Nini Siri ya Rais Samia "Kumtumbua Boss" Usalama wa Taifa?

Nini Siri ya Rais Samia "Kumtumbua Boss" Usalama wa Taifa?

Sijui watanzania muhakikishiwe vipi huyo mama tunalazimisha tu hiyo nafasi sio ya size yake.

Hivi unawezaje kukosea kufanya teuzi za nafasi sensitive kama hizo unabadili makatibu wakuu na DG wa usalama kirahisi kushinda mawaziri.

Hizo teuzi sio za mzaha kama za ma DC, kubadili badili hao watu ni ishara tosha huyo mama ashauriki katika mambo muhimu ya usalama na dira ya nchi.

Kashikwa akili na genge la wahuni kama washauri wake wakimwambia weka mzanzibari anadhani atavumilia uharibifu unaofanywa na genge la wahuni; kwa taarifa yake hakuna nyoka wazalendo wa Tanzania kama wanaotokea visiwani.

Busara ni kumshauri huyo mama kutofikiria 2025 ameshaharibu nchi vya kutosha ndani ya muda mfupi.

Usimtusi Rais.
 
Usimtusi Rais.
Acha mikwara

Angalia Tinubu kashinda lini uraisi na imechukua muda gani kufanya vetting ya watu anaodhani wanafaa kwenda nae.

Baraza lenyewe la mawaziri imemlazimu kulimalizia mwezi huu sababu inabidi kuwe na serikali kamili (executive government) kutokana ulazima wa Nigeria kuwa na maamuzi ya ku deal na matatizo ya nchi jirani ambayo yanahitaji executive powers.

Wewe unateua makatibu wakuu viongozi (wengine siku moja tu baada ya kula kiapo) na kutengua wengine mbele ya kadamnasi, unabadili wakurugenzi wa usalama kila mwaka; ni ishara tosha Ikulu kuna shida maana hao ndio washauri wakuu wa raisi.

Sasa kama uelewani na hao watu kila mwaka na wengine hata mwaka awamalizi its not rocket science hawakubaliani katika mambo muhimu katika mwelekeo wa taifa; na katika hali kama hiyo siku zote kwa wafahamu wa siasa za nchi zinavyoendeshwa DG wa usalama na katibu mkuu wanakuwa sahihi, yeye ndio tatizo.

Hao watu they were trained for those roles ya kuangalia maslahi ya nchi. Na wamechukua muda mrefu sana wa uzoefu wa kazi kuzingatiwa katika hizo nafasi. Kwa hivyo unapofanya hizo teuzi uheshimu hizo nafasi.
 
Back
Top Bottom