Nini Siri ya Rais Samia "Kumtumbua Boss" Usalama wa Taifa?

Nini Siri ya Rais Samia "Kumtumbua Boss" Usalama wa Taifa?

Once a DG wa TISS always a DG wa TISS.


Hapo ni TISS kazini.


Usinisemeshe mengi.
 
Sababu kubwa ni rais kutimiza majukumu yake. Kama unaona kuna la ziada hilo ni juu yake. Hakuna sheria iliyovunjwa ni jambo la kawaida.
 
Haya mambo aliyaanza JPM chuma ya kutumbua na kubadilisha wakuu wa kaya kule kitengoni wakati wa JK au mkapa hukusikia mkuu wa Tiss anatumbuliwa mara anahamishwa. Marehemu Mzee Khatibu angekuwa hai naye angeteuliwa .
Wanakurupuka kuteua ndio maana mabadiliko kila siku.
 
DPW inaondoka na wengi sana.
*Ndugai.
*Diwani.
*Hussein Massoro.
 
Idara.. sijajua qualities za kuwa ktk IDARA... Naona kuna uwalakini mahari.

So far..... Jeshi limekaa pale haliguswi guswi
 
WA TANZANIA NI WASAULIFU ILA KILICHOMTOA SIWA NI ISSUE YA SATIVA KASHINDWA FUATILIA ALITEKWA NA NANI NA MAMA HATAKI DAMU SASA MILLION 35 KUONDOKA HIVYI HIVYI NI UJINGA
 

Leo Rais Samia ametumbua aliyekuwa Boss wa TISS (Usalama wa Taifa), Bw. Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi na kumeteua Boss Mpya Balozi Ali Idi Siwa

Wanajamavi, watu wenye connection, wajuzi wa mambo, tuambiane nini chanzo cha Massoro kuliwa kichwa mapema hivi?

Soma:
- Rais Samia amteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa
Katika Idara ambayo rais wa sasa amejua kuigaragaza na kuiondolea ule ukuu wake ni idara ya Usalama wa Taifa
 
Back
Top Bottom