Nipo kwenye mahusiano ila mwanaume wangu ana kipato kidogo. Naombeni ushauri nifanyaje?

Wewe Kama sio Mnyakyusa basi watu wa kaskazini.
Kiufupi nikuwa umejitahidi kumtawala jamaa inashindikana ndo unajitahidi kuweka sababu za kijinga.
Ushawahi kufanya hiyo biashara ya Mpesa?
Huyu nae ni mke wa mtu na ukute kasoma.
Bank teller wa bank fulani, akikaa pale dirishani kugawa na kupokea hela anajiona matawi ya juu kwelikweli ,matokeo yake amejaa dharau na kebehi ambazo hazitamsaidia chochote zaidi ya kumjutisha mbele ya safari
 
Bank teller wa bank fulani, akikaa pale dirishani kugawa na kupokea hela anajiona matawi ya juu kwelikweli ,matokeo yake amejaa dharau na kebehi ambazo hazitamsaidia chochote zaidi ya kumjutisha mbele ya safari
Bank teller Kama ndo Wana akili hizi basi ni mafurushi Kama mafurushi mengine..
Ndo maana USA wameona mapema huwezi kumpa nchi furushi.
Kiufupi huyu amekutana na mwamba amegoma kutawaliwa.
 
Idea V's experience

Siku zote wekeza kwenye experience na sio idea. Kila kitu huanza ndani ( passion ) ndio kinakuja nje. Msukumo wa ndani ndio unaotengeneza mambo ya nje. Kiu unayoisikia ndio yakufanya utafute glas uchote maji .

Kuwa na exposure, anataka kufunga wewe wekeza kwenye ufugaji wake kuwa bora na wakisasa.

Think outside the box, kufuga hakumfanyi mtu kuwa underground kama atafikiri nje ya box, but kama ukiendelea kufikiri ndani ya box kwa aina na style hizi hizi zakifugaji lazima utabaki hapo hapo...
 
Mtoa mada nimesoma maelezo yako ingawa umeongea mambo mengi lakini point kubwa ambayo nimeona inakusumbua ni kulinda hadhi yako

Ngoja nikwambie kitu kipenzi, siku zote usilinganishe maisha ya watu wengine na yako binafsi,huenda una marafiki ambao wenza wao wanakazi flani ambazo huenda zina hadhi kwa mtazamo wako,kwahiyo unajihisi aibu labda mumeo mtarajiwa kuonekana yeye ni mfugaji

Maisha hayapo hivyo kabisa,hakika ufugaji nayo ni shughuli nzuri tena huenda ikawa na kipato zaidi kama mambo yakienda vizur,lakini mwisho wa siku ni maisha yenu na familia yenu

Amini nakwambia kila mtu anakusudia lake hapa duniani na vile njia ya ridhiki yake itakavyo kuwa,huwezi jua huenda huko ndiko mtakapo pata maziwa na asali na kusahau shida zote

Huenda hata ushauri wako unautoa katika namna ya kumuonyesha dharau mtarajiwa wako,na trust me mwanaume akiona unamuonyesha dharau huenda akapinga jambo lako makusudi hata kama lina maana ili tu alinde uanaume wake

Ebu fanya tathimini ya mawasiliano yako yapoje na mwenza wako,kama ukijipima kwa uaminifu na kuona umekosea unapoongea nae,ebu badilika na ongea kwa busara na hekima huenda mkafikia muafaka
 
Ndo yuleyule wa kipindi kile ambaye alikuwa hakupi hata 100.... Au ulienda kwa classmate wako wa chuo Kama ulivyoahidi???
Em tuanzie hapo kwanza
 

Sasa mwanaume kama huyo wa nn au unajitolea kama mwlm wa field ?
 
Piga chini huyo mfugaji atakuchelewesha
 


Umri wako na wake? Ukiona mwanaume Hana hela halafu mbishi, Dah ungekuwa Dada yangu wewe ningeumia sana!

Muache huyo Nguchiro!
 
Vyakula kipengele.
Naongea kama mfugaji mwenye uzoefu wa kufuga kuku chotara.
 
Huyo mwanaume hapa ana bomu. Sasa ndiyo unamuanika? JF huku unafanya nini wewe? Nyie ndiyo sampuli za Mr Engonga.
 
 
Kama ni ufugaji large scale say kuku 1000 msapoti mtapata mafanikio, ndio maana wanaume tunapenda kufanya mambo yetu halafu tuwape taarifa maana ubishi wenu unatuumiza hasahasa tusipokuwa na hela
 
Wewe ni mpumbav...u, na hakuna mwanaume mwanaume Mwenye akili anaweza anzisha familia na wewe.
 
Binti njoo ofisini nikupe kipato si unataka kipato? Basi mansahofu kipato utapata sifa Camera tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…