Kwa Shughuli yake ya kukaa shop kuanzia asubuhi mpaka usiku,Kasema anahitaji online biznes isiyo hitaji movement Yani atayo ifanya akiwa anaendelea na Shughuli yake ya shop lakini hana ujuzi wowote wa IT na hataki online biznes za forex, bitcoins,online biznes za kuinvest,kufungua sijui blog, YouTube .Kama Kuna nyingine ndo anaomba maelekezo.Maana Kuna nyingine zinahitaji kupiga picha kitu ambacho yeye hawezi Kwa sababu ya kushinda shop muda wote.Yaani unakuwa umekaa tu pesa inaingia yenyewe?
Mkuu siwezi leta kwa watu scam ndio mana nikasema kujiunga hutumii ela just ni free wakt unajiunga unaanza na kianzio elfu kumi utainvest according tu the balance u have ukiona Iko poa unaweza xx ukaweka elaPonz scheme...
Translation, subtitling, QA, copywriting, transcreation na mengine
Kama unafanya subtitle ambazo ni part of the video zipo nyingi hata easy video editor inafanya. Ila mimo napendelea kufanya subtitle ambazo ni srt au ass file so video na subtitle ni files tofauti.. napenda tumia aegisubNi Software gani nzuri ya kufanya Subtitles Powerdirector inakataa kuongia kwa PC yangu.
Ndugu hchi kitu kina uhalisia kweli? ... na kama ni kweli je kuna umuhimu wa kuwa na Bank...kama pesa ndo inapatikana kirahisi ivi ... au ndo ukiona unmitigated fursa jua wewe ndo fursa yenyeweSME nikampuni ya uhakika kutoka Marekani inayolipa kwa masaa, kwa siku, kwa wiki, kwa mwezi, miezi hadi mwakaa
Naweza kujiungaje??
Jisajili kwa line yako kisha downlod App ya kampuni utakutana na offa yako ya Tsh 10,000/= iwekeze ukitaka uanze kuvuna faida [emoji857][emoji857]
Malipo hufanyikaje??
Malipo yote hufanyika Kwa njia mbili kama ifuatavyo[emoji116]
M PESA na mfumo wa USDT Kwa wale wenye Wallet
Vifurushi vyake vikoje??
Baadhi ya vifurushi vyake ni hivii hapa [emoji116]
Ukiweka Tshs 30,000/= utapokea sh. 1440 kila siku kwa siku 7 kwa muda wa wiki 5
Ukiweka Tshs 80,000/= utapokea she 4320/= kila siku kwa mda wa siku 15 kwa muda wa wiki 10
Ukiweka Tshs 200,000/= unapokea shs 12,000/= kila sikuu kwa siku 30 kwa miezi mitano
Ukiweka Tshs 500,000/= Utapokea shs 34,000/= kila sikuu kwasiku 60 kwa miezi 10
Utawekeza tena na tenaa
Withdrawal
Kiwango cha chini cha utoaji ni Tsh 5000/= kwa njia ya m-pesa au USDT
withdrawal fee ni 15%
Jisajiri link
VMX7SZ7M
Ingia kwa group [emoji116]
SME TANZANIA[emoji1241].
jisajili kisha download app alafu login kupitia taarifa zako za usajili.. utakuta ten ya offer investment unufaike.. ukitaka kuweka Hela Yako ni wewe but Sio lazia
Hii ipojeWazee wa bitcoins
Ipoje hiiPambana na appen na oneforma mkuu wana viproject vingi vingi ukikomaa haswa hukosi $30 kwa wiki
Nimejaribu lakini process za kujisajili ni defu kidgo inahitaji uzoefu kidgoIpoje hii
Hii unafanyaje mkuu Mimi nipo muda ninao Kazi zangu hazinibanHizi online survey ni masikhara aisee yaani karibia siku tatu premise Nina mia saba kwenye acc View attachment 2161368
[emoji16][emoji16]Appen ni ujinga tu. Toloka mpaka utoboe buku aisee. Jasho limekutoka. Nmekomaa nayo wiki nzima nmepata mia mbili [emoji23]
Ipoje hiiKwa nini usijifunze scalping mkuu
Itakulipa nakuhakikishia
Hakuna kilicho kigumu ukiamua
Ukiwa na dollar 50 kuingiza dollar 5 kwa siku ni Dakika moja tu
Dah mkuu, napambana lakini chamoto nakiona.[emoji16][emoji16]
Mkuu pambana
Appen wana project za ela sema location Kenya...Appen ni ujinga tu. Toloka mpaka utoboe buku aisee. Jasho limekutoka. Nmekomaa nayo wiki nzima nmepata mia mbili [emoji23]
Nilijiungq na Upwork had leo sijui cha kufanyaYaah kule kupata kazi inabidi ujipange ni mtiti
Ingia Google andika how to be richer than Jeff benzo in 3hrs itakusaidia sanaHabari wakuu.
Naombeni njia ya kweli ambayo siyo scam ya kuingiza $2 online kwa siku.
Isiwe blogging na apps, forex, kubet, cryptocurrency na referral invite networking. sizitaki hizi njia kwasababu:
-Blogging na apps sina uzoefu nayo na sijasomea IT,
-Forex kuijua inabidi uache shughuli nyingine uconcetrate nayo,
-Kubet hakutabiriki, leo unapata kesho unakosa,
-Crypocurrency mtaji wake ni mkubwa, kima cha chini ni 100,000,
-Referral invite networking watu wanaiona ni utapeli kwakuwa wengi wameshalizwa.
Karibuni kwa ushauri wakuu, nitafurahi sana nikipata njia ya uhakika ya kuingiza $2 online kwa siku.
Upwork everyone is doing what everyone else is doing, especially kwa freelancers from TZ.Nilijiungq na Upwork had leo sijui cha kufanya
Nilijiungq na Upwork had leo sijui cha kufanya
$1000 kwa mwezi? πKuna apps ambazo unaingiza kipato kidogo kwa kushare data(Mbs). Mfano wa hizo app ni Honey Gain, Peer2Profit n.k
Tuanze na App hii inaitwa Peer2Profit haitokuingizia pesa nyingi kwa haraka ila utapata chochote kitu kutegemea na matumizi yako ya internet.
App hii inakuwezesha kuingiza pesa kwa kushare internet yako. Unaweza kuearn kuanzia $2 mpaka $1000 kila mwezi kulingana na how active you are.
Share your internet and earn money!
A unique system of monetizing Internet traffic that will provide you with passive income. Join Peer2Profit and use your internet 100%.p2pr.me
Tumia link hii πππ kujisajili. Ni simple tu, bonyeza link itakupeleka playstore download kisha signup kutumia gmail yako. Then seat back and relax.
Hii App ni safe na ina ratings 4.79/5 meaning ni salama na inaaminiwa.