Nini siri ya timu nyingi kuzikamia Yanga?

Kalpana Sema ukweli ahadi mnazowapa nyie na Azam 😀😀,Vp ule uchawi wa Al Hassan Mwinyi stadium uliuona? Mchana kweupeeeee.......watu mnaothubutu kuchoma moto hadi kiwanjani tena ugenini bila aibu Kwa maelekezo ya mganga?😀😀2
 
.
 
Hakuna hata kukamia ila timu ya Yanga wachezaji wamerudi chini viwango vyao kutokana na mapumziko waliyopewa
Ila wanapumuzishwa sana nadhani kuna hajakuwa na vikosi shindani ili wengine wakienda likizo kusiwe na tofauti ya viwango
 
UPUMBAVU HAUTAKUJA KUISHA...

ULITAKA WACHEZAJI WASIKAMIANE, SASA UTAKUWA NI USHINDANI GANI AU ITAKUWA LIGI GANI???????

MUWE MNAFICHA UPUMBAVU WENU.
 
Utaropoka sana kama unakaribia kukata roho vile.
 
Acheni uzwazwa basi mtani...ule ungekua uchawi ungechukuliwa hatua...pale Alhasan Mwinyi ni poda ya kufunika mashimo...hamuoni watu wametulia? Ingekua uchawi kusingekalika...
 
Acheni uzwazwa basi mtani...ule ungekua uchawi ungechukuliwa hatua...pale Alhasan Mwinyi ni poda ya kufunika mashimo...hamuoni watu wametulia? Ingekua uchawi kusingekalika...
Leta ushahidi tano za yanga kuwa walozi na mm nilete ushahidi tano za simba kuwa walozi.
Picha au video ni muhimu
Nakusubria wewe kolo princess
 
Leta ushahidi tano za yanga kuwa walozi na mm nilete ushahidi tano za simba kuwa walozi.
Picha au video ni muhimu
Nakusubria wewe kolo princess
Hahaha sijatunza ushahidi...hebu shusha za Simba...mr Uto
 

Kwahiyo mlikua mnataka mlegezewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hii nchi ngumu sana aiseee
 
Yani watu wanalilia kulegezewa....
Hahahahahah
 
Wachawi FC a.k.a Mbumbumbu FC, Makolo FC etc mna makasiriko sana..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…