Nipo katika wakati mgumu sana. Nimejaribu namna nyingi bado sijapatiwa Ufumbuzi

Nipo katika wakati mgumu sana. Nimejaribu namna nyingi bado sijapatiwa Ufumbuzi

Jumamos nlikuwa na wife tunaenda Bagamoyo kumtembea. Tukiwa njiani nilijikuta namsimulia wife habari ya mchepuko wangu ambaye kwa kweli ananisumbua sana kichwa. Amenichanganya sana.

Tulikuwa tunazungumza tu mambo ya maisha na wanawake nikamwambia wanawake wa siku hizi pesa mbele. Hawana hata aibu. Nikaanza msimulia nikiwa nimejisahau kama vile namsimulia mshkaji tu.

Nikamwambia huyo mchepuko nlivyompata.na jinsi ambavyo hazipiti siku mbili tatu anaomba pesa.nikamwambia nimememchoka ila nashindwa mwacha sababu ananipa penzi zuri sana.na nina mfeel sana.

Wife aliendelea kusikiliza mpaka nlipomaliza.akaniuliza kama nimemaliza....kwa kweli hapo ndo nikashtuka na kugundua kuwa nlikuwa naharibu. Akaomba nisimamishe gari...na akawa anafungua mlango aruke.

Ikabidi nisimamishe gari ashuke.safari ikaishia hapo na ikabidi nianze mbembeleza arudi garini. Aligoma akachukua taxi kurudi home.ikabidi tu nifuatilie hiyo Taxi maana sikujua anaenda wapi.amefika home anataka abebe nguo aondoke..

Wadau toka jumamosi nimenuniwa..nikileta zawadi hapokei.unyumba nanyimwa anasema mpaka miezi mitatu ipite nikapime. Then nisubiri mitatu tena nikapime.

Yule mpuuzi kanitumia msg anaomba nimpatie 700,000 aongezee kwenye kodi ya nyumba. Sijataka hata kumjibu shetani mkubwa...muflisi,jini mnyonya damu.majulsi mkubwa ,mfitini na mchonganishi. Na leo naenda kuchukua TV,Microwave,fridge,sofa na jiko la gesi.. nimeshawaambia watu wa kirukuu.

Yaani mwanamke ananyonya damu ikiisha anataka nyonya hadi ubongo....sasa ngoja nikabebe vitu vyangu mbwa yule akajibebe na yeye...mtu gani hana shukrani?yaani ananichanganya mpaka namsimulia wife upuuzi wake?
Nimecheka sanaa

Acha usaniii wee jamaaa

Unatuona mazobaa eee.

Mkee sio kanga ambaye kila.mtu anayo
 
Jumamos nlikuwa na wife tunaenda Bagamoyo kumtembea. Tukiwa njiani nilijikuta namsimulia wife habari ya mchepuko wangu ambaye kwa kweli ananisumbua sana kichwa. Amenichanganya sana.

Tulikuwa tunazungumza tu mambo ya maisha na wanawake nikamwambia wanawake wa siku hizi pesa mbele. Hawana hata aibu. Nikaanza msimulia nikiwa nimejisahau kama vile namsimulia mshkaji tu.

Nikamwambia huyo mchepuko nlivyompata.na jinsi ambavyo hazipiti siku mbili tatu anaomba pesa.nikamwambia nimememchoka ila nashindwa mwacha sababu ananipa penzi zuri sana.na nina mfeel sana.

Wife aliendelea kusikiliza mpaka nlipomaliza.akaniuliza kama nimemaliza....kwa kweli hapo ndo nikashtuka na kugundua kuwa nlikuwa naharibu. Akaomba nisimamishe gari...na akawa anafungua mlango aruke.

Ikabidi nisimamishe gari ashuke.safari ikaishia hapo na ikabidi nianze mbembeleza arudi garini. Aligoma akachukua taxi kurudi home.ikabidi tu nifuatilie hiyo Taxi maana sikujua anaenda wapi.amefika home anataka abebe nguo aondoke..

Wadau toka jumamosi nimenuniwa..nikileta zawadi hapokei.unyumba nanyimwa anasema mpaka miezi mitatu ipite nikapime. Then nisubiri mitatu tena nikapime.

Yule mpuuzi kanitumia msg anaomba nimpatie 700,000 aongezee kwenye kodi ya nyumba. Sijataka hata kumjibu shetani mkubwa...muflisi,jini mnyonya damu.majulsi mkubwa ,mfitini na mchonganishi. Na leo naenda kuchukua TV,Microwave,fridge,sofa na jiko la gesi.. nimeshawaambia watu wa kirukuu.

Yaani mwanamke ananyonya damu ikiisha anataka nyonya hadi ubongo....sasa ngoja nikabebe vitu vyangu mbwa yule akajibebe na yeye...mtu gani hana shukrani?yaani ananichanganya mpaka namsimulia wife upuuzi wake?
Ukabebe na mishahawa yako
 
mh mbona kuna mwanamke ananiambia mumewe ni mjinga mjinga na kanitunuku naifumua vizur tu kwa stori za mwanamke huyo nahisi anakuongelea ww kabisa
 
Nataman kushaur,
Ila story yako bado Haniingii akilini
 
Kosa la hawara ni lipi? Zinaa ni mbaya inaleta ufukara wa akili na uchumi hudumaa ,Muombe mkeo radhi atakuswamehe
 
Dereva nishushe kituo kimoja kabla ya kufika Bagamoyo...
 
🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana, dah jinga sana wewe
 
Jumamos nlikuwa na wife tunaenda Bagamoyo kumtembea. Tukiwa njiani nilijikuta namsimulia wife habari ya mchepuko wangu ambaye kwa kweli ananisumbua sana kichwa. Amenichanganya sana.

Tulikuwa tunazungumza tu mambo ya maisha na wanawake nikamwambia wanawake wa siku hizi pesa mbele. Hawana hata aibu. Nikaanza msimulia nikiwa nimejisahau kama vile namsimulia mshkaji tu.

Nikamwambia huyo mchepuko nlivyompata.na jinsi ambavyo hazipiti siku mbili tatu anaomba pesa.nikamwambia nimememchoka ila nashindwa mwacha sababu ananipa penzi zuri sana.na nina mfeel sana.

Wife aliendelea kusikiliza mpaka nlipomaliza.akaniuliza kama nimemaliza....kwa kweli hapo ndo nikashtuka na kugundua kuwa nlikuwa naharibu. Akaomba nisimamishe gari...na akawa anafungua mlango aruke.

Ikabidi nisimamishe gari ashuke.safari ikaishia hapo na ikabidi nianze mbembeleza arudi garini. Aligoma akachukua taxi kurudi home.ikabidi tu nifuatilie hiyo Taxi maana sikujua anaenda wapi.amefika home anataka abebe nguo aondoke..

Wadau toka jumamosi nimenuniwa..nikileta zawadi hapokei.unyumba nanyimwa anasema mpaka miezi mitatu ipite nikapime. Then nisubiri mitatu tena nikapime.

Yule mpuuzi kanitumia msg anaomba nimpatie 700,000 aongezee kwenye kodi ya nyumba. Sijataka hata kumjibu shetani mkubwa...muflisi,jini mnyonya damu.majulsi mkubwa ,mfitini na mchonganishi. Na leo naenda kuchukua TV,Microwave,fridge,sofa na jiko la gesi.. nimeshawaambia watu wa kirukuu.

Yaani mwanamke ananyonya damu ikiisha anataka nyonya hadi ubongo....sasa ngoja nikabebe vitu vyangu mbwa yule akajibebe na yeye...mtu gani hana shukrani?yaani ananichanganya mpaka namsimulia wife upuuzi wake?

One man down
 
Yaan umemsimulia mkeo habari za mchepuko wako [emoji849] huyo unaemuita mkeo ni mkeo kweli ama umechanganya madesa?
 
Wanaosema chai bado hawajui vitimbwi vya maisha

Kuna bro mmoja ni mtu wa karibu sana kikazi, huyu mwamba hanywi pombe wala havuti sigara, starehe yake kubwa ni mademu haswa hawa wadogo wadogo na nyumbani ana mke na watoto

Huyu bro alipata mchepuko mmoja alimuhudumia kila kitu pesa, assets za ndani ambazo hata kwake hana

Baada ya miezi kadhaa kupita demu akawa na yeye anachepuka kisiri akapigwa mimba

Bro alivogundua alidata mazima akawa amevurugwa mbaya, hiko kipindi alkuwa na machungu sana imagine ananisimulia mm hilo tukio na kuniambia kwamba sijui kama ntaweza kuishi bila ya huyu demu wakati nyumbani ana mke na watoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom