Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakurupuka kuteua ndio maana mabadiliko kila siku.Haya mambo aliyaanza JPM chuma ya kutumbua na kubadilisha wakuu wa kaya kule kitengoni wakati wa JK au mkapa hukusikia mkuu wa Tiss anatumbuliwa mara anahamishwa. Marehemu Mzee Khatibu angekuwa hai naye angeteuliwa .
🤣🤣Mcheki Maulid Kitenge au Zembwela
Kwa Meli mbovu na iliyotoboka, hata ubadilishe Manahodha mara milioni mia, bado lazima itazama tu.Chungu kilivuja na mzibaji akachelewa kuziba
OkHuenda Massoro ameshindwa kumtia nguvuni yule Raia Mzalendo namba 1 kwa sasa ambaye alivujisha mkataba wa DP World
Kitenge atakuja na majibu jumatatu.
Leo Rais Samia ametumbua aliyekuwa Boss wa TISS (Usalama wa Taifa), Bw. Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi na kumeteua Boss Mpya Balozi Ali Idi Siwa
Wanajamavi, watu wenye connection, wajuzi wa mambo, tuambiane nini chanzo cha Massoro kuliwa kichwa mapema hivi?
Soma:
- Rais Samia amteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa
Katika Idara ambayo rais wa sasa amejua kuigaragaza na kuiondolea ule ukuu wake ni idara ya Usalama wa Taifa
Leo Rais Samia ametumbua aliyekuwa Boss wa TISS (Usalama wa Taifa), Bw. Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi na kumeteua Boss Mpya Balozi Ali Idi Siwa
Wanajamavi, watu wenye connection, wajuzi wa mambo, tuambiane nini chanzo cha Massoro kuliwa kichwa mapema hivi?
Soma:
- Rais Samia amteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa
Mteua na mtenguaji ndo ana siri.
Leo Rais Samia ametumbua aliyekuwa Boss wa TISS (Usalama wa Taifa), Bw. Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi na kumeteua Boss Mpya Balozi Ali Idi Siwa
Wanajamavi, watu wenye connection, wajuzi wa mambo, tuambiane nini chanzo cha Massoro kuliwa kichwa mapema hivi?
Soma:
- Rais Samia amteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa
Unawajua watumishi wa umma?Huyo ni mtumishi wa umma hivyo hilo ni haki yake.