Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Bariadi vipi mkuu ?Matangazo yapo tofaut yana vary kutokana na halmashaur mfano ilala ni 450 + 30 Ubungo ni 30 per day +30 ya bundle siku 68 moro ni 30 per day siku kumi
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Mkuu umesahau ItelHicho kigezo cha samsung s2 ni cha kuwapunguza tu.....wengi wenu mnamiliki infinix na tecno 😂😂😂😂
yaan mi ndo natoka usaili wa manspaa ya morogoro tka sa moja asubui mpka sa kumi n moja hii ila watu zaid ya 2600 bado awajafanya usaili mipango mibovuuuu cjawai mpata onahaya pepa hiyo Ya mfano japo maswali yanaweza yasifanane
Hayo hapo maswali yoteView attachment 2138996
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa wanahitaji watu wangap mbona wameita wengi sana kwenye interviewyaan mi ndo natoka usaili wa manspaa ya morogoro tka sa moja asubui mpka sa kumi n moja hii ila watu zaid ya 2600 bado awajafanya usaili mipango mibovuuuu cjawai mpata ona
KIVIPI SI KUANDIKA TU. AU NI ORALyaan mi ndo natoka usaili wa manspaa ya morogoro tka sa moja asubui mpka sa kumi n moja hii ila watu zaid ya 2600 bado awajafanya usaili mipango mibovuuuu cjawai mpata ona
Nchi ngumu sana hii, kwa hiyo mtoa mada hujamuelewa kabisa?Hicho kigezo cha samsung s2 ni cha kuwapunguza tu.....wengi wenu mnamiliki infinix na tecno [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
KOLILASis wengine watumishi wa serekali bado tunasubir hatma yet huku moshi DC
yaan mi ndo natoka usaili wa manspaa ya morogoro tka sa moja asubui mpka sa kumi n moja hii ila watu zaid ya 2600 bado awajafanya usaili mipango mibovuuuu cjawai mpata ona
Vip mkuu hapo moshi dc majina yametoka!???Sis wengine watumishi wa serekali bado tunasubir hatma yet huku moshi DC
itakuwa bado kwani mwisho si ilikuwa trh 4 kukusanyaVip mkuu hapo moshi dc majina yametoka!???
Ahaa basi tutapeana updates mkuuitakuwa bado kwani mwisho si ilikuwa trh 4 kukusanya
Hii ningechomahaya pepa hiyo Ya mfano japo maswali yanaweza yasifanane
Hayo hapo maswali yoteView attachment 2138996
Kila mtu lazma ale kwa urefu wa kamba yake😅Wilaya ya ubungo nasikia wamepunguza malipo kutoka 30000 Hadi 15000 kwa siku. Na pia wamepeleka watu ambao mitaa hawaijui vizuri wenyeviti wa mitaa wamecomplain hili suala!!
Ndio kiongoziKOLILA