Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Wanaume wa kikurya wakorofi sana watani zangu hawa.Ndio Sasa ka huyo daktari ukute wanawake walikuwa Wana mshobokea wanaume wakikurya wakaona wivu solution ikawa kumuua kikatili
Sababu wanafunzwa ngono tangu watoto kuspecialize eneo hiloLkn wanawake ambao wanashawish kugegeda ni wa mikoa ya pwani haijalish kabila gan
Nyie wafanyabiashara Muuza Viat na Muuza Kangala mu Hali Gani? KilimbatzzHa ha ha na ukikaa muda kidogo unawaona nao wakal
Labda alidharau maonyo aliyopewaNdio Sasa ka huyo daktari ukute wanawake walikuwa Wana mshobokea wanaume wakikurya wakaona wivu solution ikawa kumuua kikatili
Kwa hiyo unataka kusema wale jamaa huwa wanaingiziwa?Wanapotairiwa KWA kisu huwa kuna maroho machafu ya hasira na umwagaji damu huwa wanaingiziwa
Ujue kila jamii ina swaga zake ktk lile zoez pendwaEt miongozo mpya
Hata wanawake zao bila ngumi atakutia kidole machoni, wanawezana wao kwa wao kama wewe sio mwanajeshi utachemka.Wanaume wa kikurya wakorofi sana watani zangu hawa.
Mdogo wangu Kokulila akaona isiwe tabu akakimbia. Mwanaume ana pesa lakini mkono mwepesi. Akaona atakuja kuniua huyu mbwa akarudi nyumbani.
Niliwahi date mmoja..demu alikua na shape kali. Lakini hayuko romantic kabisa aisee. Nilipiga chini. Ni kama unalazimisha mapenzi. Naona wao mapenzi ni kwa ajili ya kupatia watoto tu.Hata wanawake zao bila ngumi atakutia kidole machoni, wanawezana wao kwa wao kama wewe sio mwanajeshi utachemka.
Both Wana maspirit ya ukorofi na ugomvi
Kila kabila lina mizimu inayoseti life standard yaani tabia,hulka nk mfanano kwa kabila zima.So utegemea na roho ipi inayotawala kabila hilo,labda tu uwe umejidisconnet na Mzimu huo kupitia elimu au dini unakuwa na tabia tofauti na kabila lako.Kwa hiyo unataka kusema wale jamaa huwa wanaingiziwa?
Kuna tofaut kati ya ngono na kufanya tendoSababu wanafunzwa ngono tangu watoto kuspecialize eneo hilo
Salama salmin
Niliwahi date mmoja..demu alikua na shape kali. Lakini hayuko romantic kabisa aisee. Nilipiga chini. Ni kama unalazimisha mapenzi. Naona wao mapenzi ni kwa ajili ya kupatia watoto tu.
Wanafanya na watu wa Mara wa makabila mengine waonekane wana tabia kama zao. Kumbe kuna wazanaki, waikizu, wanata, wajita hawana hizo mambo. Sema tu ni watu hawapendi miyeyusho na kupelekwapelekwa.
Wanasema shida niniR.I.P classmate
Jinsi nilivyosikia ni kwamba alikuwa anaenda kazini usiku mida ya Saa 8 ambapo huenda kulikuwa na dharura hadi akaondoka kuelekea hospital muda huo.Wanasema shida nini
Ujue kila jamii ina swaga zake ktk lile zoez pendwa