Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Sisi ndio fursa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tre bien wenzetu walinyolewa sisi tutie maji kwa maana ya kuweka mikataba ya maslahi bora kwa Nchi yetu, ufaransa sasa hivi inajitafuta na hii ni fulsa kwetu, wachimbe ulanium mikoa ya kusini ambayo mwamerika ameweka kama reserve wakati sisi tuna njaa ya pesa mjazano wa nikeli kababnga na herium Rukwa, hatupashwi kuwa Nchi ya kulia lia wakati tuko matajiri hivi.
Ni kweli, hata kama wafaransa wanataka Uranium, tusiingie kichwa kichwa, tuweke vipaumbele vya nchi na biashara kwa faida yetu.tre bien wenzetu walinyolewa sisi tutie maji kwa maana ya kuweka mikataba ya maslahi bora kwa Nchi yetu, ufaransa sasa hivi inajitafuta na hii ni fulsa kwetu, wachimbe ulanium mikoa ya kusini ambayo mwamerika ameweka kama reserve wakati sisi tuna njaa ya pesa mjazano wa nikeli kababnga na herium Rukwa, hatupashwi kuwa Nchi ya kulia lia wakati tuko matajiri hivi.
Usiwe mwepesi wa kuabudu!! Diplomasia siyo jambo la kupuyanga, ni akili!!!ni katika kuendeleza diplomasia ya kiuchumi, kisiasa, sayansi, technologia na kijamii na mataifa mbalimbali duniani, regardless ya Taifa hilo liko kwenye status gani kwa wakati huo 🐒
by the way,
technically, hiyo ni fursa kubwa sana kwa Tanzanian kibiashara coz biashara na uwekezaji mwingi wa Ufaransa katika nchi ulizozitaja, unaweza kuhamishiwa Tz, tukapata ajira kwa vijana, kukuza uchumi n.k🐒
puppets wa magharibi waliopo Tz anajulikana vizuri sana na hawez fanya chochote, sembuse mapuppets from France ambao ni nyanya sana 🐒
Shida ya umaskini na kukosa mikakati ya kujitegemea, Samia hana jipyaRais Samia huyoo?
Sasa hivi kaenda Ufaransa!
Ufaransa, chini ya Macron, sasa hivi kimataifa haivumi upepo mzuri.
Matukio ya uhusiano wa Ufaransa na nchi za Afrika Magharibi, kama Niger, Mali, Burkina Faso na nchi nyingine siyo mzuri kabisa.
Nchi hizo za wenzetu zime experience ushenzi wa ukoloni mamboleo wa dola la kifaransa.
Uchumi wa nchi hizo ulidhibitiwa na ufaransa kiasi kwamba walikuwa wakinyonywa mchana kweupe.
Sasa wamewafukuza physically wafaransa wote toka nchini mwao.
Katika mazingira hayo lazima tujiulize, Mama Samia anafuata nini huko Ufaransa, na atatendewa nini tofauti na nchi za Afrika Magharibi?
Je ni mikataba mingapi? ya kuuza rasilimali kaenda kusainiRais Samia huyoo?
Sasa hivi kaenda Ufaransa!
Ufaransa, chini ya Macron, sasa hivi kimataifa haivumi upepo mzuri.
Matukio ya uhusiano wa Ufaransa na nchi za Afrika Magharibi, kama Niger, Mali, Burkina Faso na nchi nyingine siyo mzuri kabisa.
Nchi hizo za wenzetu zime experience ushenzi wa ukoloni mamboleo wa dola la kifaransa.
Uchumi wa nchi hizo ulidhibitiwa na ufaransa kiasi kwamba walikuwa wakinyonywa mchana kweupe.
Sasa wamewafukuza physically wafaransa wote toka nchini mwao.
Katika mazingira hayo lazima tujiulize, Mama Samia anafuata nini huko Ufaransa, na atatendewa nini tofauti na nchi za Afrika Magharibi?
hapo unamtetea kibaraka wa mabwenyenye wa magharibi sio? kwamba anawategemea mabwenyenye kuvuruga nchi 🤣Usiwe mwepesi wa kuabudu!! Diplomasia siyo jambo la kupuyanga, ni akili!!!
Tulisafiri sana kwenda Nchi za Kiarabu, kila mtu na dunia inajua kwamba tayari Tanganyika imepoteza kipande chake cha ardhi!! Endeleeni kupuyanga mtuletee dhahama nyingine
ili eti aonekane ni msela wa Tz 🐒Huuo papets anavaa ma culture culture
kibaraka ndio awe kiongozi wa kudai katiba, kweli?🐒Wazalendo wakipatikana wanapigwa vita vya wazi na vya chini kwa chini ili wapotee ulingoni !!
Uzalendo wa kwanza ni kudai Katiba mpya bora !!
Itakayozuia madudu yooooteee !!
Sio Katiba mpya tu !
Bali iwe ni Katiba mpya BORA ! 🙏🙏
kwamba Ufaransa atume mapuppets waje kutuvuruga 🐒Ni sawa mkuu, lakini ukiona mwezio aliyenyolewa bila makali, kama nchi za Afrika Magharibi, jiweke vizuri na wembe wako mwenyewe!
Watu wataendelea kutumia kuni na mkaa bila yeyeRais Samia huyoo?
Sasa hivi kaenda Ufaransa!
Ufaransa, chini ya Macron, sasa hivi kimataifa haivumi upepo mzuri.
Matukio ya uhusiano wa Ufaransa na nchi za Afrika Magharibi, kama Niger, Mali, Burkina Faso na nchi nyingine siyo mzuri kabisa.
Nchi hizo za wenzetu zime experience ushenzi wa ukoloni mamboleo wa dola la kifaransa.
Uchumi wa nchi hizo ulidhibitiwa na ufaransa kiasi kwamba walikuwa wakinyonywa mchana kweupe.
Sasa wamewafukuza physically wafaransa wote toka nchini mwao.
Katika mazingira hayo lazima tujiulize, Mama Samia anafuata nini huko Ufaransa, na atatendewa nini tofauti na nchi za Afrika Magharibi?
Kitu kilichofanyika Mali na Burkina Faso kimeudhi waafrika wengi.Watu wataendelea kutumia kuni na mkaa bila yeye
Katiba mpya bora ni muhimu !tunahitaji uzalendo, tunahitaji watu wazalendo wa maneno na vitendo angalau wa kutetea maslahi ya taifa na kukemea matumizi yasiyofaa ya fedha za serikali kwa maana ya matumizi yasiyozingatia vipaumbele vya taifa.
Sawa lakini elewa bila Mama Dunia itasimama na tusijifikirie Sisi wenyewe kwa kuwa tunaye Mama, lazima tuwafikirie na wenzetuKitu kilichofanyika Mali na Burkina Faso kimeudhi waafrika wengi.
Huu ndio upeo wa elimu ya Watanzania! Eti puppets wa Magharibi hawawezi kufanya chochote Tanzania! Huyo anayesema hivyo hajui hata Tanzania inapata asilimia ngapi katika dhahabu yake inayoibiwa. Na jee, Tanzania inatoa kiasi gani cha dhahabu kwa mwaka? Hata Samia hajui.ni katika kuendeleza diplomasia ya kiuchumi, kisiasa, sayansi, technologia na kijamii na mataifa mbalimbali duniani, regardless ya Taifa hilo liko kwenye status gani kwa wakati huo 🐒
by the way,
technically, hiyo ni fursa kubwa sana kwa Tanzanian kibiashara coz biashara na uwekezaji mwingi wa Ufaransa katika nchi ulizozitaja, unaweza kuhamishiwa Tz, tukapata ajira kwa vijana, kukuza uchumi n.k🐒
puppets wa magharibi waliopo Tz anajulikana vizuri sana na hawez fanya chochote, sembuse mapuppets from France ambao ni nyanya sana 🐒
Tutaona faida ya vitu hivyo pale tu tutakapofikia ujuzi wa kuchimbua sisi wenyewe. Sijui kwa nini ni vigumu kwa vichwa vya viongozi wetu kusomesha watu wa kutosha kwa miaka kumi na kuleta zana na kuweka mazingira ya nidhamu na udhibiti....tukaweza kufanya wenywe. Mbona Burkina Fasso sana inachimba, kusafisha, na kuuza dhahabu yake juzi juzi tu baada ya kuwafukuza wachimbaji wote wageni? Sasa imeanza kupata mara tatu ya ilivyokuwa inapata!tre bien wenzetu walinyolewa sisi tutie maji kwa maana ya kuweka mikataba ya maslahi bora kwa Nchi yetu, ufaransa sasa hivi inajitafuta na hii ni fulsa kwetu, wachimbe ulanium mikoa ya kusini ambayo mwamerika ameweka kama reserve wakati sisi tuna njaa ya pesa mjazano wa nikeli kababnga na herium Rukwa, hatupashwi kuwa Nchi ya kulia lia wakati tuko matajiri hivi.
Kuoga AirportShopping Dubai, bata Paris ..