staff wa nyokwe unajua unaongea fala mwenzio wa huko ushambani bado mshahara labda kwa wale wa vi laki 7Unamdanganya nani wewe fala? Mimi ni staff kwa hiyo huna cha kuniambia,tarehe unazozitaja ni za posho za maaskari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
staff wa nyokwe unajua unaongea fala mwenzio wa huko ushambani bado mshahara labda kwa wale wa vi laki 7Unamdanganya nani wewe fala? Mimi ni staff kwa hiyo huna cha kuniambia,tarehe unazozitaja ni za posho za maaskari.
mwaka jana mwezi wa saba kaangalie mshamba nn labda wale vilaki 7Unamdanganya nani wewe fala? Mimi ni staff kwa hiyo huna cha kuniambia,tarehe unazozitaja ni za posho za maaskari.
Fala ni wewe hapo,nani kasema salary tayari? Last month uliingia tarehe 22 ,bila shaka kesho utasoma pimbi wewestaff wa nyokwe unajua unaongea fala mwenzio wa huko ushambani bado mshahara labda kwa wale wa vi laki 7
Vilaki 7 vimefanya nini?mwaka jana mwezi wa saba kaangalie mshamba nn labda wale vilaki 7
mwendazake alikuwa anacheka na nyavu mapema sana,kachelewa sana terehe 23Enzi ya mwendazake nipo alosto lindo kwa unaa wa RSM mmoja ghafla sms ikaingia, kucheki ni salary ya december na hapo ni tarehe 19
Hakuna tofauti Mkurugenzi... Huyu mleta Uzi naona haelewi kabisa Hivi vitu.. Anastaajabisha.... Wala hakuna tofauti.Hivi jamani ukilipwa tar 16 had 16 mwezi mwingine. Na tar 30 hadi 30 ya mwezi mwingine.
Kuna tofauti gani hapo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duh madeni yanatia uchiz ila vumilien allah yupo[emoji23][emoji23]Unamdanganya nani wewe fala? Mimi ni staff kwa hiyo huna cha kuniambia,tarehe unazozitaja ni za posho za maaskari.
Unakuwa na madeni kama Unapata salary chini ya mil.1 na Kazi yako haina posho.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duh madeni yanatia uchiz ila vumilien allah yupo[emoji23][emoji23]
Hili nalo ni la kutangaza JF kweli Mkuu.. watu kama wewe ndio mnatusababishia mfumuko wa bei mtaani hukuToka ameingia madarakani mama Samia amekuwa na akiwahisha kulipa mishahara mapema sana.
Kuna jamaa yangu yupo anafanya kazi "kwa wale jamaa zetu" wameingiziwa salary toka jana tarehe 21. Leo wife nae kaingiziwa mshahara yupo TAMISEMI.
Nini siri ya serikali ya awamu ya sita kulipa mishahara mapema hivi?
Wale wadog wadogo ndio mishahara ya chini ila juu badoVilaki 7 vimefanya nini?
Ebu waambie magu ilikuwa 20 wamo kwa wotemwendazake alikuwa anacheka na nyavu mapema sana,kachelewa sana terehe 23
Osieee nzenzestaff wa nyokwe unajua unaongea fala mwenzio wa huko ushambani bado mshahara labda kwa wale wa vi laki 7
Mletamada analeta propaganda na sifa zisizo na msingi. Mwezi wa mshahara ni ule ule ukianzia tarehe yoyoteHivi jamani ukilipwa tar 16 had 16 mwezi mwingine. Na tar 30 hadi 30 ya mwezi mwingine.
Kuna tofauti gani hapo?
Hiyo magazijuto nimeipenda.Hivi jamani ukilipwa tar 16 had 16 mwezi mwingine. Na tar 30 hadi 30 ya mwezi mwingine.
Kuna tofauti gani hapo?
Ongai, uhumue zezeOsieee nzenze