Daud omar
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 2,458
- 983
Habari wana MMU,
Nimekuwa nikiota nashindwa kupita kwenye daraja nyembamba ya miti au njia za milimani. msaada tafadhal
Wew ni mpenzi wa Chelsea bilashaka, sasa hautaota tena maana jana wamepindua matokeo. Sasa saivi ni mpaka finali