Nipo Mashakani, sidhani kama bado napendwa

Labda kuna mahali unafeli, jiangalie huenda huna vinogesho
 
Kuna wimbo cjui unaitwa dalili wa toxic kausikilize mkuu utapata majibu yote
 
Ametumia kama kisingizio nahisi ana sababu nyngne
Kaona hamna jinsi ya kukutoka ila akupige fix tu! Ila mwisho atakuja kurudi huyo demu amini kwamba. Yakimshinda huko alikoenda atarudi mbio kwa kujifanya kafikiria kaona muendelee tu kama hatarudi untafute unipe mrejesho!
 
Ukiniambia unapungukiwa nini sasa[emoji38]
Napungukiwa damu ha haa

Vinogesho means una nini kinacho nivutia kwako na kunifanya niwe na hamu nawe muda mwingi mybe ucheshi wako, vi uchokozi chokozi flani hivi plus caring yako n.k
 
Vitoto vya hivyo ndio vimejaa siku hizi, juzi kuna mmoja nmemfatilia akaanza story za ooh najikuta nashnwa kumove on.. nikamuomba bibie naomba niweke luku mara moja then nakupgia.. ndioa ikawa imeisha hyo.. week ya pili sijamchek wala sijibu texts zake bloodfool
 
Mapenz usyape nafac kubwa kwny maisha take it easy aspokjb ingia tinder,taged chat utjbiw usforce afu kubali ukweli kua hakupend
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…