Nipo kwenye mahusiano ila mwanaume wangu ana kipato kidogo. Naombeni ushauri nifanyaje?

Mkuu umenena vyema sana
 
Njia nzuri ya kufanikiwa pia ni kufanya kile upendacho Cha msingi support juhudi zake za ufugaji naamini mtafika mbali
 
Biashara ya ufugaji sio ya kufanya?. Unazungumzia ufugaji wa aina gani?. Na biashara ipi yakufanya ambayo imekutajirisha?.
 
Vyakula kipengele.
Naongea kama mfugaji mwenye uzoefu wa kufuga kuku chotara.
Nimefuga kuku chotara, na mpaka sasa nafuga kuku wa mayai.

Fuga kuku wa nyama au mayai hao chotara wanunuzi wa jumla wanataka kwa bei ya elfu 10, labda ufuge hao chotara ukiwa na oda maalumu.
 
Cold H2O.....,

ufugaji ni ushamba!!
Mshahara unawapa baadhi ya watu ujivuni sana! Moja ya sekta zenye mpunga ni agri- business! Ifanywe on larger scale, hata ukikufa watoto wanasoma!
 
Mimi pia nimfugaji naona kabisa utanifaa wewe.

Kwamba ufugaji ni issue ambayo haina pesa kama mpesa imebidi tu niishie hapo, niseme maneno machache tu kwako. "wewe hujitambui na kama unajitambua basi huna akili."
🤣Njomba mbona unamchoma kwa maneno makalio hivo
 
Nenda mapumzikoni Equatorial Guinea ukirudi utakua sawa na mtashauriana vizuri kabisa
 
Wewe ni mjuaji, hayo maisha unayoyaona kwa wenzio kwako hayatakusaidia. Kaa nafasi yako wewe kama mwanamke kwa jamaa na tamani uwe na ndoa yako isiyofanana na wengine. Kaa chini mchunguze kama anafaaa kuwa mume bora kwako, baada ya hapo angalia namna ya kuziba mapungufu yake.
 
Huyu kijana wa kiume angekuwepo humu tungemwambia akae mbali na huyu mwanamke la sivyo ajiandae kufa mapema au ndoa kuvunjika mapema.
 
[
Ndiyo Hawa wanaolewa kila siku baada ya miezi mwezi wapo mitaani wanadanga na kusambaza propaganda za ndoa ngumu.

Very interesting 😎
Huyo kijana wa kiume tumuombee apate mtu amfungue akili amwambie hapo mwanamke amekosa la sivyo ajiandae na mateso.
 
[
Ndiyo Hawa wanaolewa kila siku baada ya miezi mwezi wapo mitaani wanadanga na kusambaza propaganda za ndoa ngumu.

Very interesting 😎
Huyo kijana wa kiume tumuombee apate mtu amfungue akili amwambie hapo mwanamke amekosa la sivyo ajiandae na mateso
 
Mwanamke ambae hana akili kama wewe ni wa kukimbiwa mapema sana! Nashauri jamaa atafute mwanamke mwenye akili na maono ya mbali.

Nipe namba ya huyo jamaa yako nimwambie kabisa bado hajapata mke atafute mwenye maono.
Jamaa atanyanyasika saaana akiingia ndoani na mwanamke kama huyu aloharibiwa akili na life style ya maisha ya wenzie.
 
Jamaa atanyanyasika saaana akiingia ndoani na mwanamke kama huyu aloharibiwa akili na life style ya maisha ya wenzie.
Kabisa! Mwanamke anadhani maono ni kufungua wakala mpesa na tigopesa,..e.tc! Hizi mpesa tigo pesa sijui crdb, nmb wakala zilikua zamani sahizi watu wameshakaba maeneo yenye sehemu inayoweza kukupa nafasi ya watu kufanya transactions za mara kwa mara. Ila kama anataka kufungua na kwenda kupumzika sawa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…