Nipeni njia ya kuingiza $2 online kwa siku

Nipeni njia ya kuingiza $2 online kwa siku

Yaani unakuwa umekaa tu pesa inaingia yenyewe?
Kwa Shughuli yake ya kukaa shop kuanzia asubuhi mpaka usiku,Kasema anahitaji online biznes isiyo hitaji movement Yani atayo ifanya akiwa anaendelea na Shughuli yake ya shop lakini hana ujuzi wowote wa IT na hataki online biznes za forex, bitcoins,online biznes za kuinvest,kufungua sijui blog, YouTube .Kama Kuna nyingine ndo anaomba maelekezo.Maana Kuna nyingine zinahitaji kupiga picha kitu ambacho yeye hawezi Kwa sababu ya kushinda shop muda wote.
 
Ponz scheme...
Mkuu siwezi leta kwa watu scam ndio mana nikasema kujiunga hutumii ela just ni free wakt unajiunga unaanza na kianzio elfu kumi utainvest according tu the balance u have ukiona Iko poa unaweza xx ukaweka ela
 
Ni Software gani nzuri ya kufanya Subtitles Powerdirector inakataa kuongia kwa PC yangu.
Kama unafanya subtitle ambazo ni part of the video zipo nyingi hata easy video editor inafanya. Ila mimo napendelea kufanya subtitle ambazo ni srt au ass file so video na subtitle ni files tofauti.. napenda tumia aegisub
 
SME nikampuni ya uhakika kutoka Marekani inayolipa kwa masaa, kwa siku, kwa wiki, kwa mwezi, miezi hadi mwakaa

Naweza kujiungaje
??

Jisajili kwa line yako kisha downlod App ya kampuni utakutana na offa yako ya Tsh 10,000/= iwekeze ukitaka uanze kuvuna faida [emoji857][emoji857]

Malipo hufanyikaje??

Malipo yote hufanyika Kwa njia mbili kama ifuatavyo[emoji116]

M PESA na mfumo wa USDT Kwa wale wenye Wallet

Vifurushi vyake vikoje
??

Baadhi ya vifurushi vyake ni hivii hapa [emoji116]

Ukiweka Tshs 30,000/= utapokea sh. 1440 kila siku kwa siku 7 kwa muda wa wiki 5

Ukiweka Tshs 80,000/= utapokea she 4320/= kila siku kwa mda wa siku 15 kwa muda wa wiki 10

Ukiweka Tshs 200,000/= unapokea shs 12,000/= kila sikuu kwa siku 30 kwa miezi mitano

Ukiweka Tshs 500,000/= Utapokea shs 34,000/= kila sikuu kwasiku 60 kwa miezi 10

Utawekeza tena na tenaa

Withdrawal


Kiwango cha chini cha utoaji ni Tsh 5000/= kwa njia ya m-pesa au USDT

withdrawal fee ni 15%

Jisajiri link

VMX7SZ7M


Ingia kwa group [emoji116]
SME TANZANIA[emoji1241].
jisajili kisha download app alafu login kupitia taarifa zako za usajili.. utakuta ten ya offer investment unufaike.. ukitaka kuweka Hela Yako ni wewe but Sio lazia
Ndugu hchi kitu kina uhalisia kweli? ... na kama ni kweli je kuna umuhimu wa kuwa na Bank...kama pesa ndo inapatikana kirahisi ivi ... au ndo ukiona unmitigated fursa jua wewe ndo fursa yenyewe
 
Habari wakuu.

Naombeni njia ya kweli ambayo siyo scam ya kuingiza $2 online kwa siku.

Isiwe blogging na apps, forex, kubet, cryptocurrency na referral invite networking. sizitaki hizi njia kwasababu:

-Blogging na apps sina uzoefu nayo na sijasomea IT,
-Forex kuijua inabidi uache shughuli nyingine uconcetrate nayo,
-Kubet hakutabiriki, leo unapata kesho unakosa,
-Crypocurrency mtaji wake ni mkubwa, kima cha chini ni 100,000,
-Referral invite networking watu wanaiona ni utapeli kwakuwa wengi wameshalizwa.

Karibuni kwa ushauri wakuu, nitafurahi sana nikipata njia ya uhakika ya kuingiza $2 online kwa siku.
Ingia Google andika how to be richer than Jeff benzo in 3hrs itakusaidia sana
 
Kuna apps ambazo unaingiza kipato kidogo kwa kushare data(Mbs). Mfano wa hizo app ni Honey Gain, Peer2Profit n.k
Tuanze na App hii inaitwa Peer2Profit haitokuingizia pesa nyingi kwa haraka ila utapata chochote kitu kutegemea na matumizi yako ya internet.

App hii inakuwezesha kuingiza pesa kwa kushare internet yako. Unaweza kuearn kuanzia $2 mpaka $1000 kila mwezi kulingana na how active you are.


Tumia link hii 👆👆👆 kujisajili. Ni simple tu, bonyeza link itakupeleka playstore download kisha signup kutumia gmail yako. Then seat back and relax.

Hii App ni safe na ina ratings 4.79/5 meaning ni salama na inaaminiwa.
 
Kuna apps ambazo unaingiza kipato kidogo kwa kushare data(Mbs). Mfano wa hizo app ni Honey Gain, Peer2Profit n.k
Tuanze na App hii inaitwa Peer2Profit haitokuingizia pesa nyingi kwa haraka ila utapata chochote kitu kutegemea na matumizi yako ya internet.

App hii inakuwezesha kuingiza pesa kwa kushare internet yako. Unaweza kuearn kuanzia $2 mpaka $1000 kila mwezi kulingana na how active you are.


Tumia link hii 👆👆👆 kujisajili. Ni simple tu, bonyeza link itakupeleka playstore download kisha signup kutumia gmail yako. Then seat back and relax.

Hii App ni safe na ina ratings 4.79/5 meaning ni salama na inaaminiwa.
$1000 kwa mwezi? 😄
 
Back
Top Bottom