Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 1,198
- 2,695
Maport hawanaga muda na jf wenyewe wapo facebook wanaangaika na mashangazi🤣🤣🤣
We utakuwa mgambo
We utakuwa mgambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasema chai wakati USA wamewaambia raia wao waondoke Eastern Congo na CIC wiki hii amekutana na Makanali wa nchi nzima.lazima kuna namnaCHAI 🍵 🍵 🍵
Mkuu ungetupa maelekezo zaidi tukuombe kwa nani, ikiwa huamini uwepo wa Mungu wala shetani 👇🏻
Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli
Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zindukeni dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha...www.jamiiforums.com
Mission za hivi huwa ni siri hawapayukipayuki kama hivi, wewe sio muhusika. Umesikia ukaandikaM23 wako 25km ili kuichukua Goma, maisha yako hayawezi kupimwa kwa fedha. Ulitaka uombewe ili nini? Ukaue watu? Au ukauwawe?
I think you already know the answer make your own decisions
Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Umemaliza mapoti waliopo jf kidogo ni wale wasomi wasomj wenye mafuta mafuta ila kina koplo wako telegram mishangazi group huko hawana habari🤣🤣Maport hawanaga muda na jf wenyewe wapo facebook wanaangaika na mashangazi🤣🤣🤣
We utakuwa mgambo
Nawajua Sana hao wanangu hawataki mambo ya kuumiza kichwa 🤣🤣🤣Umemaliza mapoti waliopo jf kidogo ni wale wasomi wasomj wenye mafuta mafuta ila kina koplo wako telegram mishangazi group huko hawana habari🤣🤣
Ushauri mbaya huo! Ni kosa kubwa mwanajeshi kukimbia vita kwa namna yoyote! Kiapo cha kijeshi ni kufa vitani au kurudi na ushindi.Urudi salama.Mungu akutangulie. Ila ukiona hali ni mbaya kimbia 😜
SawaUshauri mbaya huo! Ni kosa kubwa mwanajeshi kukimbia vita kwa namna yoyote! Kiapo cha kijeshi ni kufa vitani au kurudi na ushindi.
Mimi ninamuombea mpiganani wetu aenda salama na arudi salama akiwa na ushindi dhidi ya hao wapumbavu wa m23.
Amina.
Unamuuliza maswali ambayo hayamuhusu kabisa ! Kazi ya JWTZ ni kulinda nchi na mipaka yake. Mambo ya usalama wa raia na mali zao ni kazi ya jeshi la polisi.Uchaguzi wa TAMISEMI
Haki za Raia
Ulinzi wa Raia....
Ulisimama upande upi?
Jibu ili tujue aina gani ya maombi unayostahili
Mwenyezi Mungu akusimamie katika kila hatuaWakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama
Shem unamwacha na nani?Wakuu niombeeni nimechaguliwz kwenda congo kuwaondoa m23 na kundi letu tunaondoka jumanne nawaaga kama wanajamii forum wenzangu japo sura hatujawahi kuonana ila tutakiane heri sisi ni kama ndugu humu hivyo maombi yenu muhimu nimalize hii kazi salama