Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijapinga wala kukataa pendekezo lako, nimetoa maoni yangu kwamba Jukwaa la Siasa likiendeshwa Kama Bunge la JMT basi JF itayumba.Basi tufanye kwa kanuni za bunge la Ufaransa?
Hatahivyo nimeweza kudadavua mambo mawili matatu kutokana na jibu lako.
Kwamba,
Unalidharau Bunge la Tanzania kwa sababu umeshindwa kufikiria mbali zaidi ya propaganda hasi na za uhasama kuhusu bunge hili.
Kuwa, Umeshindwa kutenganisha kanuni na miongozo nayo pendekeza na porojo za Kisiasa.
Ama,
Awali ya yote, hujapinga au kukataa pendekezo langu kwa hoja stahiki.
- Unatania.
Hamna kitu ni hopeless tuHahahaaa acha kumchokoza bikra wa allah
Ulikuwa umetisha. Manake kusema JF itayumba kwa kufuata kanuni na miongozo ya Bunge la JMT kana kwamba Bunge letu linayumba, ni maneno mazito.Sijapinga wala kukataa pendekezo lako, nimetoa maoni yangu kwamba Jukwaa la Siasa likiendeshwa Kama Bunge la JMT basi JF itayumba.
Siwezi kulidharau hilo Bunge ila mtazamo wangu kulihusu unatokana na matendo ya Wabunge wenyewe na uendeshwaji wake ambao unaonekana wazi matokeo yake na sio Siri.
Msingi na kanuni mama JF ni “kunena na kumala.
Bangi mbaya nimeamini!Kama kichwa cha habari kinavyosema. yeyote yule, anzisha mada yoyote tulianzishe ki mdahalo (debate), wakati wowote.
Karibuni sana. Uwanja wa wazi huu, yeyote anaweza kuchangia na kuingilia mada. Hakuna kanuni rasmi isipokuwa kanuni za JF na za dola ziheshimiwe.
Nimejisemea tu Mama sina ubaya!Ubaya wake nini?
Wajanja wanatajirika kwa bangi.
unafukiza matakoni?Sivuti bangi, najifukiza tu.
🖕Mwili mzima.
Bastola na kadhalika.Kwa "silaha ya moto" unamaamisha nini? Sijakuelewa.
Sasa nimethibitisha umepata kichaa cha bangi!No research no right to speak - Mao Tse Tung (Mao Ze Dong).
Hapo kwenye bold sasa ndio umeweka kinaga ubaga hoja yako.Ulikuwa umetisha. Manake kusema JF itayumba kwa kufuata kanuni na miongozo ya Bunge la JMT kana kwamba Bunge letu linayumba, ni maneno mazito.
Ni kwamba sijawahi kusikia.
Hata hivyo sikuwa nimesema tufuate Kanuni na Miongozo ya bunge la JMT, ila mabunge in General.
.....
...au ndio Kunena na Kumala huko... salaleh
Haya hayo pembeni, unafikiri ni kwanini Jukwaa la Siasa litayumba kwa pendekezo langu? Huoni kutaondokana na nyuzi za Upotoshaji? Au nyuzi zenye kutia hamasa chuki? n.k n.k..