Nipo kwenye fadhaa ndugu zangu; nimeota nafanya mapenzi na dada yangu!

Nipo kwenye fadhaa ndugu zangu; nimeota nafanya mapenzi na dada yangu!

Kuna jamaa pia ashawahi nambia yy huwa anaota anasex na mdogo wake wa kike. Japo hawakai pamoja ni miaka kumi tangu aanze Kujitegemea. Anasema hii ndoto hua anaiota kila baada ya miez kadhaa.

Nkamuuliza ushawahi kumtaman dadako? Anasema hapana!! [emoji45]
 
F82064A7-B593-4AB2-8CB3-2AC2B3A37AFD.jpeg
 
hama hapo kwenu dogo.ukipata changa moto hutaota ndoto za aina hizo tena.
 
Imenitokea usiku wa leo wadau, hapa nimebaki nimeshangaa tu tangu asubuhi mpaka muda huu.

Wanasema si vema kusimulia ndoto lakini kwa hili limenishinda; kikubwa nilichoweza kufanya ni kutosimulia hapa mtaani na badala yake nimekuja humu.

Fadhaa zaidi inanikuta kwenye aina ya mapenzi niliyoota tunafanya, ni kinyume na maumbile ndg zangu huku kukiwa na mtu (sikumtambua ndotoni kuwa ni nani) anayeelekeza.

Ni nini hiki?!!!!!!

Kwa uzoefu wangu mdogo wa jf nilionao, nalazimika kuadvance ahsante zangu kwa waliokuwa standby kunidhihaki.....kudhihaki wenye kukutwa na visanga.

Nawasilisha waheshimiwa!
Futa kwanza video zote za huo uchafu wa kuingilia wanawake kinyume na maumbile kwenue simu yako (kama zipo), halafu ndiyo utapata ushauri sahihi.
 
Mkuu usiwe na wasiwasi hata mimi imenitokea hiyo ni ndoto pevu mara nyingi aidha ni ishara una nyege sana au basi tu kichwa kina madudu na ni kawaida
 
Siku Ndoto ya aina hiyo ukiota zaidi ya mara 3, nifate inbox nikuambie cha kufanya, hapa utadhihakiwa tu na Watoto wa Mbwa.
 
Back
Top Bottom