Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Mimi Nina mpango wa kumfata mazima niweke nusu ya utajiri wangu 🤣🤣UTOPOLO HAWAVUKI HILI KUNDI
Sawa mwanetu 😀 😃UTOPOLO HAWAVUKI HILI KUNDI
Leo ndo siku yako ya mwisho kuonekana online hapa JF hadi hapo tarehe 17 Feb 2025. Kwaheri.Mimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.
Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
Huyo siyo mwanetu..!!Sawa mwanetu 😀 😃
Ajiandae kwa ban leoHuyo siyo mwanetu..!!
Haya leo tutapata majibu.Mimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.
Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.
Mm naona Mods Ban Wacheleshe kidogo aone fujo zote weeeh afu mumpige maana ni lazimaMimi Dabil nikiwa na akili zangu timamu bila kushurutishwa au kushawishiwa na mtu yeyote,Yanga akivuka hatua ya makundi na kuingia robo fainali nipigwe BAN ya mwezi.
Ninetafakari sana,haitatokea Yanga kuvuka hili kundi maana hawana uzoefu wa kuingia robo fainali ya club bingwa mwisho wa ni makundi tu.