Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikutano ya CHADEMA
Leo Rais Samia ametumbua aliyekuwa Boss wa TISS (Usalama wa Taifa), Bw. Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi na kumeteua Boss Mpya Balozi Ali Idi Siwa
Wanajamavi, watu wenye connection, wajuzi wa mambo, tuambiane nini chanzo cha Massoro kuliwa kichwa mapema hivi?
Soma:
- Rais Samia amteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa
Huenda ni maelekezo kutoka kwa Mzee wa Msoga na timu yake iliyo ndani ya Serikali ya Mama!
Sijui watanzania muhakikishiwe vipi huyo mama tunalazimisha tu hiyo nafasi sio ya size yake.
Hivi unawezaje kukosea kufanya teuzi za nafasi sensitive kama hizo unabadili makatibu wakuu na DG wa usalama kirahisi kushinda mawaziri.
Hizo teuzi sio za mzaha kama za ma DC, kubadili badili hao watu ni ishara tosha huyo mama ashauriki katika mambo muhimu ya usalama na dira ya nchi.
Kashikwa akili na genge la wahuni kama washauri wake wakimwambia weka mzanzibari anadhani atavumilia uharibifu unaofanywa na genge la wahuni; kwa taarifa yake hakuna nyoka wazalendo wa Tanzania kama wanaotokea visiwani.
Busara ni kumshauri huyo mama kutofikiria 2025 ameshaharibu nchi vya kutosha ndani ya muda mfupi.
The duration for such a big change is short.
Huenda Massoro ameshindwa kumtia nguvuni yule Raia Mzalendo namba 1 kwa sasa ambaye alivujisha mkataba wa DP WorldNi mabadiliko ya kawaida katika utumishi tu mkuu.
Bandari zimeuzwaje?Bora ngosha mara mia bro. Nilikuwa cmkubali matendo yake lakin hili la kuuza bandari zote huyu mama kanitoka kabisa.
Ni kweli na zinaweza kukupotezea maisha piaStay calm, kupata habari nyingi hasa za Siri kunaweza kukupotezea maana ya maisha.
Ref.KombeNi kweli na zinaweza kukupotezea maisha pia
Lete ushaid wakuuza izo bandariBora ngosha mara mia bro. Nilikuwa cmkubali matendo yake lakin hili la kuuza bandari zote huyu mama kanitoka kabisa.
Acha mikwaraUsimtusi Rais.
Wewe na naniIt does not matter . Mtambue na mzoee mama tunaenda nae hadi 2030,
Anaweza
Huyo mkuu wa Tiss itakuwa anataka kutoa siri kuwa hiyo DP World ni ya wajanja wa hapa hapa nchini wala sio ya Dubai. Au ndio aliyevujisha huo mkataba wa kitapeli na kusababisha zogo lote hili.Ngoja nimuulize kwanza huyu Boss la DP World. Labda atakuwa na majibu.
Kama dhalimu na mikwara yote ile leo kasahaulika itakuwa huyo?It does not matter . Mtambue na mzoee mama tunaenda nae hadi 2030,
Anaweza
Si tulikubaliana Rais anaangalia sifa ya utendaji sio dini?Kwa nini wote miaka hii ni lazima tu Wawe waislam?
Kwa hiyo miaka hii hakuna Wakristo wenye uwezo DG Tiss?si tulikubaliana Rais anaangalia sifa ya utendaji sio dini?
🤐🤐🤐😭
Leo Rais Samia ametumbua aliyekuwa Boss wa TISS (Usalama wa Taifa), Bw. Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi na kumeteua Boss Mpya Balozi Ali Idi Siwa
Wanajamavi, watu wenye connection, wajuzi wa mambo, tuambiane nini chanzo cha Massoro kuliwa kichwa mapema hivi?
Soma:
- Rais Samia amteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa