Nipo kwenye fadhaa ndugu zangu; nimeota nafanya mapenzi na dada yangu!

Nipo kwenye fadhaa ndugu zangu; nimeota nafanya mapenzi na dada yangu!

Imenitokea usiku wa leo wadau, hapa nimebaki nimeshangaa tu tangu asubuhi mpaka muda huu.

Wanasema si vema kusimulia ndoto lakini kwa hili limenishinda; kikubwa nilichoweza kufanya ni kutosimulia hapa mtaani na badala yake nimekuja humu.

Fadhaa zaidi inanikuta kwenye aina ya mapenzi niliyoota tunafanya, ni kinyume na maumbile ndg zangu huku kukiwa na mtu (sikumtambua ndotoni kuwa ni nani) anayeelekeza.

Ni nini hiki?!!!!!!

Kwa uzoefu wangu mdogo wa jf nilionao, nalazimika kuadvance ahsante zangu kwa waliokuwa standby kunidhihaki.....kudhihaki wenye kukutwa na visanga.

Nawasilisha waheshimiwa!


Usifadhaike sana mkuu.

Ngoja nikupe ndoto moja inayofanana kwa kiasi fulani na hiyo ndoto yako, pia nitakupa tafsiri yake.(ndoto ni taarifa za kiroho zenye tafsiri za kimwili/ kihalisia).

Hapo zamani Katika mji fulani alitokea mwanamke.mmoja tajiri, yeye usiku mmoja aliota ndoto watu/wanaume wote wa mji huo wakimuingilia alistuka ndotoni na akafadhaika sana na ndoto hiyo, alitaka kujua nini maana ya ndoto hiyo yeye akashindwa kwenda moja kwa moja kwa mtaalamu wa kufasiri ndoto hivyo akamtuma kijakazi wake wa kike aende kwa huyo mtaalamu na huyo kijakazi amsimulie hiyo ndoto huyo mtaalamu kama kwamba ni yeye (kijakazi) ndiye aliyeota hiyo ndoto na kaenda kupata tafsiri yake, , baada ya kijakazi kumsimulia yule mtaalamu, mtaalamu akashtuka na akamuuliza kazi yake ni ipi?!, yule kijakazi akamueleza mtaalamu kwamba yeye ni kijakazi wa huyo mwanamke tajiri, baada ya mtaalamu kuambiwa hivyo mara moja akamfukuza huyo kijakazi, Kijakazi akarudi kwa bosi wake (mwanamke tajiri) na akamsimulia kilichotokea, yule Mwanamke akamtuma tena yule kijakazi akamuambie kwamba hiyo ndoto aliyeiota ni yeye (mwanamke tajiri), yule kijakazi akaenda tena kwa mtaalamu na kumulezea ukweli juu ya hiyo ndoto, yule mtaalamu akasema; Kama hiyo ndoto kaiota huyo huyo Mwanamke tajiri basi hiyo ni ndoto sahihi na maana yake ni kwamba; Kuna jambo kubwa la manufaa atalifanya huyo tajiri kwa ajili ya watu wa mji ule, na inasemekana huyo Mwanamke alikuwa na mpango wa kuchimba kisima katika mji ule hivyo alipopata majibu ya hiyo ndoto yake ari yake ya kujenga kisima ikaongezeka hadi akakamilisha na watu wakafaidi maji.

Ndoto yako inafanana na hiyo isipokuwa yako ipo kinyume kwani utajipatia faida kutoka kwa huyo dada yako kwa njia ya haramu/kitapeli baada ya kushawishiwa na mtu fulani huyo ambaye upo naye kwenye ndoto.
 
“Tena mtu mume akimwoa umbu *lake, binti ya baba yake, au binti ya mama yake, na kuuona utupu wake, na huyo mwanamke kauona utupu wake huyo mume; ni jambo la aibu; watakatiliwa mbali mbele ya macho ya wana wa watu wao; amefunua utupu wa umbu lake; naye atauchukua uovu wake.

— Mambo ya Walawi 20:17

Ni roho ya mauti imeachiliwa kwako na laana bt kuota ni lugha ya picha umeonyeshwa ili uombe mapema ili visikupate.

So omba Toba kwanza Kwa mlango ulio funguka, achilia Damu ya Yesu inene rehema na Toba juu yako.

Toba itampa Mungu nafas ya kukutetea.

Anza na Toba utapata amani,
Kesho nikipata muda nitakufundisha. Toba kwaajil ya roho ya mauti na kukataliwa na laana( maana ya laana na kutokufanikiwa) na roho iliyo nyuma ya hizo ndoto, Toba tumia damu ya Yesu, nyunyiza damu ya Yesu inene rehema
 
“Tena mtu mume akimwoa umbu *lake, binti ya baba yake, au binti ya mama yake, na kuuona utupu wake, na huyo mwanamke kauona utupu wake huyo mume; ni jambo la aibu; watakatiliwa mbali mbele ya macho ya wana wa watu wao; amefunua utupu wa umbu lake; naye atauchukua uovu wake.

— Mambo ya Walawi 20:17

Ni roho ya mauti imeachiliwa kwako na laana bt kuota ni lugha ya picha umeonyeshwa ili uombe mapema ili visikupate.

So omba Toba kwanza Kwa mlango ulio funguka, achilia Damu ya Yesu inene rehema na Toba juu yako.

Toba itampa Mungu nafas ya kukutetea.

Anza na Toba utapata amani,
Kesho nikipata muda nitakufundisha. Toba kwaajil ya roho ya mauti na kukataliwa na laana( maana ya laana na kutokufanikiwa) na roho iliyo nyuma ya hizo ndoto, Toba tumia damu ya Yesu, nyunyiza damu ya Yesu inene rehema


Damu ya Yesu inapatikanaje??
 
Damu ya Yesu inapatikanaje??
Mambo ya kiroho huendeshwa kiimani zaidi, kwani hiyo hewa/uhai/roho yako iko visible au tangible?

Jibu utalopata hapo ndipo pia jinsi damu ya YESU hupatikana, na wale tuliofunuliwa neema ya kuijua vizuri damu ya Yesu hakika imetushindia mambo mengi na makuu sana.
 
Mambo ya kiroho huendeshwa kiimani zaidi, kwani hiyo hewa/uhai/roho yako iko visible au tangible?

Jibu utalopata hapo ndipo pia jinsi damu ya YESU hupatikana, na wale tuliofunuliwa neema ya kuijua vizuri damu ya Yesu hakika imetushindia mambo mengi na makuu sana.


Kwahiyo
Mambo ya kiroho huendeshwa kiimani zaidi, kwani hiyo hewa/uhai/roho yako iko visible au tangible?

Jibu utalopata hapo ndipo pia jinsi damu ya YESU hupatikana, na wale tuliofunuliwa neema ya kuijua vizuri damu ya Yesu hakika imetushindia mambo mengi na makuu sana.


Kafara ya Damu ya Yesu ni sawa na kafara ya Damu ya mbuzi??--- au Kafara ya Damu ya Yesu ina nguvu zaidi??
 
Imenitokea usiku wa leo wadau, hapa nimebaki nimeshangaa tu tangu asubuhi mpaka muda huu.

Wanasema si vema kusimulia ndoto lakini kwa hili limenishinda; kikubwa nilichoweza kufanya ni kutosimulia hapa mtaani na badala yake nimekuja humu.

Fadhaa zaidi inanikuta kwenye aina ya mapenzi niliyoota tunafanya, ni kinyume na maumbile ndg zangu huku kukiwa na mtu (sikumtambua ndotoni kuwa ni nani) anayeelekeza.

Ni nini hiki?!!!!!!

Kwa uzoefu wangu mdogo wa jf nilionao, nalazimika kuadvance ahsante zangu kwa waliokuwa standby kunidhihaki.....kudhihaki wenye kukutwa na visanga.

Nawasilisha waheshimiwa!
Pepo hlo kemea
 
Imenitokea usiku wa leo wadau, hapa nimebaki nimeshangaa tu tangu asubuhi mpaka muda huu.

Wanasema si vema kusimulia ndoto lakini kwa hili limenishinda; kikubwa nilichoweza kufanya ni kutosimulia hapa mtaani na badala yake nimekuja humu.

Fadhaa zaidi inanikuta kwenye aina ya mapenzi niliyoota tunafanya, ni kinyume na maumbile ndg zangu huku kukiwa na mtu (sikumtambua ndotoni kuwa ni nani) anayeelekeza.

Ni nini hiki?!!!!!!

Kwa uzoefu wangu mdogo wa jf nilionao, nalazimika kuadvance ahsante zangu kwa waliokuwa standby kunidhihaki.....kudhihaki wenye kukutwa na visanga.

Nawasilisha waheshimiwa!
Pepo ile
 
Ndoto ni njia ya wewe kupewa taarifa flani, inawezekana Mungu akawasiliana na wewe kwa njia ya ndoto au shetani anaweza akatumia njia hiyohiyo ya ndoto.
KITU CHA MUHIMU KUHUSU NDOTO SIO KUJUA TAFSIRI YAKE BALI NI KUISHUGHULIKIA. NA USIACHE SIKU 3 ZIKAPITA BILA KUISHUGHULIKIA
Unaishughulikiaje, anza kuomba toba, fanya maombi kwa jina la Yesu maombi ya kujitenga na maagano ya kipepo ambatanisha na sadaka yako na uiombee na kuambatanisha na maombi yako kisha uende ukaitoe madhabahuni unapoabudu.
Pia kama unaishi eneo ambalo redio safina inasikika kuna kipindi cha “ulimwengu wa roho ndoto na tafsiri zake” ni kila jumanne na jumatano muda ni saa 4 usiku sikiliza itakusaidia.
 
Kwa kuwa umeota ni kwamba ilikuwa katika Roho hivo ntakujibu kwa maana ya katika Roho.

Maana yake ni kwamba kuna mambo yasiyofaa na Yapo kinyume na utaratibu wa Mungu ww unamuambiaga ama utamuambia na kama yy anayafurahia ndo kule kupizi na ww kupiz

Ungekuwa unafanya nae mbele maana yake mnashare mambo hamfichani yaan siri

Kama ni muombaji pinga hiyo roho ya hayo mabaya. Mungu anakupenda ndo maana amekurudi. Asante usiwe mtu wa maneno mengi pengine kuna changamoto anapitia au mnapitia kama familia kuwa makini sbb litatokea usipolipinga badae litaleta shida
 
Duh! Kuna muda unaweza kuota vitu vya Ajabu Sana ambavyo unaweza kuona aibu kuvielezea.
 
Back
Top Bottom