Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo hivyo yaani unakuwa nae huku humzingatii. Kikubwa pussy unapewa.😂😂Aendelee kumuangalia au afuate mambo yake
Then itabidi wewe uwe refaHebu pangeni kamechi kakirafiki rafiki kimasikhara sikhara hivi halafu mje mtupe mrejesho tuone nani alisarenda [emoji16][emoji16][emoji16][emoji870][emoji870][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Labda kwa mtu usie na feelings nae otherwise ni utaratibu mtamu sana kuchangamsha siku yakoHuu utaratibu wa kumsalimia mtu kila asubuhi unachosha ujue
Ikatokea sasa umetuma sms au kupiga simu hujajibiwa ndio mwanzo wa stressLabda kwa mtu usie na feelings nae otherwise ni utaratibu mtamu sana kuchangamsha siku yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii kaliii hebu ninywe maji kwanza nimezee!
We mtoto mtundu kweli yani😍😍😍[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unamuelewesha tu mwenzio sababu iliyopelekeaIkatokea sasa umetuma sms au kupiga simu hujajibiwa ndio mwanzo wa stress
Teh thikwambiiVinogesho hua ni vipi?[emoji848]
Kaona hamna jinsi ya kukutoka ila akupige fix tu! Ila mwisho atakuja kurudi huyo demu amini kwamba. Yakimshinda huko alikoenda atarudi mbio kwa kujifanya kafikiria kaona muendelee tu kama hatarudi untafute unipe mrejesho!Ametumia kama kisingizio nahisi ana sababu nyngne
Napungukiwa damu ha haaUkiniambia unapungukiwa nini sasa[emoji38]
Inapendeza mkiweza fanya jokes na mtu wako sometimesNdio maana nafeli kumbe maana sina hata kimojawapo
He he heeeee kiruuuuu!We mwanamke wewe siku nikikushika utaita maji mma[emoji23][emoji23][emoji23] na ntahakikisha neno “inatosha baba”umelitamka,”....“metosha vahba!”
Mapenz usyape nafac kubwa kwny maisha take it easy aspokjb ingia tinder,taged chat utjbiw usforce afu kubali ukweli kua hakupendHabarini Za wakati Huu Mabibi na Mabwana.
Takribani miezi mitatu sasa nimekuwa na mahusiano na binti flani, nimekuwa nje ya mahusiano kwa muda wa miaka minne, wakati huo nikiwa najiweka sawa kwenye mambo mengine. Hivyo nilibahatika Kumpata Binti miezi mitatu iliyopita na mahusiano yetu kiujumla yalionesha Upendo uliopo si kwangu na hata na kwake pia.
Takribani mwezi Umepita kuna Tabia ilitokea kwa huyu Binti ndani ya muda wa Siku Kama tatu nilikuwa natimiza majukumu yangu katika mahusiano kama kumjulia khali Asubuhi na pia kumtakia Usiku Mwema na kujua ni Siku yake imeishaje lakini ndani ya siku kama tatu niliyatimiza haya ila hakunijibu Simu zangu. Siku Ya nne nilimpigia simu nikaongea nae akadai kwamba alikua anaumwa, nikamweleza angenipa taarifa ila kutokujibu wala Kupokea simu zangu si jambo jema. Tuliongea hayo yakaisha.
Tatizo lingine limejitokeza leo ni Takribani siku ya nne Nimejaribu kumpigia simu hapokei, namtumia sms anazipata lakini hajibu na whatsap pia namtumia na anazisoma na anaweka mpaka sTatus ila hanijibu.
Hivyo nilikua naomba Ushauri, nichukue hatua gani katika hili Suala.