Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Ama kweli ntu chake
 
Chuno
Mitengo
Mji mpya
Kwa mkuu wa mkoa
 
hama huko chikingola. nenda kapange shangani au kule ilipo Hospitali ya rufaa. na kama unataka vitu bei rahis sokon sabasaba mbona full ti ma jodar kole kole feri kibao tu. au wewe umeajiriwa kada gan unalia lia . maji ya mvua kweli yanatumika
Hawezi kuamka morng kwenda sababa uyo now nasikia kuna soko jipya la chuno
 
Wilayan swa ila sio mjini
 
Uongo bhna uhuu 2012 up 2017 unakumbuka machafuko ya gesi ulikuwepo?
 
Ulitaka serikali iendeshe magari ikifika saa tatu, au ulitaka watu wakopwe magari wayaendeshe.
Ulitaka serikali itengeneze bar.
Ifungue migahawa na wakala wa pesa.
Ilhali ww umeona mji haujachangamka.
Tulia hapo wenzako watakuja na patakua kama dsm siku moja.
 
Uongo bhna uhuu 2012 up 2017 unakumbuka machafuko ya gesi ulikuwepo?
Sasa uongo.wangu nini unataka nikutajie ofisi? Au nikupe nikambulisho siyo. Acha dharau hatujuani pita kule. Wakati Hawa Ghasia Amefiwa na mzee wake ulikuwepo tulipokwenda kuzika na polisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…