Nichukue hatua gani ndugu?!!Roho za uzinzi zinakunyemelea
Nilishakujibu katika sentensi ya pili kutoka chini.Dada na yeye ameota ndoto hiyo?
[emoji1672][emoji1787]
Hama hapo kwenu. Halafu tafuta mwanamke. Sio unaishi na ugwadu huku kila jioni unamuona Dada yako akienda kuoga na kanga moja.Imenitokea usiku wa leo wadau, hapa nimebaki nimeshangaa tu tangu asubuhi mpaka muda huu.
Wanasema si vema kusimulia ndoto lakini kwa hili limenishinda; kikubwa nilichoweza kufanya ni kutosimulia hapa mtaani na badala yake nimekuja humu.
Fadhaa zaidi inanikuta kwenye aina ya mapenzi niliyoota tunafanya, ni kinyume na maumbile ndg zangu huku kukiwa na mtu (sikumtambua ndotoni kuwa ni nani) anayeelekeza.
Ni nini hiki?!!!!!!
Kwa uzoefu wangu mdogo wa jf nilionao, nalazimika kuadvance ahsante zangu kwa waliokuwa standby kunidhihaki.....kudhihaki wenye kukutwa na visanga.
Nawasilisha waheshimiwa!
Kwa faida ya wana jf, katiba nini nini mzee?Duuh amakweli hii nchi inahitaji katiba mpya..
Rejea sentesi ya pili toka chini, ukimaliza hima elekea jikoni kuchochea maharage!Yaelekea dadako ana msambwanda wa hatarii kuliko mkeo/mchumbako
Akitetemaaa tuu we wadi&$@ndisha
Shukrani sana, mi limenifadhaisha sana hili na nina hisia hizo.Fanya ibada sana sidhani kama ishara nzuri
Kwa taarifa yako mjumbe, hata siishi pamoja na ndugu zangu.....wapo zaidi ya kilomita 200 kutoka nilipo na kuonana labda mara moja kwa miaka miwili. Nina kwangu na familia yangu ndo maana limenishangaza sana.Hama hapo kwenu. Halafu tafuta mwanamke. Sio unaishi na ugwadu huku kila jioni unamuona Dada yako akienda kuoga na kanga moja.
Mi hii hapana, nimeamua kutafuta udafanuzi humu ila huku niliko nitakufa nayo!Pole sana bora ufe nalo tu mimi mwenyewe nimeota ndoto ya ajabu sana ila inahusu ngono nimekaaa kimyaaaa nitakufa na hii ndoto kichwani
Relax.Kwa taarifa yako mjumbe, hata siishi pamoja na ndugu zangu.....wapo zaidi ya kilomita 200 kutoka nilipo na kuonana labda mara moja kwa miaka miwili. Nina kwangu na familia yangu ndo maana limenishangaza sana.
Huu mwaka utakuwa mrefu sanahuu mwaka una mambo
Kabisa, si kawaida ndoto kama hizi.....nimeota maelfu ya ndoto katika makumi ya miaka lakini hii ni ya ajabu kabisa!huu mwaka una mambo