Nini siri ya timu nyingi kuzikamia Yanga?

Nini siri ya timu nyingi kuzikamia Yanga?

Kila timu inacheza kutafuta ushindi na kama ikihisi kuzidiwa ubora na anayecheza nae basi hutafuta hata sare
Ukiwa hujaandaa timu yako vizuri ni rahisi kuhisi unakamiwa lakini si kweli unakamiwa ni ubora wako mdogo ndio unakufanya upate magoli kwa mbinde.
Ukiwa na kikosi bora huwezi kulalamika kukamiwa na wala hakuna logic kwenye kukamiwa isipokuwa ni kuzidiwa uwezo kwenye mechi husika.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
65% yanga bingwa, zingine ni kelele tu
Me naona waongeze kukamia ili kutuongezea ubora
 
Nimejiuliza hili swali nimekosa jibu ni Siri gani timu za ligi kuu kuikamia Yanga.

Yanga ndio timu inayopata ushindi wa halali ligi kuu, Yanga ndio timu inayoongoza kusaka magoli kwa kuvuja jasho jingi, timu nyingi za ligi kuu zikicheza na yanga zinakamia mnoo zinajitoa kwa 100%, zinatumia kila aina ya mbinu either chafu or Nzuri kupata matokeo au kutoa droo.

Yanga imekua muhanga wa timu nyingi kupoteza muda pamoja na kupaki basi pindi zichezapo na yanga hili ni tofauti kabisa na timu nyingine zinapokutana iwe Azam, Simba, Singida united et al timu zinafunguka na kucheza mpira. Je ni ile idadi kubwa ya magoli yaliyokua yanafungwa na Yanga?
Alipata kusema Ali Kamwe mashabiki wa Yanga wanadhulumiwa viingilio vyao kwa aina hii ya uchezaji wa timu pinzani, na bongo bado tatizo la kuongeza muda uliopotea ni tatizo zinapotezwa dakika nyingi ila utashangaa zinaongezwa dakika 3 kama vile wamekariri kwamba ni lazima ziwe tatu au nne wakati kuna gemu unaona kabisa zinatakiwa kuongezwa hata dakika 10.

Nimeangalia gemu ya Tabora United vs Simba, Tabora united walifunguka na wakawa wanapishana na wachezaji wa simba ndio maana wakawa wanaacha nafasi na kuchezea magoli 4 japo magoli mengine yalikua mepesi sana asante golikipa Nobo.

Ni wakati wa Tff kuja na muarobaini wa hizi timu zinazopoteza muda wanatunyima ladha ya mpira, wanatukatili viingilio vyetu mashabiki.
Ukweli mtupu

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Mkubwa ni mkubwa tu, Yanga ni tishio kubwa kwa Tanzania na Afrika mashariki na kati kwa ujumla
 
naona unazungumzia mambo ya google miaka ileee zungumzia ishu ya juzi juzi hapo.
Kwanini hiyo ya google huitaki wakati ulikandwa,ukiwa unaelezea jambo usiwe biased kuzungumza eleza kila kitu maana historia haifutiki kama tar ya uhuru vile, tunaweka mambo sawa ili vizazi ijue historia halisi nani kafungwa magoli mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini tusirudi kwenye zile 5-0 ambazo hamjazilipa,achilia mbali zile 6-0?sizungumzii nne nne ambazo mmepigwa nyingi tu
Sisi tulianza na 5-0 ndio mkaja na sita kama vp tutarudi tu huko tulikowabikiri kwa 5-0
 
Hakuna hata kukamia ila timu ya Yanga wachezaji wamerudi chini viwango vyao kutokana na mapumziko waliyopewa
Hakuna cha mapumziko..hawa mammbwa madawa yao ya kichawi yameanza kuisha nguvu
 
Siyo bure, watakuwa wanaagizwa na Makolo Wizard wakishirikiana na baba yao Tifua tifua
 
Nimejiuliza hili swali nimekosa jibu ni Siri gani timu za ligi kuu kuikamia Yanga.

Yanga ndio timu inayopata ushindi wa halali ligi kuu, Yanga ndio timu inayoongoza kusaka magoli kwa kuvuja jasho jingi, timu nyingi za ligi kuu zikicheza na yanga zinakamia mnoo zinajitoa kwa 100%, zinatumia kila aina ya mbinu either chafu or Nzuri kupata matokeo au kutoa droo.

Yanga imekua muhanga wa timu nyingi kupoteza muda pamoja na kupaki basi pindi zichezapo na yanga hili ni tofauti kabisa na timu nyingine zinapokutana iwe Azam, Simba, Singida united et al timu zinafunguka na kucheza mpira. Je ni ile idadi kubwa ya magoli yaliyokua yanafungwa na Yanga?
Alipata kusema Ali Kamwe mashabiki wa Yanga wanadhulumiwa viingilio vyao kwa aina hii ya uchezaji wa timu pinzani, na bongo bado tatizo la kuongeza muda uliopotea ni tatizo zinapotezwa dakika nyingi ila utashangaa zinaongezwa dakika 3 kama vile wamekariri kwamba ni lazima ziwe tatu au nne wakati kuna gemu unaona kabisa zinatakiwa kuongezwa hata dakika 10.

Nimeangalia gemu ya Tabora United vs Simba, Tabora united walifunguka na wakawa wanapishana na wachezaji wa simba ndio maana wakawa wanaacha nafasi na kuchezea magoli 4 japo magoli mengine yalikua mepesi sana asante golikipa Nobo.

Ni wakati wa Tff kuja na muarobaini wa hizi timu zinazopoteza muda wanatunyima ladha ya mpira, wanatukatili viingilio vyetu mashabiki.
Mimi Nadhani hii ni advantage kwa Yanga maana wanakomazwa. Hii itawasaidia hasa watakavyokuwa wanacheza na timu za nje.
Ona
View: https://youtu.be/dhwZHL_-Y8E
 
Kwa nini tusirudi kwenye zile 5-0 ambazo hamjazilipa,achilia mbali zile 6-0?sizungumzii nne nne ambazo mmepigwa nyingi tu
Dai 6-0 zako tu, 5-0 ulikopeshwa ndio ukalipa, hivi sasa umekopeshwa tena 5-1
 
Waambieni hao wachezaji kuna maisha nje ya utopolo. Hakuna mchezaji anaeamini ulozi atasajiliwa na timu ya maana.
Gadiel Michael mliyekua mnashikisha matunguli kipindi yupo kwenu now kasajiliwa ligi ya PSL South Africa
 
Anaekamia anatafuta sare na huku akijaribu kuvizia goli la ngekewa la kauta atak.
Wewe ndugu yangu umegaragazwa [emoji2772]G bado unasema watu wamekukamia?
Huko serious kwa kweli.
 
Yaani mtu na akili zako (kama unazo) unakuja na mada dhaifu kama hii!! Kukamia ndiyo nini? Yaani unataka wacheze kidhaifu ili iwe nini?
Ukizoea kubebwa na kuhonga ndiyo matokeo yake kama hivi.

Rudia kusoma mada yako mara nyingi ugundue ulivyo mwepesi.
Huyu jamaa hajui mpira kabisa, kwahiyo alitaka wachezeje?
 
Back
Top Bottom