HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
NDC kama mkufunziNa diwani yupo wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NDC kama mkufunziNa diwani yupo wapi?
Diwani yupo alipoNa diwani yupo wapi?
Swqhiba alitoboa pakacha likavija na mpaka sasa mwezi wa tatu unakatika hali ni tete.
Leo Rais Samia ametumbua aliyekuwa Boss wa TISS (Usalama wa Taifa), Bw. Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi na kumeteua Boss Mpya Balozi Ali Idi Siwa
Wanajamavi, watu wenye connection, wajuzi wa mambo, tuambiane nini chanzo cha Massoro kuliwa kichwa mapema hivi?
Soma:
- Rais Samia amteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa
Nina wasi wasi na Kajenjegele philip Mwabukusi
Leo Rais Samia ametumbua aliyekuwa Boss wa TISS (Usalama wa Taifa), Bw. Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi na kumeteua Boss Mpya Balozi Ali Idi Siwa
Wanajamavi, watu wenye connection, wajuzi wa mambo, tuambiane nini chanzo cha Massoro kuliwa kichwa mapema hivi?
Soma:
- Rais Samia amteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa
We mkataba wa milele unajua maana yake lakinLete ushaid wakuuza izo bandari
Mkataba wa milele unajua maana yake lakinBandari zimeuzwaje?
we utakuwa sukuma gang. mama tunae mpaka2030Sijui watanzania muhakikishiwe vipi huyo mama tunalazimisha tu hiyo nafasi sio ya size yake.
Hivi unawezaje kukosea kufanya teuzi za nafasi sensitive kama hizo unabadili makatibu wakuu na DG wa usalama kirahisi kushinda mawaziri.
Hizo teuzi sio za mzaha kama za ma DC, kubadili badili hao watu ni ishara tosha huyo mama ashauriki katika mambo muhimu ya usalama na dira ya nchi.
Kashikwa akili na genge la wahuni kama washauri wake wakimwambia weka mzanzibari anadhani atavumilia uharibifu unaofanywa na genge la wahuni; kwa taarifa yake hakuna nyoka wazalendo wa Tanzania kama wanaotokea visiwani.
Busara ni kumshauri huyo mama kutofikiria 2025 ameshaharibu nchi vya kutosha ndani ya muda mfupi.
kwani miaka yote walipo kuwa ni wakristo waislamu hawakuwepo.Kwa hiyo miaka hii hakuna Wakristo wenye uwezo DG Tiss?
Kwani kuwa Waislamu limekuwa tatizo tangu lini. Usituletee utamaduni na siasa za kibaguzi kwenye taifa. Kama unataka kumkosoa, tafuta hoja yenye mashiko.Kwa nini wote miaka hii ni lazima tu Wawe waislam?
Huyu hatabadilishwa ila kitakachofata labda kifo chenye utata ambacho kitamtoa kwenye lango moja kwa moja. vinginevyo atasubiri chaguzi ndo aondoke.Nae akibadilishwa faster faster mtakuja semaje tena
Kuvuja kwa mkataba wa bandari
Leo Rais Samia ametumbua aliyekuwa Boss wa TISS (Usalama wa Taifa), Bw. Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi na kumeteua Boss Mpya Balozi Ali Idi Siwa
Wanajamavi, watu wenye connection, wajuzi wa mambo, tuambiane nini chanzo cha Massoro kuliwa kichwa mapema hivi?
Soma:
- Rais Samia amteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa
Hata death ni jambo la mileleWe mkataba wa milele unajua maana yake lakin
Au MwashambwaMcheki Maulid Kitenge au Zembwela
Mbona nchi inakwenda vizuri na inazidi kuimarika katika kila sekta na hata watanzania wanafuraha zaidi kuliko awamu ya tano labda uwe Bogus na mvivu, utaona tabu.Sijui watanzania muhakikishiwe vipi huyo mama tunalazimisha tu hiyo nafasi sio ya size yake.
Hivi unawezaje kukosea kufanya teuzi za nafasi sensitive kama hizo unabadili makatibu wakuu na DG wa usalama kirahisi kushinda mawaziri.
Hizo teuzi sio za mzaha kama za ma DC, kubadili badili hao watu ni ishara tosha huyo mama ashauriki katika mambo muhimu ya usalama na dira ya nchi.
Kashikwa akili na genge la wahuni kama washauri wake wakimwambia weka mzanzibari anadhani atavumilia uharibifu unaofanywa na genge la wahuni; kwa taarifa yake hakuna nyoka wazalendo wa Tanzania kama wanaotokea visiwani.
Busara ni kumshauri huyo mama kutofikiria 2025 ameshaharibu nchi vya kutosha ndani ya muda mfupi.
Ule ni mkataba Chief sio uhai wa kiumbe useme mmoja wapo akifa mkataba umeisha. Hiyo ni kimoja.Hata death ni jambo la milele
Bro kawaida huwa kunakuwaga na serIkali nyuma ya serikali na Yule unaemdhania ndie sie. Ila nakuhakikishia hii nchi kama hao invisible government wataendelea kuwepo sahaun maendeleo endelevu.
Leo Rais Samia ametumbua aliyekuwa Boss wa TISS (Usalama wa Taifa), Bw. Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi na kumeteua Boss Mpya Balozi Ali Idi Siwa
Wanajamavi, watu wenye connection, wajuzi wa mambo, tuambiane nini chanzo cha Massoro kuliwa kichwa mapema hivi?
Soma:
- Rais Samia amteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa