Niombeeni nimechaguliwa kwenda Congo kuwaondoa m23 kundi letu linaondoka Jumanne

Na ww umeamini kabsa mwanetu yupo kwenye msafara?
 
Umenikumbusha Movie za Vita enzi hizo zikitafasiliwa na Lufufu....!
Kuna sehemu anasema...!

"Msimuueeee..... Namtaka Mzima mzima.... Mkimkamata mumlete mpaka kipande hii"
 
Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Jitahidi sana uwe umeacha Wosia kwa Familia yako na hakikisha pia umewaambia ni wapi Wakuzike kwani nina uhakika hutorudi kwa Mtiti wa M23 uliochanganyika na RDF.
 
Bila kujali ukweli wa habari hii.

Nina shida juu ya swala la M23 linavyoshughulikiwa na viongozi wa ukanda huu.

Hawa watu walikuwa totally defeated wakakimbilia Uganda na Rwanda na walikamatwa na kuwekwa chini ya ulinzi.

Waliaachiwa vipi?
 
Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Mungu awabariki sana nilishawahi wasafirishia vifaa kupeleka huko wakati flani kwakweli ile ni moja kati ya kazi Ngumu sana. Mungu awalinde na kuwapa nguvu ya kuweza kulifanikisha hilo. Maana watu wa ukanda huo wanataabikq sana .
 
Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Mjeda haagi.
 
Mungu awabariki sana nilishawahi wasafirishia vifaa kupeleka huko wakati flani kwakweli ile ni moja kati ya kazi Ngumu sana. Mungu awalinde na kuwapa nguvu ya kuweza kulifanikisha hilo. Maana watu wa ukanda huo wanataabikq sana .
Asante mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…