka jana tarehe 21. Leo wife nae kaingiziwa mshahara yupo TAMISEMI.
Nini siri ya serikali ya awamu ya sita kulipa mishahara mapema hivi?
Ndiyo UkweliElimu Elimu Elimu.
Tatehe 21 hadi tarehe 21 ni siku ngapi?Toka ameingia madarakani mama Samia amekuwa na akiwahisha kulipa mishahara mapema sana.
Kuna jamaa yangu yupo anafanya kazi "kwa wale jamaa zetu" wameingiziwa salary toka jana tarehe 21. Leo wife nae kaingiziwa mshahara yupo TAMISEMI.
Nini siri ya serikali ya awamu ya sita kulipa mishahara mapema hivi?
Unatutangazia kwamba umepata mshaharaToka ameingia madarakani mama Samia amekuwa na akiwahisha kulipa mishahara mapema sana.
Kuna jamaa yangu yupo anafanya kazi "kwa wale jamaa zetu" wameingiziwa salary toka jana tarehe 21. Leo wife nae kaingiziwa mshahara yupo TAMISEMI.
Nini siri ya serikali ya awamu ya sita kulipa mishahara mapema hivi?
Waulize misukule ya Mwendazake ila jibu la uhakika ni moja tuu,mama anaupiga mwingi.Toka ameingia madarakani mama Samia amekuwa na akiwahisha kulipa mishahara mapema sana.
Kuna jamaa yangu yupo anafanya kazi "kwa wale jamaa zetu" wameingiziwa salary toka jana tarehe 21. Leo wife nae kaingiziwa mshahara yupo TAMISEMI.
Nini siri ya serikali ya awamu ya sita kulipa mishahara mapema hivi?
sio kweli we nawe kufauta mkumbo haujambo magu trh 20 imo kwa wote mama mpaka leo kimya na mwezi wa saba mwaka jana alipelekeka mpaka trh 31Waulize misukule ya Mwendazake ila jibu la uhakika ni moja tuu,mama anaupiga mwingi.
Mbona kashasema itolewe kwani huna taarifaAlipe na wastaafu wanateseka.
Unamdanganya nani wewe fala? Mimi ni staff kwa hiyo huna cha kuniambia,tarehe unazozitaja ni za posho za maaskari.sio kweli we nawe kufauta mkumbo haujambo magu trh 20 imo kwa wote mama mpaka leo kimya na mwezi wa saba mwaka jana alipelekeka mpaka trh 31