Nipigwe 'ban' ya mwezi iwapo Yanga atavuka hatua ya makundi

Kuna Kolo mwenzio alishawahi kujiapiza kama hivi kuwa Sisi tukishinda yeye sio Muislam tena!!!
Kilichotokea alielekezwa ili Uislamu wake uendelee inabidi akasilimishwe!!!
 
Leo ndo siku yako ya mwisho kuonekana online hapa JF hadi hapo tarehe 17 Feb 2025. Kwaheri.
 
Haya leo tutapata majibu.
 
Mm naona Mods Ban Wacheleshe kidogo aone fujo zote weeeh afu mumpige maana ni lazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…