Hongera mwaya, ukinikuta road usiache kunipa lift. Mi bado nimefunga ndoa na tuktuk yangu SanLG, nasubiria ipate mimba labda inaweza kujifungua boxer nami nikafanye wizi benki ninunue Jeep.Babu nipo kwa mjerumani sasa me nipo speed mbaya
Yah kako vizuri sana .. we fanya kama navyokwambia me kilinisumbua balaa fundi walinilia hela tuAsante my dia..ila nakipenda sana maana hakil mafuta kabisaaa full bata
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] babu uzaekea huko safi sanaHongera mwaya, ukinikuta road usiache kunipa lift. Mi bado nimefunga ndoa na tuktuk yangu SanLG, nasubiria ipate mimba labda inaweza kujifungua boxer nami nikafanye wizi benki ninunue Jeep.
Mkuu jitahidi nawe umiliki haka ka baby walker. kakifungwa injini ya Helikopta hawa kina Dar Express unawapita juu kwa juu kama Bombadier ya mzee wa Chato.Hahahahaha....umenitengua mbavu ya kushoto
Hahahaha mkuu nilikuwa sijasoma hii comment. Nilikuwa na kastarlet kangu... bana waswahili niliwakoma... eti wanakaita mtoto wa gari afu wanashangaa mbona hakakui... mijamaa yenyewe iliyokuwa inanicheka haijawahi kubahatika kununua japo bodaboda mpaka kesho....Jamani Asprin mbona unasema kale[emoji23]sema gari
HahahahahahHahahaha mkuu nilikuwa sijasoma hii comment. Nilikuwa na kastarlet kangu... bana waswahili niliwakoma... eti wanakaita mtoto wa gari afu wanashangaa mbona hakakui... mijamaa yenyewe iliyokuwa inanicheka haijawahi kubahatika kununua japo bodaboda mpaka kesho....
We umeharibu uzi,Chato imeingiaje hapo.Kama hukuwa na cha kuchangia si ungenyamaza?Mkuu jitahidi nawe umiliki haka ka baby walker. kakifungwa injini ya Helikopta hawa kina Dar Express unawapita juu kwa juu kama Bombadier ya mzee wa Chato.
Kuna sehemu nimeongea??? Au kwako wewe kunyamaza unamaanisha nini???We umeharibu uzi,Chato imeingiaje hapo.Kama hukuwa na cha kuchangia si ungenyamaza?
Njoo nikuuzie bajaji yangu...Msema kweli mpenzi wa Mungu, bado sina gari.. Ila miss chaga nadhani ameshakutatulia tatizo lako
Hujaongea bali umeandika,na kunyamaza ni kutoandika chochote.Kuna sehemu nimeongea??? Au kwako wewe kunyamaza unamaanisha nini???
Hiyo ni kwa lugha ya kwenu... Tumia kiswahili, lugha ya taifa.Hujaongea bali umeandika,na kunyamaza ni kutoandika chochote.
Daaah hahahaa.... Sasa bajaji matairi matatu wanawake watanitaka kweli?Njoo nikuuzie bajaji yangu...
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, mtoto hutambaa ndio atembee...Daaah hahahaa.... Sasa bajaji matairi matatu wanawake watanitaka kweli?
Sawa mkuu ntakutafuta tuongee beiHata mbuyu ulianza kama mchicha, mtoto hutambaa ndio atembee...
sasa mkuu ukianza na gari huoni utakuwa umeruka stage???
Usijali, hawa wanawake wa kipindi hiki cha anko Magu, hata kwa mkopo wanatoa tunda.