Nini siri ya mshahara kuwahi sana awamu hii ya 6?

Nini siri ya mshahara kuwahi sana awamu hii ya 6?

Mshahara hauwahi mshahara unaingia siku il. Wanarudisha siku nyuma tuu mzunguko ni ule ulw siku 30.
Wafanyakazi bwana!
 
Toka ameingia madarakani mama Samia amekuwa na akiwahisha kulipa mishahara mapema sana.

Kuna jamaa yangu yupo anafanya kazi "kwa wale jamaa zetu" wameingiziwa salary toka jana tarehe 21. Leo wife nae kaingiziwa mshahara yupo TAMISEMI.

Nini siri ya serikali ya awamu ya sita kulipa mishahara mapema hivi?
Hata tarehe 10 ukilipwa ni sawa kwani za wizi?
 
Watu wakikuchukia bwana, huwa inafurahisha Sana kusoma komenti zao......Leo wamejikausha na kujivika ujinga WA kutoelewa umuhimu WA mshahara kuwahi Kwa kigezo kuwa siku ni zilezile 30 (ama kweli chuki huleta upofu na dumazo la akili)!! Kipindi cha mtangulizi wake ilikuwa sifa Tupu mshahara ukiwahi sababu walimpenda wenyewe...usingeliona mada za kukandia.

Anyway, mama ye nafikiri anatekeleza Nia ya mtangulizi wake ya kulipa mshahara mapema km ambavyo alikuwa akijitahidi. Sidhani km Hili Linamsumbua ktk kusifiwa au kukandia!!
 
Toka ameingia madarakani mama Samia amekuwa na akiwahisha kulipa mishahara mapema sana.

Kuna jamaa yangu yupo anafanya kazi "kwa wale jamaa zetu" wameingiziwa salary toka jana tarehe 21. Leo wife nae kaingiziwa mshahara yupo TAMISEMI.

Nini siri ya serikali ya awamu ya sita kulipa mishahara mapema hivi?
Hiyo kazi ya JPM acha uchawa pro max 13
 
Hao wanaosema salary tayari mbona kwangu bado, wako vitengo gani wenyewe!

Mimi tangu jana nikisikia sms kwenye simu najua tayari lakini ninachokutana nacho ni Afyacall na postcode nakwama wapi mimi
mshahara bado hata kwangu ila nimeaangalia salary slip ya mwezi may iko tayariii wajuzi mtujuze
 
Hao wanaosema salary tayari mbona kwangu bado, wako vitengo gani wenyewe!

Mimi tangu jana nikisikia sms kwenye simu najua tayari lakini ninachokutana nacho ni Afyacall na postcode nakwama wapi mimi
,😁😁😁😁
 
Naona mlioajiriwa mnavimba tu hapa [emoji3]


Ila sms ya hela ni tamu sana utaskia kiasi fulani kimewekwa kwenye account yako inayoishia .....
 
Back
Top Bottom