Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Cha mtu huliwa na mtu mkuu mto*be tuBado hujafa ila mkeo kaolewa na biashara ga mihogo ikichanganya nitamtomba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha mtu huliwa na mtu mkuu mto*be tuBado hujafa ila mkeo kaolewa na biashara ga mihogo ikichanganya nitamtomba
Mbona umeanza matusi, content ya jamaa ilikua kuonesha ubovu wa elimu yetu inavowapotezea watu muda, elimu yetu huwafanya watu wawe waoga, ndio maana mtu uliemaliza nae darasa la saba akaishia hapo Kwa sasa kajenga na anafamilia, ili hali aliefika chuo kikuu hana hata mtoto na girlfriend wake kamkimbia labda akipata kazi ndio atarudiBado hujafa ila mkeo kaolewa na biashara ga mihogo ikichanganya nitamtomba
Nimecheka sanaBado hujafa ila mkeo kaolewa na biashara ga mihogo ikichanganya nitamtomba
Itabidi nitafute dalali maana nimetembea kutafuta sehemu Hadi nimechoka yaniGood idea
Kukaanga mihongo na kuuza makusanyo ya kuku
Kwa kuanza waweza kuanza na mihogo na makusanyo ya kuku
Ila target yako iweke ktk kuuza kuku wa kukaanga .
Kuku faida yake ni kubwa Sana waweza pata 20-30-50K faida kutegemea na mtaji wako.
Wapi utapata location?
Tafuta dalali ongea naye atakupatia location ya kufanya biashara.
Maeneo (location)
Lenga eneo lenye bodaboda hao ndo wateja wakubwa.
Wasaidizi wake sio 😂Baadae ukikaa vizuri asubuhi kwenye mihogo, unatafuta dada unaweka meza yako ya alminium unatengeneza mboga mboga kwanza unapika maharage ya kupima, unakua na vidagaa mchele vya kupima, unakua na kipimo umekatakata mbogamboga kama kabichi, chines, hapo Kwa siku utapata pesa tu kikubwa location yako, usafi na lugha njema Kwa wateja vitakubeba, kwenye maharage usiweke chumvi na uwe na kifriza kidogo kitakusaidia, wasaidizi wako waeleze usafi usafi,
Hakuna dawa ya biashara dawa ni wewe mwenyewe, treatment yako Kwa wateja ubora wa huduma ndio usafi wenyewe mengine hua ni porojo,Usisahau kujisafisha
ASante mkuu acha niwekee aibu pembeni nipambaneLaki 2 nyingi sana mzee Bakhresa alianza na ki stendi tu na vi brush, ata dawa za kiu alichukua kwa mali kauli
Safi, pigania dream yako 💪
Kujisafisha umeelewaje ?Hakuna dawa ya biashara dawa ni wewe mwenyewe, treatment yako Kwa wateja ubora wa huduma ndio usafi wenyewe mengine hua ni porojo,
Ni jokes mkuu nsamehe kama nimekukwazaCha mtu huliwa na mtu mkuu mto*be tu
Kabisa Mkuu, All the bestASante mkuu acha niwekee aibu pembeni nipambane
Ujue watu hufanya Kwa mazoea na kazi kama hiyo ili afaulu atafute vijana wa kiume ndio apige nao kazi hatokuja kujutaWasaidizi wake sio 😂
Sijakuelewa unaweza fafanua kidogoUsisahau kujisafisha
Inatosha sanaNina laki MBILI
Unaweza niambia kilichokufurahisha hata na mm napenda kufurahi😁Wasaidizi wake sio 😂
We si unaona mleta mada ndio anaanza kujitafuta SA vijana atawalipa Nini!Ujue watu hufanya Kwa mazoea na kazi kama hiyo ili afaulu atafute vijana wa kiume ndio apige nao kazi hatokuja kujuta
Mkuu sijawahi yachukulia seriously maisha ya mitandaoni Kwa % zote utakavyo kuja ndo utakavojibiwa. Pamoja sanaNi jokes mkuu nsamehe kama nimekukwaza
Mkuu sijawahi yachukulia seriously maisha ya mitandaoni Kwa % zote utakavyo kuja ndo utakavojibiwa. Pamoja sanaNi jokes mkuu nsamehe kama nimekukwaza
Nakubali mtu wanguMkuu sijawahi yachukulia seriously maisha ya mitandaoni Kwa % zote utakavyo kuja ndo utakavojibiwa. Pamoja sana