Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasema Hana skills yoyote.Huko juu kaandikaWhich skills do you have kwanza? Tuanzie hapa
Nenda playstore pakua app ya "premise"Naomba endelea Kaka how to join ?
Appen wana survey nyingi ila ukiweza kuwacheat kuwa uko kenya utapata kazi nyingi za kiswahili ambapo wanalipa 2.5 to 5$ kwa saa na unafanya masaa 20 kwa week ukisikiliza na kireview sauti.Please naomba nielekeze Zaid
Hii appen ipo play store?Appen wana survey nyingi ila ukiweza kuwacheat kuwa uko kenya utapata kazi nyingi za kiswahili ambapo wanalipa 2.5 to 5$ kwa saa na unafanya masaa 20 kwa week ukisikiliza na kireview sauti.
Otherwise wana kazi za kukusanya picha pia kwa ajili ya kutrain AI.
Siko sure kama wana app ila ni website, na kazi zao nyinhi itahitaji uwe na laptop. Ila wana kaz nyingi kama location yako ni kenyaHii appen ipo play store?
Mkuu hebu fafanua hii tafadhali....Kazi zipo kama hizi mtaji ni bando lako Ila tatizo tunafanya in illegal way kwasababu tunatumia profile za nchi nyingine kama US, CANADA na UK.
Hatufanyi kama watanzania.
Na ww umeshasema unataka ambazo sio illegal[emoji119]View attachment 2152726
Ukifanikiwa na mchongo wowote wa online tupe mrejesho .huwa naona watu wanapromote tu kuingiza pesa online, lakini sijaona wakitoa shuhuda wamefanikiwa kutoa hizo pesa, kwanini?
umesahwahi kutoa hizo pesa?
Habari mkuu?Jifunze kucheza game za NFT .. unaweza kupata zaidi ya dola 40 kwa siku ukifika level ya intermediate.
Mkuu unaweza nielezea hapa shida ni nini?Beginner
enrollapp.com
Legend
We Test.com
Testerwork.com
Usercrowd.com
Nahitaji
Bando La Muda Wote Online
Strong Reliable VPN
Lain Ya Safar Com Kenya
Kuwa Smart Kwenye Kufanya hizo Kazi
Fuatilia hayo Utanikumbuka
Mkuu hivi appen si wanatumia PayPal pekee kama payment method?Siko sure kama wana app ila ni website, na kazi zao nyinhi itahitaji uwe na laptop. Ila wana kaz nyingi kama location yako ni kenya
Paypal na payoneer ndo nina hakika nazo njia nyingine sikumbukiMkuu hivi appen si wanatumia PayPal pekee kama payment method?
Well saidSasa hujasema una skills gani tutakushaurije? Kama hauna IT skills utafanyaje kazi za online?
Hii ya PREMISE ikoje ufafanuzi mkuu!Jaribu pia PREMISE ni App kuna survey na Tasks malipo yataingia kama vocha kwa namba yako ya simu
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Kwahy tz inayokubali ni PayPal au payoneer?Paypal na payoneer ndo nina hakika nazo njia nyingine sikumbuki
Sina hakika kwa appen mkuu kama ukiweka uko tz utapata option ya paypal sina hakika. Kuna platform nyingine haijalishi unaweka location gani bado paypal utaiona lakini kwa appen sina hakika maana mimi wakati nafanya kazi appen nlikuwaga nalipwa via payoneer. Nna miaka kama minne siitumii appen.Kwahy tz inayokubali ni PayPal au payoneer?
Shukrani mkuu,na kuhusu hii PREMISE inahitaji ujuzi wowote kuifanya!?Sina hakika kwa appen mkuu kama ukiweka uko tz utapata option ya paypal sina hakika. Kuna platform nyingine haijalishi unaweka location gani bado paypal utaiona lakini kwa appen sina hakika maana mimi wakati nafanya kazi appen nlikuwaga nalipwa via payoneer. Nna miaka kama minne siitumii appen.
Sidhani mkuu, sema personally sijawahi kufañya survey zao maana naona malipo madooogo sana.Shukrani mkuu,na kuhusu hii PREMISE inahitaji ujuzi wowote kuifanya!?