Nini tafsiri ya Megawatts 2,115 za umeme wa bwawa la Mwalimu Nyerere (Stiegler's Gorge)?

Mkuuu hapo kwa Kinyerezi kuzalisha 1556MW ni typing error au na wewe haujui.?
Kinyerezi pale kuna plant mbili.
Kinyerezi 1 Gas power plant maarufu kama k1 na Kinyerezi 2 Thermal power plant/Combined Cycle power plant.
Hii K1 inazalisha 150MW .
Na k2 inazalisha 240MW.
Ambapo jumla yake inakuwa 390MW.
Sasa hyo 1556 umeitoa wapi.?
 


Una hoja nzuri lakini hujui kabisa kuelezea!!
 
Nakubaliana nawe kuhusu athari za mabadiliko ya tabia nchi kwenye uzalishaji umeme kwa njia ya maji (hydropower). Ripoti ya uchambuzi yakinifu kuhusu huo mradi umetoa mapendekezo ya kupunguza, kama siyo kudhibiti kabisa, athari za kimazingira kwa jamii, viumbe hai na ufuaji umeme (naambatanisha ripoti hiyo). Lakini mapendekezo hayo hayawezi kufanikiwa iwapo wahusika ambao ni mimi, wewe na kila mwananchi hatotimiza wajibu wetu.View attachment TECHNICAL REPORT FOR STIGLER'S HYDROPOWER.pdf
 
Bwana mkubwa naona umejitahidi kuzunguka mbaaali lakini maswali yangu naona hujayapata vyema, hiyo gas turbine yako ambayo blade zake zinasukumwa na gas moja kwa moja zinaitwaje? kwa kukusaidia nenda,ubungo 2,kinyerezi 1 na kinyerezi 2 ukaone gas turbine inavyofanya kazi ili uondokane na dhana uliyonayo hiyo ambayo duniani hatuna katika upande wa gas. majenereta yalioko mtwara,ubungo 1 na tegeta zile ni reciprocating engine lakini mechanism za kupata expansion kubwa kwaajili ya kupata nguvu ni kuchoma gas. nakushauri rudi kwenye makaratasi yako ulikojifunzia hii kitu kuhusu gas na kayachane kabisa,halafu anza shule upya ya thermodynamics ili uelewe halafu ukishindwa kuelewa nitafute nikufundishe vyema ili uwe binadamu kwenye ulimwengu wa Energy
 
Jidanganye
 
Nikuongezee kanyama kengine,gas ikishachomwa sio kwamba matumizi yake yameisha, gas iliyochomwa hua inatumika tena kuzalisha umeme au kuchemsha maji kwa matumizi mengine itategemea na uhitaji wake, nenda tena pale kinyerezi 2 wanatumia gas turbine kufua umeme na hapo hapo gas iliyoungua inazalisha umeme wa mvuke (Stem turbine) tunaita combined cycle. Kijana punguza munkali wa siasa unapokuja kwenye utaalam na kama hujui jitahidi uchimbe kwanza na kuomba msaada kwa wajuvi wa haya mambo.
 

Kabla hamjarukia kuwahadaa Watanzania mtuambie ufanisi wa hiyo miradi kabambe mlokwishaifanya. Tuanze na BOMBADIA.
 
Anza hata leo gesi asilia kwenye gari lako
Mkuu, asante sana kwa udadavuzi wa hiyo mada.

1. Kama sijakosea, hiyo 2115 MW ni installed capacity, je umeisha fanya hesabu kujua Capacity factor tarajiwa ya hiyo Hydropower Plant itakuwa kiasi gani?

2. Na mmejipangaje kukabiliana na "generation na load balancing" wakati wa peak load au matumizi ya umeme ya kipungua kwa masaa kadhaa kwa siku.?

3.Mkuu, gharama ulizotoa za ununuaji wa unit ya umeme ni Levellized Cost of Energy ama ni tariffs za umeme kutokana mamlaka husika? Naomba chanzo cha Takwimu zako hizi.

Natanguliza Shukrani kwa majibu ya maswali na ombi la chanzo cha Takwimu.
 
Na gesi ya kupikia (LNG) ambayo tuliambiwa mtungi wa elfu 50 tutanunua kwa elfu 10 imekuwaje???
 
Nitajie kitu ambacho kimeshuka bei angalau kwa 30 - 40 % since 2015? Mbwembwe za gesi ziliishia wapi? Hatusikii tena habari za uchumi wa gesi mbona?
 
Nilistuka aliposema gesi inatoka moja kwa moja "ardhini" na kuzungusha Turbine!! Ila nadhani atakuwa amechanganya "materials" ya geothermal hasa aina ile ya Dry steam geothermal power plant!!!
 
Namkumbuka yule dogo aliimba songi moja hivi 'Bongo bahati mbaya [emoji445] [emoji445] [emoji445]' ngoja tusubiri ajira kwa madogo itatuliwe [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hata wewe ni muongo tuu maana haujatoa any proof to backup your argument.
 
Real great thinker [emoji106][emoji106][emoji120][emoji120]
 
Watu wavivu utawajua tuu, hivi huna habari kwamba watu tayari wana several schemes za irrigation kwa kutumia majenereta? Unadhani vitunguu, nyanya, hoho etc zinalimwaje kama siyo irrigation za kutumia water pumps??
 
Ita supply continuously kwa sababu hakuna limit ya water flow and it will depend na ENVIRONMENTAL CONSERVATION itakavyokuwa.
Are aware of ongoing climate change crisis? Kama kidatu ilikauka hali ikawa Mbaya nini kutasababisha hili lisikauke wakati tatizo la climate change ndiyo linazidi? Angalia mlima Kilimanjaro unavyoteketea kwa moto [emoji91] [emoji91] jambo ambalo si la kawaida.
 
I remember to have read similar arguments kama hii, ambayo pia Lissu na mabeberu wengi wamekuwa wakizitumia kupinga mradi huo wa Rufiji ikiwa ni pamoja na uharibifu wa mazingira na kutumia vibaya Mbuga ya Selous! What a joke!
Mkishindwa kupangua hoja za Watanzania wenzenu kwa hoja mnakimbilia kuwaita mabeberu, ni ujuha tuu huo, pangua hoja kwa hoja siyo kurusha rungu, hoja haifi kwa kupigwa rungu (alisema JK).Mtu na akili zako unashindwa kuzima hoja kwa kujenga hoja nzito badala yake unakimbilia kumuita mara beberu, ooh siyo mzalendo, mara ooh shoga... Halafu unataka sisi wengine eti kutumaini na kukuona umeongea la maana kumbe pumba tupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…