Ninyi Wenzangu mnakutana na wachumba maeneo gani?

Hapo kuna mawili.

Eiza Ungeanza na hao unaokutana nao kwanza huku unatafuta wachumba.

Au badala ya kutembea ukimbie kimbie ili uwafikie huenda wapo mbali kidogo.

[emoji852][emoji852][emoji852][emoji852]
Shukurani kwa ushauri wako.
 
Awo wanafunzi wa level gan kama chuo chukua chuma alaf swala la mke wa mtu alipo cha mtu huliwa na mtu wew tongoza ata wao""""ONYO"""mke wa mtu sum
 
Kumbe na nyie hiyo hali inawapataga

Kwanini sasa mnakuaga na viburi na kusema kirahisi nimempiga chin
Kumbe joto la jiwe linakuaga kali kiasi hiko[emoji38][emoji38][emoji38]
ohoo,inatupata sana,,ni tunakazaga kichwa tu ukimuona mwanamke yupo hapo unahisi umuhitaji,ngoja aindoke sasa,mimi joto linaniendea vibaya hapa nina kama week 3 sijahisi njaa kisa nimeachwa😅 nakula mara moja tu kwa siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…