Nipeni njia ya kuingiza $2 online kwa siku

Machine /pc utakayotuma lazima iwe very powerful yenye gpu na cpu kubwa kuanzia $1,000+
Gaharama za internet
Gharama za umeme
Nimekupata. Kwenye maelezo yangu nimefafanua kwamba mfumo wa kufanya mining wa RENEC kwa sasa ni tofauti na coins nyingine. Unaweza kutumia simu yako ya mkononi tu na kuhitaji data wakati wa kufungua app tu. Baada ya hapo unaweza kuzima data hadi masaa 24 yapite. Na zaidi ya yote haikugharimu pesa direct.
 
Ni lini utapanda samani
 
😂😂😂Pazuri zuri tu si indicator tu ,wenzio wako kweny frame zao za maduka ela wanaiona Ila huku wanakushawishi Indicator😂😂
Ukiwa too biased ni shida sana hapa duniani. Tuwe optimistic jamani, hvi ni nani aliyekuambia kwamba ukitumia indicators kutrade fx au stocks or indices hupati profit ni nani? Hakuna strategy bora kwenye financial markets. Infact, majority ya hao wanajidai wanatrade kwa kutumia price action huwa wanakula za uso balaa. Siyo kwamba ukitumia indicator basi wewe ni dumb kabisa kuhusu price action. I make money using indicators that suite my trading needs!

 
Mzee mbn hii app haipo playstore?? Isije kuwa in kirusi sheikh?
 
Hii haina faida kwa sisi tunaotumia WiFi za mtaani maana wanataka wewe ndo uprovide data...
 
Karibu huku[emoji116][emoji116]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…