Nipo Chato natafakari mengi, kwa hili pekee Katoliki na Usalama wangelisaidia Taifa kama wangeamua

Nipo Chato natafakari mengi, kwa hili pekee Katoliki na Usalama wangelisaidia Taifa kama wangeamua

Nina takribani siku ya Tatu wilayani chato pahala nilipopachagua kufika kufanya utafiti dhidi utimamu wa akili wa Raisi wa Tanzania kabla hajawa raisi

Nikiwa kwenye utafiti wangu nikajikuta nafika pale nyumbani kwake kwanza nakutana na jengo la kanisa kubwa AMBALO kwa Sasa limefungwa

Naingiwa na shauku ya kutaka kujua ilo kanisa liliandikwa mtakatifu Joseph mbona limefungwa?

Najukishwa yakuwa baada ya kifo Cha baba Yao familia iliwafukuzia mbali waumini wa kanisa la pente coste walio kuwa wanasalia pale.

Pentecoste na mtakatifu Joseph wap na wapi? Majibu niliyopewa ni kuwa Marehemu alijenga kAnisa kwa lengo la kuwapa katholik lakini walilikataa ndo akaamua kuwapa walokikore

Kwa mtu ANAE ijua catholic uwez Jenga kanisa ukawapa wao hii ilikuwa inshara ya ukichaaa tosha na kwa point hii catholic na usalama walishiriki kutupa kichaa
Naomba nikuulize swali...
Wewe ni Shoga...?
Kama wewe siyo shoga, ni vipi unatabia za ki dada.
Mtu ameshajifia, ila bado unamchamba tu.
 
Nina takribani siku ya Tatu wilayani chato pahala nilipopachagua kufika kufanya utafiti dhidi utimamu wa akili wa Raisi wa Tanzania kabla hajawa raisi

Nikiwa kwenye utafiti wangu nikajikuta nafika pale nyumbani kwake kwanza nakutana na jengo la kanisa kubwa AMBALO kwa Sasa limefungwa

Naingiwa na shauku ya kutaka kujua ilo kanisa liliandikwa mtakatifu Joseph mbona limefungwa?

Najukishwa yakuwa baada ya kifo Cha baba Yao familia iliwafukuzia mbali waumini wa kanisa la pente coste walio kuwa wanasalia pale.

Pentecoste na mtakatifu Joseph wap na wapi? Majibu niliyopewa ni kuwa Marehemu alijenga kAnisa kwa lengo la kuwapa katholik lakini walilikataa ndo akaamua kuwapa walokikore

Kwa mtu ANAE ijua catholic uwez Jenga kanisa ukawapa wao hii ilikuwa inshara ya ukichaaa tosha na kwa point hii catholic na usalama walishiriki kutupa kichaa
Umesoma kitabu cha Kabendera mkuu?
 
Nina takribani siku ya Tatu wilayani chato pahala nilipopachagua kufika kufanya utafiti dhidi utimamu wa akili wa Raisi wa Tanzania kabla hajawa raisi

Nikiwa kwenye utafiti wangu nikajikuta nafika pale nyumbani kwake kwanza nakutana na jengo la kanisa kubwa AMBALO kwa Sasa limefungwa

Naingiwa na shauku ya kutaka kujua ilo kanisa liliandikwa mtakatifu Joseph mbona limefungwa?

Najukishwa yakuwa baada ya kifo Cha baba Yao familia iliwafukuzia mbali waumini wa kanisa la pente coste walio kuwa wanasalia pale.

Pentecoste na mtakatifu Joseph wap na wapi? Majibu niliyopewa ni kuwa Marehemu alijenga kAnisa kwa lengo la kuwapa katholik lakini walilikataa ndo akaamua kuwapa walokikore

Kwa mtu ANAE ijua catholic uwez Jenga kanisa ukawapa wao hii ilikuwa inshara ya ukichaaa tosha na kwa point hii catholic na usalama walishiriki kutupa kichaa

..mbona IGP Simon Sirro amejenga Kanisa na kawapa Wakatoliki?
 
Nina takribani siku ya Tatu wilayani chato pahala nilipopachagua kufika kufanya utafiti dhidi utimamu wa akili wa Raisi wa Tanzania kabla hajawa raisi

Nikiwa kwenye utafiti wangu nikajikuta nafika pale nyumbani kwake kwanza nakutana na jengo la kanisa kubwa AMBALO kwa Sasa limefungwa

Naingiwa na shauku ya kutaka kujua ilo kanisa liliandikwa mtakatifu Joseph mbona limefungwa?

Najukishwa yakuwa baada ya kifo Cha baba Yao familia iliwafukuzia mbali waumini wa kanisa la pente coste walio kuwa wanasalia pale.

Pentecoste na mtakatifu Joseph wap na wapi? Majibu niliyopewa ni kuwa Marehemu alijenga kAnisa kwa lengo la kuwapa katholik lakini walilikataa ndo akaamua kuwapa walokikore

Kwa mtu ANAE ijua catholic uwez Jenga kanisa ukawapa wao hii ilikuwa inshara ya ukichaaa tosha na kwa point hii catholic na usalama walishiriki kutupa kichaa
Sawa yaaigizeni majini yasaidie ushindi kama mkivyoahidi
 
Kwa taarifa Yako, hilo kanisa alijenga na mhemko wa kisiasa. Alitaka liwe kanisa la wakristo wa madhehebu yote. Alitaka na waisalamu wasali humohumo. Wakatoliki wakakataa, ndiyo hao wengine wakakubali
Na waislqm tena !! Kweli huo ni ukichaaa pro max
 
Mleta mada ndio wale huhubiri humu "Kikwete is the best president we ever had"

Hii nchi inaharibiwa na wajinga wenye nguvu.
 
Mshana Jr, kuna kanisa limetelekezwa kulekule ulikotelekezwa uwanja wa ndege wa kimataifa
Uwanja umetelekezwa? Mbona unafanya kazi mkuu? Nimepandia ndege pale like 3 times, ile coaster ya airport mara zote ilikua inajaza abiria. Nawalaumu sana ATC, hawatangazi local roots, wangekua wanafanya advertisement za local roots, uwanja wa Chato ungekua kwenye top 5 ya airports zilizo busy bongo. Wakazi wa Geita wengi bado hawajui kama uwanja wa Chato unafanya kazi kama wengi wetu humu, wanakwenda Mwanza badala ya Chato. ATC bado inafanya biashara kizamani sana, husikii matangazo yao, wanatangaza ya nje tu. Eti Nigeria, India! Umasikini wa shirika hili ni wa kujitakia.
 
Uwanja umetelekezwa? Mbona unafanya kazi mkuu? Nimeoandia ndege pale like 3 times, ile coaster ya airport mara zote ilikua inajaza abiria. Nawalaumu sana ATC, hawatangazi local roots, wangekua wanafanya advertisement za local roots, uwanja wa Chato ungekua kwenye top 5 ya airports zilizo busy. Wakazi wa Geita wengi bado hawajui kama uwanja wa Chato unafanya kazi kama wengi wetu humu, wanakwenda Mwanza badala ya Chato. ATC bado inafanya biashara kizamani sana, husikii matangazo yao, wanatangaza ya nje tu. Eti Nigeria, India! Umasikini wa shirika hili ni wa kukitakia.
Humu watu wanakurupuka kuandika JPM hatosahaulika na zitawauma saana
 
Humu watu wanakurupuka kuandika JPM hatosahaulika na zitawauma saana
Magufuli alikua bonge la genius; anacho sifiwa rais wa sasa ni mambo ambayo anatekeleza ya Magufuli; huko huko Chato kwenye mbuga ya Burigi, lile eneo lilikua na majambazi yanateka magari, usiku ilikua sio salama kusafiri kutoka Biharamuro or Chato to Muleba au Bukoba; mara baada ya mwamba kupandikiza wanyama pale, ujambazi ulikwisha automatic. Jambazi gani likae porini eneo ambalo lina wanyama? Ni watu wasio fikiria vizuri pekee yao ndio wanaweza kumkejeri Magufuli. Jamaa alikua anafikiria, mwamba alikua na akili na maamuzi yake mengi yalikua reasonable
 
Kwa taarifa Yako, hilo kanisa alijenga na mhemko wa kisiasa. Alitaka liwe kanisa la wakristo wa madhehebu yote. Alitaka na waisalamu wasali humohumo. Wakatoliki wakakataa, ndiyo hao wengine wakakubali
Kama alitaka wakristo wa madhehebu yote waabudu pamoja, na waislamu pia....hakika huyo alikuwa zaidi ya kichaa
 
Magufuli alikua bonge la genius; anacho sifiwa rais wa sasa ni mambo ambayo anatekeleza ya Magufuli; huko huko Chato kwenye mbuga ya Burigi, lile eneo lilikua na majambazi yanateka magari, usiku ilikua sio salama kusafiri kutoka Biharamuro or Chato to Muleba au Bukoba; mara baada ya mwamba kupandikiza wanyama pale, ujambazi ulikwisha automatic. Jambazi gani likae porini eneo ambalo lina wanyama? Ni watu wasio fikiria vizuri pekee yao ndio wanaweza kumkejeri Magufuli. Jamaa alikua anafikiria, mwamba alikua na akili na maamuzi yake mengi yalikua reasonable
Wise man wezi wengi wanamchukia JPM
 
Nina takribani siku ya Tatu wilayani chato pahala nilipopachagua kufika kufanya utafiti dhidi utimamu wa akili wa Raisi wa Tanzania kabla hajawa raisi

Nikiwa kwenye utafiti wangu nikajikuta nafika pale nyumbani kwake kwanza nakutana na jengo la kanisa kubwa AMBALO kwa Sasa limefungwa

Naingiwa na shauku ya kutaka kujua ilo kanisa liliandikwa mtakatifu Joseph mbona limefungwa?

Najukishwa yakuwa baada ya kifo Cha baba Yao familia iliwafukuzia mbali waumini wa kanisa la pente coste walio kuwa wanasalia pale.

Pentecoste na mtakatifu Joseph wap na wapi? Majibu niliyopewa ni kuwa Marehemu alijenga kAnisa kwa lengo la kuwapa katholik lakini walilikataa ndo akaamua kuwapa walokikore

Kwa mtu ANAE ijua catholic uwez Jenga kanisa ukawapa wao hii ilikuwa inshara ya ukichaaa tosha na kwa point hii catholic na usalama walishiriki kutupa kichaa

Kwa taarifa Yako, hilo kanisa alijenga na mhemko wa kisiasa. Alitaka liwe kanisa la wakristo wa madhehebu yote. Alitaka na waisalamu wasali humohumo. Wakatoliki wakakataa, ndiyo hao wengine wakakubali
Yaan waislam wasali kwenye kanisa ?ivi jiwe aliwaroga nyie?
 
Back
Top Bottom