Nipo kwenye fadhaa ndugu zangu; nimeota nafanya mapenzi na dada yangu!

Kuna jamaa pia ashawahi nambia yy huwa anaota anasex na mdogo wake wa kike. Japo hawakai pamoja ni miaka kumi tangu aanze Kujitegemea. Anasema hii ndoto hua anaiota kila baada ya miez kadhaa.

Nkamuuliza ushawahi kumtaman dadako? Anasema hapana!! [emoji45]
 
hama hapo kwenu dogo.ukipata changa moto hutaota ndoto za aina hizo tena.
 
Futa kwanza video zote za huo uchafu wa kuingilia wanawake kinyume na maumbile kwenue simu yako (kama zipo), halafu ndiyo utapata ushauri sahihi.
 
Mkuu usiwe na wasiwasi hata mimi imenitokea hiyo ni ndoto pevu mara nyingi aidha ni ishara una nyege sana au basi tu kichwa kina madudu na ni kawaida
 
Siku Ndoto ya aina hiyo ukiota zaidi ya mara 3, nifate inbox nikuambie cha kufanya, hapa utadhihakiwa tu na Watoto wa Mbwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…