Na ww umeamini kabsa mwanetu yupo kwenye msafara?Dah kama wewe ni askari unapaswa kuchukuliwa hatua za kinidhamu na hufai kwenye hiyo mission.
Unapochaguliwa kwenda kwenye mission fulani haipendezi kutanganza kila mahala maana adui pia yupo kila mahala.
Haya hao M23 wanajua sasa mnakwenda majina yawaendaji yametoka.
Vita sio lazima iwe front line tu, inaweza kuanzia huku huku mlipo.
Sawa dadaUrudi salama.Mungu akutangulie. Ila ukiona hali ni mbaya kimbia π
Wewe ni commando au kawaida?tumepewa habari mda huu mkuu jina langu lipo
KawaidaWewe ni commando au kawaida?
Kukuoa au?GENTAMYCINE vipi wewe bado
Jitahidi sana uwe umeacha Wosia kwa Familia yako na hakikisha pia umewaambia ni wapi Wakuzike kwani nina uhakika hutorudi kwa Mtiti wa M23 uliochanganyika na RDF.Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Kwenda DRC mkuu,unamuoa vipi mwanaume mwenzioKukuoa au?
Uniletee zawadi kwa sababu utarudi salama ππSawa dada
Mungu awabariki sana nilishawahi wasafirishia vifaa kupeleka huko wakati flani kwakweli ile ni moja kati ya kazi Ngumu sana. Mungu awalinde na kuwapa nguvu ya kuweza kulifanikisha hilo. Maana watu wa ukanda huo wanataabikq sana .Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Mjeda haagi.Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Sawa dada tuombe uzimaUniletee zawadi kwa sababu utarudi salama ππ
Asante mkuuMungu awabariki sana nilishawahi wasafirishia vifaa kupeleka huko wakati flani kwakweli ile ni moja kati ya kazi Ngumu sana. Mungu awalinde na kuwapa nguvu ya kuweza kulifanikisha hilo. Maana watu wa ukanda huo wanataabikq sana .
Kama nakuona ukirudi unanunuq spacio au ist na gwanda juu ya kiti cha derevaWe choice unawatanguliza wenzako kwenye BATTLEFIELD huku wewe umejificha uvunguni unachati tu.
Nenda Congo wakakung'oe meno ya mbele uone cha moto.
Muende na Lucas Mwashambwa mkapigane vita za kiume kweli na sio kutuimbia mangonjera humu mitandaoni 24hrs.
Cc: johnthebaptist chiembe Extrovert Lamomy mshamba_hachekwi Half american realMamy
Sawa mkuuMjeda haagi.