Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Majungu ni mtaji wako....Ukikwamisha tu uuzaji wa bandari lazima utumbuliwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majungu ni mtaji wako....Ukikwamisha tu uuzaji wa bandari lazima utumbuliwe.
Usemi tu.Kwani Siwa ni wa kizimkazi ?!!! [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787]
Kuvuja kwa mikataba ya bedui
Leo Rais Samia ametumbua aliyekuwa Boss wa TISS (Usalama wa Taifa), Bw. Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi na kumeteua Boss Mpya Balozi Ali Idi Siwa
Wanajamavi, watu wenye connection, wajuzi wa mambo, tuambiane nini chanzo cha Massoro kuliwa kichwa mapema hivi?
Soma:
- Rais Samia amteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa
Chungu kilivuja na mzibaji akachelewa kuzibaNgoja nimuulize kwanza huyu Boss la DP World. Labda atakuwa na majibu.
Mmbwa mmmoja ww,Samia kafanya mengi mazuri ukilinganisha na yule shhetani mmuaji aliyepora fedha zetuSijui watanzania muhakikishiwe vipi huyo mama tunalazimisha tu hiyo nafasi sio ya size yake.
Hivi unawezaje kukosea kufanya teuzi za nafasi sensitive kama hizo unabadili makatibu wakuu na DG wa usalama kirahisi kushinda mawaziri.
Hizo teuzi sio za mzaha kama za ma DC, kubadili badili hao watu ni ishara tosha huyo mama ashauriki katika mambo muhimu ya usalama na dira ya nchi.
Kashikwa akili na genge la wahuni kama washauri wake wakimwambia weka mzanzibari anadhani atavumilia uharibifu unaofanywa na genge la wahuni; kwa taarifa yake hakuna nyoka wazalendo wa Tanzania kama wanaotokea visiwani.
Busara ni kumshauri huyo mama kutofikiria 2025 ameshaharibu nchi vya kutosha ndani ya muda mfupi.
DP WORLD saga
Leo Rais Samia ametumbua aliyekuwa Boss wa TISS (Usalama wa Taifa), Bw. Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi na kumeteua Boss Mpya Balozi Ali Idi Siwa
Wanajamavi, watu wenye connection, wajuzi wa mambo, tuambiane nini chanzo cha Massoro kuliwa kichwa mapema hivi?
Soma:
- Rais Samia amteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa
NoKwani Siwa ni wa kizimkazi ?!!! [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787]
Maelekezo ya Kikwete na Dp World
Leo Rais Samia ametumbua aliyekuwa Boss wa TISS (Usalama wa Taifa), Bw. Said Hussein Massoro ambaye ameteuliwa kuwa Balozi na kumeteua Boss Mpya Balozi Ali Idi Siwa
Wanajamavi, watu wenye connection, wajuzi wa mambo, tuambiane nini chanzo cha Massoro kuliwa kichwa mapema hivi?
Soma:
- Rais Samia amteua Balozi Ali Idi Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa
Nae akibadilishwa faster faster mtakuja semaje tenaBalozi Siwa ni mtu mnyenyekevu, mpole kama Membe na wanafanana wajihi. Ataimudu idara ila aanze na kuwachomoa machekbob wa kwenye idara hiyo wakale uDAS. Afanye usafi wa nguvu
Chawa,, [emoji1][emoji1][emoji1]Ngoja nimuulize kwanza huyu Boss la DP World. Labda atakuwa na majibu.
Chaga 1No
Nafkiri ni mtu wa tanga
Bora ngosha mara mia bro. Nilikuwa cmkubali matendo yake lakin hili la kuuza bandari zote huyu mama kanitoka kabisa.Mmbwa mmmoja ww,Samia kafanya mengi mazuri ukilinganisha na yule shhetani mmuaji aliyepora fedha zetu
The duration for such a big change is short.3 in 2 years? No
Naam sikupingiStay calm, kupata habari nyingi hasa za Siri kunaweza kukupotezea maana ya maisha.