Ninyi Wenzangu mnakutana na wachumba maeneo gani?

Nenda na uingie maeneo ya Kambi yaJeshi au kituo Cha polisi utaopoa pisi Kali mwenyewe hutaamini mkuu na utakuja kunishukuru.
 
ohoo,inatupata sana,,ni tunakazaga kichwa tu ukimuona mwanamke yupo hapo unahisi umuhitaji,ngoja aindoke sasa,mimi joto linaniendea vibaya hapa nina kama week 3 sijahisi njaa kisa nimeachwa[emoji28] nakula mara moja tu kwa siku

Naomba kucheka mkuu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]pole sana mkuu

Si ndio life tuu hili
Ila mpunguze viburi ona sasa utakufa njaa
Anyway wanawake tuko wengi nakuombea upate chaka lingne lisilo na upupu[emoji38][emoji38]
 
ahsanteπŸ˜‚ lakini kumbuka wanasema sio kila chaka ni la kujisaidia mengine yana nyoka,
nchi ngumu hii ukipigwa na kitu kizito kichwani
 
Take a break kwanza mkuu
Ukipenda tena kichwa kichwa moyo utafanywa kama ile nyama ya kutengenezea shawarma[emoji38][emoji38]
kabisaπŸ˜…,nahisi nitachizi kabisa aisee,kuna siku nimeongea mwenyewe
ndio mana nimeelewa mleta mada anapitia nini
 
Kumbe na nyie hiyo hali inawapataga

Kwanini sasa mnakuaga na viburi na kusema kirahisi nimempiga chin
Kumbe joto la jiwe linakuaga kali kiasi hiko[emoji38][emoji38][emoji38]
Madam samahani...
Hiyo Avatar ni wewe?!
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…