😅😅😅😅.......unataka kuendelea mzigo hata mbinguni? Umepea sana.Mada ahadi ya mabikra 72 peponi
Je kama wanaume watapewa mabikra 72 kule peponi,wanawake watapewa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅😅.......unataka kuendelea mzigo hata mbinguni? Umepea sana.Mada ahadi ya mabikra 72 peponi
Je kama wanaume watapewa mabikra 72 kule peponi,wanawake watapewa nini?
Ku debate sio lazima uwe against. Kuna kukhitilafiana.Sasa ulivosema debate ya topic yoyote ndio ulikosea hapo. Kuna topic wewe hutoweza ku debate against,
Engine ya 7A ni bora kuliko 5A ila 5A unaweza ifunga kwenye ngalawa za uvuvi, 7A ukifunga inaleta miss.Kama kichwa cha habari kinavyosema. yeyote yule, anzisha mada yoyote tulianzishe ki mdahalo (debate), wakati wowote.
Karibuni sana. Uwanja wa wazi huu, yeyote anaweza kuchangia na kuingilia mada. Hakuna kanuni rasmi isipokuwa kanuni za JF na za dola ziheshimiwe.
😂😂😂🙌Mmedumu kwenye mahusiano na Mohamed Said kwa miaka mingapi sasa?
MADA:UKOSEFU WA AJIRA.Kama kichwa cha habari kinavyosema. yeyote yule, anzisha mada yoyote tulianzishe ki mdahalo (debate), wakati wowote.
Karibuni sana. Uwanja wa wazi huu, yeyote anaweza kuchangia na kuingilia mada. Hakuna kanuni rasmi isipokuwa kanuni za JF na za dola ziheshimiwe.
wamewaachia mnaoamini mbinguni kuna mabikra muendeleee!!
nakuombea uponeNimezaliwa nacho.
Kwa mtazamo wangu dada Faiza umeropoka mambo ambayo huna elimu nayo wala hujayafanyia utafiti otherwise kama unalishwa matangopori ya akina khamenei toka Tehran!.
kwanza hii sijaelewa maana yake;"e.t.c all co Ltd".Ngoja tuje kulumbana hapa angalizo usije kukimbia Tena Uzi😊
Unadhani kwanini nchi za Palestina e.t.c all co Ltd
Wanapata tabu na Israel na watapelekewa moto mpaka wajisalimishe miguuni mwa waisrael una dhani Nini wafanye ili kujiokoa na hivi vita?
Anza na Lucas wengine tutafuatia.Kama kichwa cha habari kinavyosema. yeyote yule, anzisha mada yoyote tulianzishe ki mdahalo (debate), wakati wowote.
Karibuni sana. Uwanja wa wazi huu, yeyote anaweza kuchangia na kuingilia mada. Hakuna kanuni rasmi isipokuwa kanuni za JF na za dola ziheshimiwe.
Namchagulia namba6Chagua nyanja ya debate.
1.Sayansi
2.Siasa
3.Dini
4.Uchumi na biashara
5.Technology
6.Uchawi & ushirikina