usimtamani dadako.Baraka tele zikufikie, mi ni mdhaifu mno...nikimtusi mtu siajabu wiki nzima nikawa siko sawa. Jioni njema!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usimtamani dadako.Baraka tele zikufikie, mi ni mdhaifu mno...nikimtusi mtu siajabu wiki nzima nikawa siko sawa. Jioni njema!
Dah umeota unamsugua dada Yako mashavu kisawasawa vp dada anamsambwanda au?Imenitokea usiku wa leo wadau, hapa nimebaki nimeshangaa tu tangu asubuhi mpaka muda huu.
Wanasema si vema kusimulia ndoto lakini kwa hili limenishinda; kikubwa nilichoweza kufanya ni kutosimulia hapa mtaani na badala yake nimekuja humu.
Fadhaa zaidi inanikuta kwenye aina ya mapenzi niliyoota tunafanya, ni kinyume na maumbile ndg zangu huku kukiwa na mtu (sikumtambua ndotoni kuwa ni nani) anayeelekeza.
Ni nini hiki?!!!!!!
Kwa uzoefu wangu mdogo wa jf nilionao, nalazimika kuadvance ahsante zangu kwa waliokuwa standby kunidhihaki.....kudhihaki wenye kukutwa na visanga.
Nawasilisha waheshimiwa!
Mkuu kwa hii avatar yako unaruhuaiwa kutoa maoni kama uliyoyatoa 🤣🤣🤣🤣Roho za uzinzi zinakunyemelea
Imenitokea usiku wa leo wadau, hapa nimebaki nimeshangaa tu tangu asubuhi mpaka muda huu.
Wanasema si vema kusimulia ndoto lakini kwa hili limenishinda; kikubwa nilichoweza kufanya ni kutosimulia hapa mtaani na badala yake nimekuja humu.
Fadhaa zaidi inanikuta kwenye aina ya mapenzi niliyoota tunafanya, ni kinyume na maumbile ndg zangu huku kukiwa na mtu (sikumtambua ndotoni kuwa ni nani) anayeelekeza.
Ni nini hiki?!!!!!!
Kwa uzoefu wangu mdogo wa jf nilionao, nalazimika kuadvance ahsante zangu kwa waliokuwa standby kunidhihaki.....kudhihaki wenye kukutwa na visanga.
Nawasilisha waheshimiwa!
Ni maombi tuNichukue hatua gani ndugu?!!
🙏🙏🙏Ni maombi tu
Watu wana uhuru umepitiliza😁😁Duuh amakweli hii nchi inahitaji katiba mpya..
Mkuu pole sana huyo ni jini mahaba unaye mwilini mwako anakuharibia kila kitu katika maisha yako pesa ukipata hazikai kila kiu kwako kinakuwa ni kigumu marafiki zako wa karibu wanakuchukia na ndugu wanakuchukia pasipo na sababu. Hizo zote ni dalili ya kuwa wewe una jini mwanamke aka jini mahaba nitafute kwa wakati wako ili nipate kumtoa huyo jini mahaba usipo mtoa atakutia Nuksi na ya kutopata pesa na umasikini wa maisha .Imenitokea usiku wa leo wadau, hapa nimebaki nimeshangaa tu tangu asubuhi mpaka muda huu.
Wanasema si vema kusimulia ndoto lakini kwa hili limenishinda; kikubwa nilichoweza kufanya ni kutosimulia hapa mtaani na badala yake nimekuja humu.
Fadhaa zaidi inanikuta kwenye aina ya mapenzi niliyoota tunafanya, ni kinyume na maumbile ndg zangu huku kukiwa na mtu (sikumtambua ndotoni kuwa ni nani) anayeelekeza.
Ni nini hiki?!!!!!!
Kwa uzoefu wangu mdogo wa jf nilionao, nalazimika kuadvance ahsante zangu kwa waliokuwa standby kunidhihaki.....kudhihaki wenye kukutwa na visanga.
Nawasilisha waheshimiwa!
Kama hamjui vitu nyamazeni wakuu,Yaelekea dadako ana msambwanda wa hatarii kuliko mkeo/mchumbako
Akitetemaaa tuu we wadi&$@ndisha
Unarudia ambacho nimeshajibu, kwakuwa hunijui basi uko sahihiAchana na ujinga wa kuangalia video chafu..ndio zimekujaza mawazo hayo mpaka yanajirudia kwenye ndoto
Ndo jf kiongozi, yatupasa tuvumilie tuKama hamjui vitu nyamazeni wakuu,
Shukrani kiongozi!Mkuu pole sana huyo ni jini mahaba unaye mwilini mwako anakuharibia kila kitu katika maisha yako pesa ukipata hazikai kila kiu kwako kinakuw ani kigumu marafiki zako wa karibu wanakuchukia ndugu wanakuchukia pasipo na sababu. Hizo zote ni dalili ya kuwa wew una jini mwanamke aka jini mahaba nitafute kwa wakati wako ili nipate kumtoa huyo jini mahaba usipo mtoa atakutia umasikini wa maisha .
Mkuu kuna mtu mchafu wa kiroho anaweza kuwa na tabia za kishirikina au tabia fulani mbaya au makubaliano fulani ya hovyo anapanga kumshirikisha mtu hilo jambo kwa namna isiyo ya kawaida.Kama mama yako mzazi yupo basi ndie anaewindwa kwa jambo hilo.Huyo aliefichwa ni mtu unaemjua vilivyo, kufichwa kwake kindoto ndivyo jinsi unavyomfahamu kiundani.Unarudia ambacho nimeshajibu, kwakuwa hunijui basi uko sahihi
Ni dalili mbaya iyo.. tubu kwanza usamehewe,,, ncheki inobox kwa msaada zaidiImenitokea usiku wa leo wadau, hapa nimebaki nimeshangaa tu tangu asubuhi mpaka muda huu.
Wanasema si vema kusimulia ndoto lakini kwa hili limenishinda; kikubwa nilichoweza kufanya ni kutosimulia hapa mtaani na badala yake nimekuja humu.
Fadhaa zaidi inanikuta kwenye aina ya mapenzi niliyoota tunafanya, ni kinyume na maumbile ndg zangu huku kukiwa na mtu (sikumtambua ndotoni kuwa ni nani) anayeelekeza.
Ni nini hiki?!!!!!!
Kwa uzoefu wangu mdogo wa jf nilionao, nalazimika kuadvance ahsante zangu kwa waliokuwa standby kunidhihaki.....kudhihaki wenye kukutwa na visanga.
Nawasilisha waheshimiwa!
Imenitokea usiku wa leo wadau, hapa nimebaki nimeshangaa tu tangu asubuhi mpaka muda huu.
Wanasema si vema kusimulia ndoto lakini kwa hili limenishinda; kikubwa nilichoweza kufanya ni kutosimulia hapa mtaani na badala yake nimekuja humu.
Fadhaa zaidi inanikuta kwenye aina ya mapenzi niliyoota tunafanya, ni kinyume na maumbile ndg zangu huku kukiwa na mtu (sikumtambua ndotoni kuwa ni nani) anayeelekeza.
Ni nini hiki?!!!!!!
Kwa uzoefu wangu mdogo wa jf nilionao, nalazimika kuadvance ahsante zangu kwa waliokuwa standby kunidhihaki.....kudhihaki wenye kukutwa na visanga.
Nawasilisha waheshimiwa!
Hatari sana😂😂Watu wana uhuru umepitiliza😁😁