Nini tafsiri ya Megawatts 2,115 za umeme wa bwawa la Mwalimu Nyerere (Stiegler's Gorge)?

Nini tafsiri ya Megawatts 2,115 za umeme wa bwawa la Mwalimu Nyerere (Stiegler's Gorge)?

Kwanza nianze tu kwa kukupongeza unastahili PHD ya uongo na siasa sasa twende chin
Kwanza kabisa mrad huo pesa nying zimekopwa na sio pesa zetu za ndan zaid ya 60% ni pesa za mkopo

Sasa tuje kwenye technical specification MEGAWATTS ww umeongea kisiasa siasa tu ila kwa ma ELECTRICAL ENGINEET wanakuchora tu unaposema MEGA means million kwaio unaposema 2115 MW maana yake ni 2115000000 watts
Sasa tuje kwenye watts watts ni S1 unit ya power na neno power lina maana kubwa sn kwenye physics maana mbali na umeme linatumika mpaka kwenye mechanics na thermodynamics

Sasa ili tusilete sound hapa tulete formula ya power kwenye umeme

Ohm's law equation (formula): V = I × R and the power law equation (formula): P = I × V. P = power

Kifaa chochote kile cha umeme lazima kiandikwe kinatumia nishati kiasi gan mfano TV kubwa sn inatumia 400watts
Kwa maana km bwana linazalisha 2115 watts basi litaweza kuwasha tv 5287500 au tuseme TV million 5

Kwa hesabu hzo tu nan kakudanganya km mgawo utaisha nan kakudanganya km umeme utashuka bei

Niliitaka nikuumbie pia kwenye swala bei ila nimeona bora nikukaushie tu maana sio ww ni buku 7 io
Kama wewe una elimu ya uhandisi umeme, nakushauri urudi chuo. Hesabu yako na huo mfano wako wa A/C ni ya kinadharia, maana ingekuwa uhalisia umeme unaozalishwa nchi ingekuwa gizani.
 
Kwa nyongeza zaidi kitakwimu, kwa wale maTomaso, wanaobeza kuwa huo mradi ni maendeleo ya vitu, mimi natumia wastani wa unit 420 kwa mwezi wa gharama ~ 150,000/-.

Umeme wa Bwawa la Nyerere ukikamilika nitakuwa nalipa chini ya 20000/- kwa mwezi. Hii ina maana nitakuwa na salio la 130,000/- ambayo nitaitumia kwa maendeleo yangu (mtu).

Hiki ni kiasi cha 1,560,000/- kwa mwaka ambacho si haba maana kinatosheleza kwa elimu ya watoto/wajukuu wangu (maendeleo ya watu) au kulipia bima ya afya (maendeleo ya mtu), na kadhalika
Bila
Kwa nyongeza zaidi kitakwimu, kwa wale maTomaso, wanaobeza kuwa huo mradi ni maendeleo ya vitu, mimi natumia wastani wa unit 420 kwa mwezi wa gharama ~ 150,000/-.

Umeme wa Bwawa la Nyerere ukikamilika nitakuwa nalipa chini ya 20000/- kwa mwezi. Hii ina maana nitakuwa na salio la 130,000/- ambayo nitaitumia kwa maendeleo yangu (mtu).

Hiki ni kiasi cha 1,560,000/- kwa mwaka ambacho si haba maana kinatosheleza kwa elimu ya watoto/wajukuu wangu (maendeleo ya watu) au kulipia bima ya afya (maendeleo ya mtu), na kadhalika
Bila kupunguza ladha ya maelezo yako mazuri yenye wingi wa busara. Wakati tunaimbushwa uchumi wa gas kama mwendawazimu, nyie mlikuwa kimya. Tuliambiwa kuwa mradi huo tutaweza kuzalisha 5,000m na ziada kuuza nje. Sasa nashindwa kuelewa iweje Magufuli aliyekuwa kimya mpaka tukakopa 1.5t kuwekeza kwenye gas, kwanini asipinge mradi huo na kusema wa maji sio sahihi?

Sasa hivi anakopa kimya kimya kisha anasema analeta umeme wa bei rahisi, ambao ni 2115m, anaacha kuwekeza ulioanza wa gas wenye 5,000m! Je ni kwanini hizo 6.5t zisiwekezwe kwenye mradi wa gas ambao umeshaanza, ule tulikuwa tunaimbishwa kama watoto wa shule ya msingi? Je akija rais mwingine akasema umeme wa upepo ni mrahisi zaidi, akaachana na huu wa maji nani atalipa deni la huo mradi mwingine?
 
Kuna porojo mbili umeongea:

1. Porojo ya kwanza ni kudai kuwa unit 565 zitabaki kwa hiyo zinapaswa kuuzwa.Hii ni porojo kwa sababu usichokijua ni kwamba huo umeme wote wa Stiglers Gorge bado ni mdogo sana kwa sababu kila mwaka idadi ya watu wanaongezeka na kuongezeka kwa idadi hiyo ya watu kunaambatana na kuongezeka kwa matumizi ya umeme majumbani, viwandani, madukani, mashuleni, kwenye vituo vya afya,etc

2.Porojo ya pili ni kudai kuwa mradi huo unatengenezwa kwa fedha zetu za ndani
 
'Mafuriko' ya 'Miradi' mingi nchini haina 'Tija' sana kama 85% ya Watanzania wanalia Njaa, Ajira hakuna, Elimu duni na Uchumi kuwa Duni sana tu.
Serikali haiwezi kutoa ajira kwa wote wanaohitaji ajira ila kuweka mazingira ya kujiajiri. Hii ni pamoja na kujenga vyuo vya VETA.

Karibu zaidi ya ¾ ya vijiji nchini vinapata umeme. Vijana wajasiriamali waliopata na watakaopata mafunzo wa stadi za maisha VETA, watajiajiri kutoa huduma huko huko vijijini km kufanyia matengenezo vifaa vinavyotumia umeme kama vile pasi, birika za umeme nk. Au hilo hulitambui unasubiri kuajiriwa! Serikali haiwezi.
 
Shida ya kwenye gas, ni kwamba badala ya kuweka gas turbines sehemu zote zenye majenereta, wao wameweka mashine zinazochoma gas kama unavyochoma petroli. Gharama ingekuwa rahisi kidogo kwa turbines kuliko ilivyo sasa. Kama kwenye maji, baada ya turnine, tungekuwa bado tuna gas kwa matumizi mengine
tupe hizo mashine zinazochoma gas mkuu ambazo ni sawa na inavyochomwa petrol, na unisaidie hizi tulizonazo ni aina gani ya turbine kitaalam na hizo unazodhani ndo gas turbine ambazo zingetufaa hebu zilielezee operation yake mtaalamu. nataka niongeze elimu kidogo kwenye hii tasnia nahisi kile kidogo nachokijua kinapwaya baada ya kuona comment yako hii
 
Hesabu za asiekwenda shile ndo hizo swali ni je hio unit moja kwa 36tshs itaanza kutozwa baada ya muda gani? Ukizingatia kuna kurudisha gharama za huo mradi/mkopo/ etc?
 
tupe hizo mashine zinazochoma gas mkuu ambazo ni sawa na inavyochomwa petrol, na unisaidie hizi tulizonazo ni aina gani ya turbine kitaalam na hizo unazodhani ndo gas turbine ambazo zingetufaa hebu zilielezee operation yake mtaalamu. nataka niongeze elimu kidogo kwenye hii tasnia nahisi kile kidogo nachokijua kinapwaya baada ya kuona comment yako hii
ALL in ALL... alternator au kinu kinachofua umeme kinahitaji mzunguko ili kizalishe umeme (Rotation). Mzunguko huo unaweza ukaupata kwenye upepo (windmill), mechanical engine (petrol ro diesel engine) maporomoko ya maji (water turbine - hapa akina Kidatu wanahusika), steam engine, GAS TURBINE ETC

Majenereta yaliyopo Mtwara mjini yote yanachoma gas kama inavyochomwa petroli au diesel ili kupata MZUNGUKO utakaozalisha umeme. Gas hiyo ikishachomwa, ndo mwisho wake, kama ambavyo diesel ikishachomwa ndo basi tena huwezi kuwa na diesel hiyo..

Kwenye turbines, ntaanza na water turbine... maji yanayoporomoka sehemu, kwa sababu ya HEAD (umbali toka mporomoko yanapoanza hadi maji yanapokwenda kutua) maji hupata na energy... sasa maji hayo yanayoporomoka, yakipelekwa kwenye gurudumu (turbine) yatalizungusha, and hence alternator iliyounganishwa na turbine hiyo itazalisha umeme. Kwa maji, yakishazungusha turbine, yanaweza yakatumika tena kwenye maisha ya kila siku ya binadamu mfano uvuvi, kilimo etc

Sasa kwa gas, gas yenyewe huwa inatoka huko ardhini ikiwa na high pressure. Pressure hiyo inaweza ikasukuma gurudumu linalohimili gas (gas turbine) na rotation ikapatikana na mwisho umeme kuzalishwa. Kama ilivyo kwenye maji, gas iliyokwisha tumika kuzalisha umeme, inaweza ikatumika tena kwenye shughuri za kibinadamu mfano viwandani (kama ilivyo kwa TBL, wazo cement etc), ingeweza kusambazwa majumbani kwa kupikia etc.

Sasa kwa hali ilivyo sasa, tunachoma gas na hivyo ukitaka ya matumizi mengine lazima uichimbe upya...

ALL IN ALL, SHIDA KUBWA NI SIASA
 
Bahati mbaya kubwa tuliyonayo watanzania ni kwamba...

1. Wanaojua madini hasa yale makinikia pale KAHAMA MINING YAPOJE na nini hasa kilitokea, ni wachache sana nadhani hawazidi wataalamu laki 2 OUT 55M... ( NAZUNGUMZIA WANAOJUA MAMBO HAYO KWA UHALISIA WAKE)

2. Wanaojua GAS na nini hasa kilitokea, ni wachache sana nadhani hawazidi wataalamu laki 1... ( NAZUNGUMZIA WANAOJUA MAMBO HAYO KWA UHALISIA WAKE)

NA HAO WOTE HAWANA PLATFORM YA KUSEMEA... sasa akitokea mkubwa mmoja akaanza kuwadanganya watu wanadanganyika haswa....
 
NINI TAFSIRI YA MEGAWATTS 2,115 ZA UMEME WA BWAWA LA MWALIMU NYERERE (Stiglers Gorge)?

Wengi tunaona na kusikia kuhusu habari ya utekelezaji wa mradi mkubwa wa uzalishaji umeme wa maji wa Megawatts 2115 kutoka kwenye Mto Rufiji, mradi uliobuniwa na Mwalimu Nyerere toka mwaka 1975 na sasa unatekelezwa na Rais wa awamu ya 5 Dkt John Pombe Magufuli.

Tumesikia habari ya ukubwa wake huo mradi, gharama ya utekelezaji wa mradi wenyewe, umeme unaoenda kuzalishwa na mambo mengine mengi sana kuuhusu mradi huo wa Stieglers Gorge (Bwawa la Mwalimu Nyerere). Sasa leo ngoja tuumulike kidogo mradi huu wa umeme, tujue idadi ya namba zilizoko za gharama na Megawatts zinazoenda kuzalishwa hapo na tafsili yake kwa Watanzania na uchumi wetu.

Kwanza kuingia kwa Serikali ya awamu ya 5 kulifungua ukurasa mpya wa utekelezaji wa maono ya Baba wa Taifa ya toka mwaka 1975 ya kutaka kuzalisha umeme kwenye bonde la Mto Rufiji kupitia mradi huo mkubwa kabisa namba 4 wa uzalishaji wa umeme barani Afrika unaoenda kuzalisha Megawatts 2115 kwa gharama ya Trillion 6.5 tena kwa fedha zetu za ndani.

Adhima ya utekelezaji wa mradi huo inakuja wakati nchi ikiwa kwenye ujenzi wa uchumi wa viwanda ambao kwa kiwango kikubwa unategemea sana nishati umeme ya kuwezesha viwanda kupata nishati ya kutosha ili iweze kuzalisha vya kutosha na muhimu kwa gharama nafuu. Viwanda ni umeme na umeme ni viwanda.

Lakini licha ya yote ni wangapi tunaelewa tafsiri halisi ya Megawatts 2,115 za umeme zinazoenda kuzalishwa pale Mto Rufiji? kwa sisi watu wa kawaida ambao si wataalamu wala wahandisi tunaelewa nini kuhusu Megawatts 2115? twende sawa hapo chini.

Kuzielewa Megawatts 2115 na ukubwa wake ni rahisi ukipitia na kujua matumizi ya umeme na mahitaji ya umeme kwa taifa letu. Mfano mwepesi tu ni kwamba mahitaji halisi ya umeme kwa mikoa kama ya Mtwara na Lindi ili umeme usikatike hata sekunde ni Megawatts 22 hadi 30 tu, ina maana katika zile Megawatts 2,115 tunakuwa na chenji kama ya Megawatts 2,085.

Tanzania ina Mikoa 31, hivyo ukifanya kila mkoa upate Megawatts 50 tu kama makadirio ya juu kabisa hata kwa mikoa isiyozidi matumizi hayo maana yake ni sawa na kupeleka bahari ya umeme kila mkoa na bado matumizi tutaishia Megawatts 1,550 na bado zitabaki Megawatts 565 kama akiba ya umeme tuliyoiweka kibindoni. Bado hiyo Megawatts 50 kiwastani hata ukijumlisha mikoa yenye viwanda vingi na vikubwa kama Pwani, Dar es Salaam, Arusha, Tanga na Mwanza bado ni kubwa sana. Nimeweka kwa kiwango cha Juu saana usisahau matumizi ya Mtwara na Lindi ni Megawatts 22- 30 tu.

Ina maana hapo tunaenda kuua kabisa stori za mgao wa umeme na mambo ya umeme kukatikakatika. Hapo wenye viwanda vikubwa, vya kati na vidogo kabisa watazalisha bidhaa zao bila tatizo na zaidi kwa gharama nafuu kutegemea na urahisi wa gharama kwa umeme wa maji.

Umeme wa Kinyerezi ambao ndiyo tunaojivunia kwa sasa kuwa ni mradi mkubwa wa umeme kiwango chake cha mwisho cha kuzalisha umeme ni Megawatts 1,560 tu ina maana Bwawa la Mwalimu Nyerere pekee yake linaenda kutupa umeme wa uhakika tena wa maji ambao ni rahisi zaidi kuliko aina yoyote ile ya umeme duniani ukiachana na wa jua, upepo, nyuklia, makaa ya mawe, mafuta na gesi.

Tukumbuke umeme unaozalishwa na maji ndio umeme wa gharama nafuu na rahisi zaidi kuliko umeme wowote ule duniani. Kumbuka uniti 1 inayozalishwa na maji ni shilingi 36 tu wakati umeme wa nyuklia ni shilingi 65 kwa uniti, umeme wa jua shilingi 103.05, upepo 103.05, makaa ya mawe 118, gesi asilia 147 na mafuta ni 426. Hivyo tunaenda kushusha maradufu bei ya umeme kwa watumiaji hivyo kuhimili mfumuko wa bei wa bidhaa za viwandani.

Hii tafsili yake kukamilika tu kwa Bwawa la uzalishaji wa umeme la Mwalimu Nyerere kutashusha kwa kiwango kikubwa sana gharama ya umeme mpaka shilingi 36 tu kwa uniti hivyo kutoa nafasi kwa bidhaa zetu za viwanda nazo kushuka sana. Hapo mpaka kwenye matumizi ya kawaida nyumbani yatashuka na hata kwa watanzania watakaofungua viwanda vidogo kwa vikubwa watanufaika sana na gharama ndogo ya uzalishaji wa bidhaa itakayoleta neema na nafuu mpaka kwa sisi watu wa hali ya chini kabisa, machinga, mama nitilie, wajasiriamali na makundi mengine.

Unapokuwa na umeme wa uhakika, lakini sio wa uhakika tu tena na wa gharama nafuu ya bei tayali unavutia wawekezaji wengi zaidi kuja kujenga viwanda hapahapa. Suala la uhakika wa umeme na nafuu yake ni mambo ya msingi sana kwa mwekezaji anayefikiri kwenda kuwekeza sehemu yoyote ile kwasababu kiwanda ni nishati.

Vipi umefikilia hizo Megawatts zingine zaidi ya 565 ambazo tunakuwa tumezitia kibindoni baada kujihakikishia uhakika wa umeme nchi nzima? hapo tunaweza kuamua kuuza kwa majirani zetu hapo Kenya, Malawi, Uganda au Msumbiji ambako tunajua bado hawana uhakika wa umeme. Hapo unazungumza kuhusu umeme wa Rufiji tu, hujaenda Kinyerezi, Kidatu, Mtera, Nyumba ya Mungu na kwingine ambako umeme unaendelea kuzalishwa.

Rais Magufuli na Serikali yake baada ya kugundua hatuna umeme wa kutosha na wenye bei nafuu kwa wananchi wake ndiyo ikaja na suluhisho hilo la Bwawa la Mwalimu Nyerere. Nini tena sasa? Tusiposema sisi kwa haya yanayofanyika basi hata mawe yatapiga kelele siku moja.View attachment 1597580
sikuwah kuelewa kuhusu megawats
 
Bahati mbaya kubwa tuliyonayo watanzania ni kwamba...

1. Wanaojua madini hasa yale makinikia pale KAHAMA MINING YAPOJE na nini hasa kilitokea, ni wachache sana nadhani hawazidi wataalamu laki 2 OUT 55M... ( NAZUNGUMZIA WANAOJUA MAMBO HAYO KWA UHALISIA WAKE)

2. Wanaojua GAS na nini hasa kilitokea, ni wachache sana nadhani hawazidi wataalamu laki 1... ( NAZUNGUMZIA WANAOJUA MAMBO HAYO KWA UHALISIA WAKE)

NA HAO WOTE HAWANA PLATFORM YA KUSEMEA... sasa akitokea mkubwa mmoja akaanza kuwadanganya watu wanadanganyika haswa....
Nawaoneaga wivu wazungu, wao kila jambo linalowahusu ktk Taifa liwe la kisayansi,kiuchumi,kisiasa wana taarifa za kutosha,faida,hasara zake n.k wananikosha sana ukiona wanavyochangia mijadala ya masuala mtambuka!! Huenda ni ELIMU ELIMU ELIMU au ni UWAZI wa serikali zao sijui!

Lakini njoo tz! Watu hawana habari na kinachoendelea wala kinachopaswa kuendelea! Ndio maana wanasiasa wanatumia muanya huo kutuhadaa siku zote
 
Electrical engineering analysis inafanywa kisiasa jukwaani hapa huo uliofanya ni uhuni na kudharau taaluma zetu tuliokaa darasani 4 years
Kukiwa na kiongozi dhaifu anayetoa maamuzi dhaifu, taaluma huwekwa pembeni na valaza hujitokeza kuwa washauri wa kiongozi na kwa bahati mbaya wanageuka kuwa wataalamu wa kuwafundisha hata wasomi. Kuhusu umeme wa Stiegler's Gorge ni kweli ulikuwa Mradi wa Mwalimu lakini si kweli kuwa alishindwa kutekeleza bali aliheshimu mikataba ya Kimataifa na kuiridhia badala yake akajenga Mtera kusaidia kuhifadhi maji kwa ajili ya Kidatu. Miaka mingi baadaye, Serikali ya Awamu nyingine ilijenga kwa ubabe Bwawa la umeme la Kihansi ingawa kulikuwa na upinzani mkali wa wanamazingira wa ndani na nje ya nchi mpaka Marekani ikajitolea kuhamisha na kuwahifadhi vyura ambao hawapatikani popote duniani. Vyura walirudishwa baada ya Bwawa kukamilika na kujazwa maji lakini wananchi hawaambiwi hali ya vyura wala Bwawa lenyewe halizungumzwi kabisa inawezekana lina matatizo. Mabwawa yote manne ya Kidatu, Mtera, Kihansi na linalojengwa la Nyerere yako kwenye mto mmoja na endapo mto utakosa maji ya kutosha nchi nzima itakosa umeme kabisa na ishara zinaanza kujitokeza kupungua kwa maji. Ruaha tawi muhimu la mto Rufiji linalotoa maji kwenye Bwawa la Mtera maji yameanza kupungua sana ingawa TANESCO hawasemi na Bwawa limeanza kujaa tope kutokana na kilimo cha umwagiliaji cha mpunga kwenye chanzo cha mto. Swali la kujiuliza ni, je hakuna vyanzo vingine vya kuzaliwa Umeme?
 
Ili kuweza kuibadili gas Yetu iwe katika kimiminika na kusafirishwa kwa njia ya mitungi, Project inaweza kugharimu kiasi gani cha fedha? Kwasababu hili likiwezekana ni hakika tutaifaidi Gas hii maradufu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mkuu mchakato wa kufanya hili suala unaendelea na TPDC walishatangaza tender nadhani sasa ipo kwenye design stage kwa ajili ya kujenga Mother & daughter stations for CNG, watumiaji wakubwa watarajiwa watano ambao ninawafahamu so far ni pamoja na kairuki pharmaceuticals (kibaha), feri, muhimbili, Dart(Brt ubungo) pamoja na Hawa jamaa wa afya (kigamboni), project ipo njiani na mother station itajengwa pembeni ya magufuli hostel
 
Gereja Akiwa Waziri Alikuja Na Fix Tele Kuhusu Megawatt Mpaka Wananchi Wakawa Hawaelewi Lolote
 
Tatizo linalosababisha sana kwa sasa umeme kukatika sio uhaba wa umeme ni kiundombinu iliyochakaa ya tanesco katika baadhi ya umeme pamoja na uzembe wa baadhi ya watendaji wake katika kutimiza majuku yao ikiwemo usimamizi wa mitambo
 
Mkuu huu uchambuzi wako ni wa kisiasa zaidi sio kitaalam Kwa sababu zifuatazo:-
1. Mikoa uliotolea mfano wako hawana matumizi ya umeme kabisa Kwa kuwa hawlkuna viwanda vingi wala migodi.
2. Wananchi wa mikoa hiyo wengi ni maskini na hawana umeme na matumizi Yao mengi ni kuwasha taa.
3. Jenho moja kubwa hapa Dar kama Viva tower au Mkapa tower lina matumizi sawa na mkoa wa Lindi.
4. Mgodi wa madini kama Bulyankulu unaweza kutumia Hadi megawat 300 au zaidi.
Hivyo mkuu wangu hizo hesabu zako zina ukakasi tu.
Sina Imani na kila ulichosema wewe hapa.
Lakini walau umeweza kuonyesha kwamba uchambuzi wa mtoa maada umekaa kistori ya kumsimulia mtoto mdogo.

Maana huwezi ongelea mahitaji ya mikoa Kama Lindi, kuweka katika halibya uhalisia wakati tunajua mikoa hiyo sio kila Kaya ama kila pahala wamefikiwa na umeme hivyo ili kila mwekupaswa kufikiwa afikiwe mahitaji yatao gezeka.

Pili unapoongela swala la maendeleo ya kisasa mahitaji ya nishati yataongezeka, maana yake hata hao wa Huko Lindi watahitaji umeme zaidi ya wanavyohitaji Sasa hivi kadri wanavyozidi kuendelea kiteknolojia.

Pili. Watuwakufanya uwekezaji huko mahitaji yatakua Makubwa zaidi. Hapo nimeongelea huko Lindi , Mtwara.
Sasa Mikoa mingine????....

Tatu. Hiyo Bei ya sh. 36 haijaifafanua . Ni gharama ya uzalishaji tu.

Je Hapo RIO inakuaje.
Maana Kama mwenyewe amesema gharama ya mradi Ni Tr 6. Tsh. Hiyo pesa bila shaka Kuna kiasi cha mkopo. Au hata Kama hamna lazima kwa namna moja au nyingine baadhi ya gharama irudi.
Plus maintenance na gharama nyinginezo ambazo serikali itataka Taasisi izigharamie yenyewe lazima zitaingia kwenye Bei.

Bado serikali yetu tunayoijua.
Kutakua na ewura, Rea( au sijui wakati huo itakua nini) bado Kodi , ama yawezekana kukainguzwa na kitu kingine.
Hivyo hiyo hadithi ya juu bado mtu aliye timamu na anaelewa Siasa hizi na Serikali inaendaje. Hawezi kununulika kw ahafithi hii
 
NINI TAFSIRI YA MEGAWATTS 2,115 ZA UMEME WA BWAWA LA MWALIMU NYERERE (Stiglers Gorge)?

Wengi tunaona na kusikia kuhusu habari ya utekelezaji wa mradi mkubwa wa uzalishaji umeme wa maji wa Megawatts 2115 kutoka kwenye Mto Rufiji, mradi uliobuniwa na Mwalimu Nyerere toka mwaka 1975 na sasa unatekelezwa na Rais wa awamu ya 5 Dkt John Pombe Magufuli.

Tumesikia habari ya ukubwa wake huo mradi, gharama ya utekelezaji wa mradi wenyewe, umeme unaoenda kuzalishwa na mambo mengine mengi sana kuuhusu mradi huo wa Stieglers Gorge (Bwawa la Mwalimu Nyerere). Sasa leo ngoja tuumulike kidogo mradi huu wa umeme, tujue idadi ya namba zilizoko za gharama na Megawatts zinazoenda kuzalishwa hapo na tafsili yake kwa Watanzania na uchumi wetu.

Kwanza kuingia kwa Serikali ya awamu ya 5 kulifungua ukurasa mpya wa utekelezaji wa maono ya Baba wa Taifa ya toka mwaka 1975 ya kutaka kuzalisha umeme kwenye bonde la Mto Rufiji kupitia mradi huo mkubwa kabisa namba 4 wa uzalishaji wa umeme barani Afrika unaoenda kuzalisha Megawatts 2115 kwa gharama ya Trillion 6.5 tena kwa fedha zetu za ndani.

Adhima ya utekelezaji wa mradi huo inakuja wakati nchi ikiwa kwenye ujenzi wa uchumi wa viwanda ambao kwa kiwango kikubwa unategemea sana nishati umeme ya kuwezesha viwanda kupata nishati ya kutosha ili iweze kuzalisha vya kutosha na muhimu kwa gharama nafuu. Viwanda ni umeme na umeme ni viwanda.

Lakini licha ya yote ni wangapi tunaelewa tafsiri halisi ya Megawatts 2,115 za umeme zinazoenda kuzalishwa pale Mto Rufiji? kwa sisi watu wa kawaida ambao si wataalamu wala wahandisi tunaelewa nini kuhusu Megawatts 2115? twende sawa hapo chini.

Kuzielewa Megawatts 2115 na ukubwa wake ni rahisi ukipitia na kujua matumizi ya umeme na mahitaji ya umeme kwa taifa letu. Mfano mwepesi tu ni kwamba mahitaji halisi ya umeme kwa mikoa kama ya Mtwara na Lindi ili umeme usikatike hata sekunde ni Megawatts 22 hadi 30 tu, ina maana katika zile Megawatts 2,115 tunakuwa na chenji kama ya Megawatts 2,085.

Tanzania ina Mikoa 31, hivyo ukifanya kila mkoa upate Megawatts 50 tu kama makadirio ya juu kabisa hata kwa mikoa isiyozidi matumizi hayo maana yake ni sawa na kupeleka bahari ya umeme kila mkoa na bado matumizi tutaishia Megawatts 1,550 na bado zitabaki Megawatts 565 kama akiba ya umeme tuliyoiweka kibindoni. Bado hiyo Megawatts 50 kiwastani hata ukijumlisha mikoa yenye viwanda vingi na vikubwa kama Pwani, Dar es Salaam, Arusha, Tanga na Mwanza bado ni kubwa sana. Nimeweka kwa kiwango cha Juu saana usisahau matumizi ya Mtwara na Lindi ni Megawatts 22- 30 tu.

Ina maana hapo tunaenda kuua kabisa stori za mgao wa umeme na mambo ya umeme kukatikakatika. Hapo wenye viwanda vikubwa, vya kati na vidogo kabisa watazalisha bidhaa zao bila tatizo na zaidi kwa gharama nafuu kutegemea na urahisi wa gharama kwa umeme wa maji.

Umeme wa Kinyerezi ambao ndiyo tunaojivunia kwa sasa kuwa ni mradi mkubwa wa umeme kiwango chake cha mwisho cha kuzalisha umeme ni Megawatts 1,560 tu ina maana Bwawa la Mwalimu Nyerere pekee yake linaenda kutupa umeme wa uhakika tena wa maji ambao ni rahisi zaidi kuliko aina yoyote ile ya umeme duniani ukiachana na wa jua, upepo, nyuklia, makaa ya mawe, mafuta na gesi.

Tukumbuke umeme unaozalishwa na maji ndio umeme wa gharama nafuu na rahisi zaidi kuliko umeme wowote ule duniani. Kumbuka uniti 1 inayozalishwa na maji ni shilingi 36 tu wakati umeme wa nyuklia ni shilingi 65 kwa uniti, umeme wa jua shilingi 103.05, upepo 103.05, makaa ya mawe 118, gesi asilia 147 na mafuta ni 426. Hivyo tunaenda kushusha maradufu bei ya umeme kwa watumiaji hivyo kuhimili mfumuko wa bei wa bidhaa za viwandani.

Hii tafsili yake kukamilika tu kwa Bwawa la uzalishaji wa umeme la Mwalimu Nyerere kutashusha kwa kiwango kikubwa sana gharama ya umeme mpaka shilingi 36 tu kwa uniti hivyo kutoa nafasi kwa bidhaa zetu za viwanda nazo kushuka sana. Hapo mpaka kwenye matumizi ya kawaida nyumbani yatashuka na hata kwa watanzania watakaofungua viwanda vidogo kwa vikubwa watanufaika sana na gharama ndogo ya uzalishaji wa bidhaa itakayoleta neema na nafuu mpaka kwa sisi watu wa hali ya chini kabisa, machinga, mama nitilie, wajasiriamali na makundi mengine.

Unapokuwa na umeme wa uhakika, lakini sio wa uhakika tu tena na wa gharama nafuu ya bei tayali unavutia wawekezaji wengi zaidi kuja kujenga viwanda hapahapa. Suala la uhakika wa umeme na nafuu yake ni mambo ya msingi sana kwa mwekezaji anayefikiri kwenda kuwekeza sehemu yoyote ile kwasababu kiwanda ni nishati.

Vipi umefikilia hizo Megawatts zingine zaidi ya 565 ambazo tunakuwa tumezitia kibindoni baada kujihakikishia uhakika wa umeme nchi nzima? hapo tunaweza kuamua kuuza kwa majirani zetu hapo Kenya, Malawi, Uganda au Msumbiji ambako tunajua bado hawana uhakika wa umeme. Hapo unazungumza kuhusu umeme wa Rufiji tu, hujaenda Kinyerezi, Kidatu, Mtera, Nyumba ya Mungu na kwingine ambako umeme unaendelea kuzalishwa.

Rais Magufuli na Serikali yake baada ya kugundua hatuna umeme wa kutosha na wenye bei nafuu kwa wananchi wake ndiyo ikaja na suluhisho hilo la Bwawa la Mwalimu Nyerere. Nini tena sasa? Tusiposema sisi kwa haya yanayofanyika basi hata mawe yatapiga kelele siku moja.View attachment 1597580
Sio muda wake!
 
Kukiwa na kiongozi dhaifu anayetoa maamuzi dhaifu, taaluma huwekwa pembeni na valaza hujitokeza kuwa washauri wa kiongozi na kwa bahati mbaya wanageuka kuwa wataalamu wa kuwafundisha hata wasomi. Kuhusu umeme wa Stiegler's Gorge ni kweli ulikuwa Mradi wa Mwalimu lakini si kweli kuwa alishindwa kutekeleza bali aliheshimu mikataba ya Kimataifa na kuiridhia badala yake akajenga Mtera kusaidia kuhifadhi maji kwa ajili ya Kidatu. Miaka mingi baadaye, Serikali ya Awamu nyingine ilijenga kwa ubabe Bwawa la umeme la Kihansi ingawa kulikuwa na upinzani mkali wa wanamazingira wa ndani na nje ya nchi mpaka Marekani ikajitolea kuhamisha na kuwahifadhi vyura ambao hawapatikani popote duniani. Vyura walirudishwa baada ya Bwawa kukamilika na kujazwa maji lakini wananchi hawaambiwi hali ya vyura wala Bwawa lenyewe halizungumzwi kabisa inawezekana lina matatizo. Mabwawa yote manne ya Kidatu, Mtera, Kihansi na linalojengwa la Nyerere yako kwenye mto mmoja na endapo mto utakosa maji ya kutosha nchi nzima itakosa umeme kabisa na ishara zinaanza kujitokeza kupungua kwa maji. Ruaha tawi muhimu la mto Rufiji linalotoa maji kwenye Bwawa la Mtera maji yameanza kupungua sana ingawa TANESCO hawasemi na Bwawa limeanza kujaa tope kutokana na kilimo cha umwagiliaji cha mpunga kwenye chanzo cha mto. Swali la kujiuliza ni, je hakuna vyanzo vingine vya kuzaliwa Umeme?
Hawapo seriaz hawa watu tuwapotezee tuu
 
NINI TAFSIRI YA MEGAWATTS 2,115 ZA UMEME WA BWAWA LA MWALIMU NYERERE (Stiglers Gorge)?

Wengi tunaona na kusikia kuhusu habari ya utekelezaji wa mradi mkubwa wa uzalishaji umeme wa maji wa Megawatts 2115 kutoka kwenye Mto Rufiji, mradi uliobuniwa na Mwalimu Nyerere toka mwaka 1975 na sasa unatekelezwa na Rais wa awamu ya 5 Dkt John Pombe Magufuli.

Tumesikia habari ya ukubwa wake huo mradi, gharama ya utekelezaji wa mradi wenyewe, umeme unaoenda kuzalishwa na mambo mengine mengi sana kuuhusu mradi huo wa Stieglers Gorge (Bwawa la Mwalimu Nyerere). Sasa leo ngoja tuumulike kidogo mradi huu wa umeme, tujue idadi ya namba zilizoko za gharama na Megawatts zinazoenda kuzalishwa hapo na tafsili yake kwa Watanzania na uchumi wetu.

Kwanza kuingia kwa Serikali ya awamu ya 5 kulifungua ukurasa mpya wa utekelezaji wa maono ya Baba wa Taifa ya toka mwaka 1975 ya kutaka kuzalisha umeme kwenye bonde la Mto Rufiji kupitia mradi huo mkubwa kabisa namba 4 wa uzalishaji wa umeme barani Afrika unaoenda kuzalisha Megawatts 2115 kwa gharama ya Trillion 6.5 tena kwa fedha zetu za ndani.

Adhima ya utekelezaji wa mradi huo inakuja wakati nchi ikiwa kwenye ujenzi wa uchumi wa viwanda ambao kwa kiwango kikubwa unategemea sana nishati umeme ya kuwezesha viwanda kupata nishati ya kutosha ili iweze kuzalisha vya kutosha na muhimu kwa gharama nafuu. Viwanda ni umeme na umeme ni viwanda.

Lakini licha ya yote ni wangapi tunaelewa tafsiri halisi ya Megawatts 2,115 za umeme zinazoenda kuzalishwa pale Mto Rufiji? kwa sisi watu wa kawaida ambao si wataalamu wala wahandisi tunaelewa nini kuhusu Megawatts 2115? twende sawa hapo chini.

Kuzielewa Megawatts 2115 na ukubwa wake ni rahisi ukipitia na kujua matumizi ya umeme na mahitaji ya umeme kwa taifa letu. Mfano mwepesi tu ni kwamba mahitaji halisi ya umeme kwa mikoa kama ya Mtwara na Lindi ili umeme usikatike hata sekunde ni Megawatts 22 hadi 30 tu, ina maana katika zile Megawatts 2,115 tunakuwa na chenji kama ya Megawatts 2,085.

Tanzania ina Mikoa 31, hivyo ukifanya kila mkoa upate Megawatts 50 tu kama makadirio ya juu kabisa hata kwa mikoa isiyozidi matumizi hayo maana yake ni sawa na kupeleka bahari ya umeme kila mkoa na bado matumizi tutaishia Megawatts 1,550 na bado zitabaki Megawatts 565 kama akiba ya umeme tuliyoiweka kibindoni. Bado hiyo Megawatts 50 kiwastani hata ukijumlisha mikoa yenye viwanda vingi na vikubwa kama Pwani, Dar es Salaam, Arusha, Tanga na Mwanza bado ni kubwa sana. Nimeweka kwa kiwango cha Juu saana usisahau matumizi ya Mtwara na Lindi ni Megawatts 22- 30 tu.

Ina maana hapo tunaenda kuua kabisa stori za mgao wa umeme na mambo ya umeme kukatikakatika. Hapo wenye viwanda vikubwa, vya kati na vidogo kabisa watazalisha bidhaa zao bila tatizo na zaidi kwa gharama nafuu kutegemea na urahisi wa gharama kwa umeme wa maji.

Umeme wa Kinyerezi ambao ndiyo tunaojivunia kwa sasa kuwa ni mradi mkubwa wa umeme kiwango chake cha mwisho cha kuzalisha umeme ni Megawatts 1,560 tu ina maana Bwawa la Mwalimu Nyerere pekee yake linaenda kutupa umeme wa uhakika tena wa maji ambao ni rahisi zaidi kuliko aina yoyote ile ya umeme duniani ukiachana na wa jua, upepo, nyuklia, makaa ya mawe, mafuta na gesi.

Tukumbuke umeme unaozalishwa na maji ndio umeme wa gharama nafuu na rahisi zaidi kuliko umeme wowote ule duniani. Kumbuka uniti 1 inayozalishwa na maji ni shilingi 36 tu wakati umeme wa nyuklia ni shilingi 65 kwa uniti, umeme wa jua shilingi 103.05, upepo 103.05, makaa ya mawe 118, gesi asilia 147 na mafuta ni 426. Hivyo tunaenda kushusha maradufu bei ya umeme kwa watumiaji hivyo kuhimili mfumuko wa bei wa bidhaa za viwandani.

Hii tafsili yake kukamilika tu kwa Bwawa la uzalishaji wa umeme la Mwalimu Nyerere kutashusha kwa kiwango kikubwa sana gharama ya umeme mpaka shilingi 36 tu kwa uniti hivyo kutoa nafasi kwa bidhaa zetu za viwanda nazo kushuka sana. Hapo mpaka kwenye matumizi ya kawaida nyumbani yatashuka na hata kwa watanzania watakaofungua viwanda vidogo kwa vikubwa watanufaika sana na gharama ndogo ya uzalishaji wa bidhaa itakayoleta neema na nafuu mpaka kwa sisi watu wa hali ya chini kabisa, machinga, mama nitilie, wajasiriamali na makundi mengine.

Unapokuwa na umeme wa uhakika, lakini sio wa uhakika tu tena na wa gharama nafuu ya bei tayali unavutia wawekezaji wengi zaidi kuja kujenga viwanda hapahapa. Suala la uhakika wa umeme na nafuu yake ni mambo ya msingi sana kwa mwekezaji anayefikiri kwenda kuwekeza sehemu yoyote ile kwasababu kiwanda ni nishati.

Vipi umefikilia hizo Megawatts zingine zaidi ya 565 ambazo tunakuwa tumezitia kibindoni baada kujihakikishia uhakika wa umeme nchi nzima? hapo tunaweza kuamua kuuza kwa majirani zetu hapo Kenya, Malawi, Uganda au Msumbiji ambako tunajua bado hawana uhakika wa umeme. Hapo unazungumza kuhusu umeme wa Rufiji tu, hujaenda Kinyerezi, Kidatu, Mtera, Nyumba ya Mungu na kwingine ambako umeme unaendelea kuzalishwa.

Rais Magufuli na Serikali yake baada ya kugundua hatuna umeme wa kutosha na wenye bei nafuu kwa wananchi wake ndiyo ikaja na suluhisho hilo la Bwawa la Mwalimu Nyerere. Nini tena sasa? Tusiposema sisi kwa haya yanayofanyika basi hata mawe yatapiga kelele siku moja.View attachment 1597580
Upeo mdogo wa kuchambua mambo, megawhat 2,115 Ni kaproject kadogo tu.ni vile tu uchumi wenu Ni mdogo, ongelea megawatts9,000

Alafu mbwembwe nyingi mbona hamsemi 1KWh mtauza kwa shilling ngapi mradi ukikamilika?
 
Kwa nyongeza zaidi kitakwimu, kwa wale maTomaso, wanaobeza kuwa huo mradi ni maendeleo ya vitu, mimi natumia wastani wa unit 420 kwa mwezi wa gharama ~ 150,000/-.

Umeme wa Bwawa la Nyerere ukikamilika nitakuwa nalipa chini ya 20000/- kwa mwezi. Hii ina maana nitakuwa na salio la 130,000/- ambayo nitaitumia kwa maendeleo yangu (mtu).

Hiki ni kiasi cha 1,560,000/- kwa mwaka ambacho si haba maana kinatosheleza kwa elimu ya watoto/wajukuu wangu (maendeleo ya watu) au kulipia bima ya afya (maendeleo ya mtu), na kadhalika
Kelele tu bado we ni masikini sana
 
Ukipata nafasi na ukiona ni muhimu pitia ripoti iliyoambatanishwa hapa kuhusu mradi wa gesi na matumizi yakeView attachment 1598093
Bila

Bila kupunguza ladha ya maelezo yako mazuri yenye wingi wa busara. Wakati tunaimbushwa uchumi wa gas kama mwendawazimu, nyie mlikuwa kimya. Tuliambiwa kuwa mradi huo tutaweza kuzalisha 5,000m na ziada kuuza nje. Sasa nashindwa kuelewa iweje Magufuli aliyekuwa kimya mpaka tukakopa 1.5t kuwekeza kwenye gas, kwanini asipinge mradi huo na kusema wa maji sio sahihi?

Sasa hivi anakopa kimya kimya kisha anasema analeta umeme wa bei rahisi, ambao ni 2115m, anaacha kuwekeza ulioanza wa gas wenye 5,000m! Je ni kwanini hizo 6.5t zisiwekezwe kwenye mradi wa gas ambao umeshaanza, ule tulikuwa tunaimbishwa kama watoto wa shule ya msingi? Je akija rais mwingine akasema umeme wa upepo ni mrahisi zaidi, akaachana na huu wa maji nani atalipa deni la huo mradi mwingine?
Soma kiambatanisho hicho kuhusu Mafuta na Gesi Tanzania, utapata majibu ya hoja/maswali yako.
 
Back
Top Bottom