Nionesheni bodaboda aliyeagiza gari Japan au China kwa kipato cha bodaboda niache kazi ya utumishi wa umma ndani ya saa 24

Nionesheni bodaboda aliyeagiza gari Japan au China kwa kipato cha bodaboda niache kazi ya utumishi wa umma ndani ya saa 24

Hii sasa ni too much

Unamfaninishaje mtu anayekufa kama nzi hapa jijini Dar es salaam na mtumishi wa umma?

Unamfaninishaje bodaboda ambaye akipata ajari kubwa tu anakimbizwa Kijijini kwa mama yake akafie huko na mtumishi wa umma ambaye ana bima ya watu 6?

Mtu akistaafu anakunja mpaka milioni mia moja leo hii unamfananisha na Bodaboda ambaye hata nywele kuchana ni mtihani.

Nionyesheni bodaboda mwenye nyumba angalau ya milioni 20 ambayo Karen kwa kazi ya kubeba watu?

Sasa hivi muda wa kazi ukipita ofisi za umma zikiwemo shule za msingi Dar es salaam utakutana na gari namba C,D na E nyingi za walimu na hazijawahi kukosa mafuta hata siku moja.

Na service zinafanyiwa kwa wakati. Bodaboda akiharibikiwa cylinder head ya 35 anahangahika kama kaibiwa figo

Priviledge to take a loan ukanunua gari haikufanyi uwe mjanja, ndo maana wewe unakaa kwenye vijumba vya NSSF vile vya 2 bedrooms vichafu, huku una subaru ya 19m na mkopo wa 20 ma wa miaka 5.

1. Kiwanja huna.
2. Wanao wa kiume na wa kike wa share room.
3. Mafuta kwa mwezi 300,000
4. Mnalogana na wafanya kazi wengine sababu ya vyeo....

Kama hii ni sifa, na kujisifia, ni sawa....
 
Gari nyingi za walimu ni za wanawake waliolewa na watumishi wasiotaka competition, maana ukioa Mwalimu hadi akufunike mshahara kazini umekaribia kustaafu, ashakuwa mtu mzima anajitambua, vurugu zote hizi za ndoa ni huku chini kuanzia miaka 45 kushuka chini umri ambao wanawake wengi hawajitambui, wanadanganyika.
 
Acheni kudharau kazi za watu,

Ukiacha ulevi wa bei rahisi, bangi, na ujana mwingi, bodaboda ni kazi kama kazi nyingine

Zipo almost everycountry.

It is solving last mile problem, hii haiwez kuisha, hata ulaya wana the same problem, wanatumia different means kwa sababu ya development zao but kwa Africa huwez ondoa bodaboda, they help alot to connect unconnected.
 
Unamaliza chuo unaingia Kazi ya bodaboda at the end akili inalala huwazi ajira tena. Mliyesoma nae la saba anamiliki maduka, mashamba, malori ana experience ya kutosha kuhusu street life, anafunga mzigo China, nini maana ya kupoteza mda shule
 
Tatizo mnashindanisha mbio fupi na mbio ndefu
 
Hii sasa ni too much

Unamfaninishaje mtu anayekufa kama nzi hapa jijini Dar es salaam na mtumishi wa umma?

Unamfaninishaje bodaboda ambaye akipata ajari kubwa tu anakimbizwa Kijijini kwa mama yake akafie huko na mtumishi wa umma ambaye ana bima ya watu 6?

Mtu akistaafu anakunja mpaka milioni mia moja leo hii unamfananisha na Bodaboda ambaye hata nywele kuchana ni mtihani.

Nionyesheni bodaboda mwenye nyumba angalau ya milioni 20 ambayo Karen kwa kazi ya kubeba watu?

Sasa hivi muda wa kazi ukipita ofisi za umma zikiwemo shule za msingi Dar es salaam utakutana na gari namba C,D na E nyingi za walimu na hazijawahi kukosa mafuta hata siku moja.

Na service zinafanyiwa kwa wakati. Bodaboda akiharibikiwa cylinder head ya 35 anahangahika kama kaibiwa figo
Bodaboda wengi wamejikua wanaharibikia ukubwana kwa tabia ya kubeba nyuma watu wenye tabia na nia tofauti tofauti.
 
Nasikia boda boda akipeleka mteja katikati ya jiji analipwa per diem laki,
😂😂😂😂
 
Mambo yakuzidiana kipato kutokana na kazi unayoifanya ni ushenzi tu , tatzo sio kipato kidgo je hicho kidgo unachopata utakifanyaje kuzalisha kikubwa, hyo ndio akili kubwa,sio boda na walimu tu wapo boda na walimu wanawazid mainjinia , ni swala la uwezo wa kuchakata kidogo kuwa kikubwa , ila yote ya yote boda waifanye hii kazi kwa malengo ya mda tu , wakipata mitaji waachane nao .
 
Priviledge to take a loan ukanunua gari haikufanyi uwe mjanja, ndo maana wewe unakaa kwenye vijumba vya NSSF vile vya 2 bedrooms vichafu, huku una subaru ya 19m na mkopo wa 20 ma wa miaka 5.

1. Kiwanja huna.
2. Wanao wa kiume na wa kike wa share room.
3. Mafuta kwa mwezi 300,000
4. Mnalogana na wafanya kazi wengine sababu ya vyeo....

Kama hii ni sifa, na kujisifia, ni sawa....
DUH
 
Back
Top Bottom