kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Kuna mtu alianza na bodaboda Moja sasa anazo 10, huyu baadae hataagiza kagari kake Japan?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sasa ni too much
Unamfaninishaje mtu anayekufa kama nzi hapa jijini Dar es salaam na mtumishi wa umma?
Unamfaninishaje bodaboda ambaye akipata ajari kubwa tu anakimbizwa Kijijini kwa mama yake akafie huko na mtumishi wa umma ambaye ana bima ya watu 6?
Mtu akistaafu anakunja mpaka milioni mia moja leo hii unamfananisha na Bodaboda ambaye hata nywele kuchana ni mtihani.
Nionyesheni bodaboda mwenye nyumba angalau ya milioni 20 ambayo Karen kwa kazi ya kubeba watu?
Sasa hivi muda wa kazi ukipita ofisi za umma zikiwemo shule za msingi Dar es salaam utakutana na gari namba C,D na E nyingi za walimu na hazijawahi kukosa mafuta hata siku moja.
Na service zinafanyiwa kwa wakati. Bodaboda akiharibikiwa cylinder head ya 35 anahangahika kama kaibiwa figo
Nakusikiliza kiongozi.
Dhereu hii🤣🤣🤣🤣mmmh hii vita
Kuna ukweli umeongea ila ppoz wanapita like hawaoni chochoteNakusikiliza kiongozi.
Mchumi daraja la Pili wa halmashauri, anazidiwa Kwa kipato na bodaboda na BajajKuna ukweli umeongea ila ppoz wanapita like hawaoni chochote
Bodaboda wengi wamejikua wanaharibikia ukubwana kwa tabia ya kubeba nyuma watu wenye tabia na nia tofauti tofauti.Hii sasa ni too much
Unamfaninishaje mtu anayekufa kama nzi hapa jijini Dar es salaam na mtumishi wa umma?
Unamfaninishaje bodaboda ambaye akipata ajari kubwa tu anakimbizwa Kijijini kwa mama yake akafie huko na mtumishi wa umma ambaye ana bima ya watu 6?
Mtu akistaafu anakunja mpaka milioni mia moja leo hii unamfananisha na Bodaboda ambaye hata nywele kuchana ni mtihani.
Nionyesheni bodaboda mwenye nyumba angalau ya milioni 20 ambayo Karen kwa kazi ya kubeba watu?
Sasa hivi muda wa kazi ukipita ofisi za umma zikiwemo shule za msingi Dar es salaam utakutana na gari namba C,D na E nyingi za walimu na hazijawahi kukosa mafuta hata siku moja.
Na service zinafanyiwa kwa wakati. Bodaboda akiharibikiwa cylinder head ya 35 anahangahika kama kaibiwa figo
DUHPriviledge to take a loan ukanunua gari haikufanyi uwe mjanja, ndo maana wewe unakaa kwenye vijumba vya NSSF vile vya 2 bedrooms vichafu, huku una subaru ya 19m na mkopo wa 20 ma wa miaka 5.
1. Kiwanja huna.
2. Wanao wa kiume na wa kike wa share room.
3. Mafuta kwa mwezi 300,000
4. Mnalogana na wafanya kazi wengine sababu ya vyeo....
Kama hii ni sifa, na kujisifia, ni sawa....