Nipo tayari kulumbana (Debate) na yeyote kuhusu chochote

Nipo tayari kulumbana (Debate) na yeyote kuhusu chochote

Kumbe unaleta "traditions" si maana yake mila za watu hiyo "tradition"?

Waislam source yetu ni Qur'an siyo maneno au mila za watu.

Unawacha Qur'an unakuja na majina ya watu? Si heri ungejitaja mwenyewe badala ya kuleta kisa cha mtu naekupigia porojo?

Kama hauna japo aya ya Qur'an unayoijengea hoja yako unakuja na porojo za wenzako usitupotezee muda.

Kwani hauna Qur'an nikupe link ujisomee?

I am sure wewe english angalau utakuwa unaifahamu siyo maamuma upande huo.
Surah Al-Rahman (55), verse 72 haya ni maneno ya watu?
 
Kumbe unaleta "traditions" si maana yake mila za watu hiyo "tradition"?

Waislam source yetu ni Qur'an siyo maneno au mila za watu.

Unawacha Qur'an unakuja na majina ya watu? Si heri ungejitaja mwenyewe badala ya kuleta kisa cha mtu naekupigia porojo?

Kama hauna japo aya ya Qur'an unayoijengea hoja yako unakuja na porojo za wenzako usitupotezee muda.

Kwani hauna Qur'an nikupe link ujisomee?


Hapa unakataa Muhamad hajasema haya?

Surah Al-Rahman (55), verse 72: "The Prophet Muhammad was heard saying: 'The smallest reward for the people of paradise is an abode where there are 80,000 servants and 72 wives, over which stands a dome decorated with?

YAANI UNAMKANUSHA MUHAMAD?
 
AlhamduliLlah nipo kwenye ndoa moja kwa miaka 44 sasa.
Vp hujawahi kupindisha... yan kutoa mzigo kwa jamaa mwingine nje ya ndoa? Au ulikua unamtunzia Babu yetu, I can imagine 44years sio mchezo bibi
 
Vp hujawahi kupindisha... yan kutoa mzigo kwa jamaa mwingine nje ya ndoa? Au ulikua unamtunzia Babu yetu, I can imagine 44years sio mchezo bibi
Mada unayotaka kulumbana (debate) hapo ni ipi? Au hujasoma post ya kwanza ukaona huu uzi unahusu nini?
 
MADA: Muungano uvunjwee

Ndiyo ,, ni muungano feki haujali maslahi ya pande zote mbili,, upande mmoja unanufaika zaidi kiliko mwingine ,,,hii inapelekea kuwe na migororo ya mara kwa mara

Hasara za muungano huu hasa sisi watanganyika ...

1) muungano huu umepelekea nchi yetu pendwa ya Tanganyika kutoweka,, hapo mwanzo kabla ya muungano kulikuwa na Tanganyika na Zanzibar zikaungana kuzaa Tanzania lakin mpaka sasa Zanzibar ipo lakin Tanganyika haipo ?? Hivyo naukataa muongano huu batili ..

2) muungano huu umepelekea watanganyika kubeba mzigo mzito wa madeni ..
Pindi tunapokopa ,, hukopa kama nchi ya Tanzania , na mkopo huu hugawanywa katika nchi zote mbili yani Tanganyika na Zanzibar lakini wakati wa kulipa wenye jukumu la kulipa ni wa- Tanganyika peke yako huku waZanzibari wakila shumbwela tu ,, hivyo basi muungano huu ni kaa la moto kwa Watanganyika uvunjweee hatuutaki ...

3) Muungano unawakosesha ajira watanganyika ..
Katika wizara zinazohusu mambo ya muungano sheria inataka kwa kila ajira zitolewazo na wizara hizo asilimia 20 ,, ziwe kwa ajili ya wazanzibar ,,, asilimia hizi ni nyingi mnoo ,, ukilinganisha na uwiano wa watu kati ya Tanganyika na Zanzibar ... Haiwezakani watu wapo milion 1 afu kwenye ajira za muongano wawe na asilimia 20 huu ni uwonezi wa wazi kabisa kwa Watanganyika ,, hivyo namna bora kabisa ya kuondoa uwonezi huu ni kuachana na muungano huu ..

Lakin pia ,, wanzabar huku Tanganyika wanaomba kazi vizuri tu katika taasisi na mashiriki mbali mbali ya kiserikali wakati huo huo ,, watanganyika hawaruhusiwi kuomba kazi kule zanzibar kwa kigezo kuwa hawana kitambulisho cha mkazi cha Zanzibar hivyo usawa hamnaa ,,, tuachane na muungano huu

4) muundo wa muungano haueleweki
Mpaka sasa tunashindwa kuelewa muundo au muungano huu ni wana mna gani ,, ni shirikisho au nini hasa ... Kule wana katiba yao ,, mraisi wao wabunge wao ,, kila kitu chao na huku Tanganyika vile vile tuna kila kitu chetu kama vile katiba ,, lakin raisi wa huku hatambuliki na katiba ya kule ka raisi ,,, sasa tunashindwa kuelewa huu ni muongano wa namna ganii ,, hivyo tuachane maoo ...

Mambo ni mengi lakin acha niishie hapa sasa ,, wewe unamtazamo gani juu ya muungano huu ambao napendekeza uvunjweee ????
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema. yeyote yule, anzisha mada yoyote tulianzishe ki mdahalo (debate), wakati wowote.

Karibuni sana. Uwanja wa wazi huu, yeyote anaweza kuchangia na kuingilia mada. Hakuna kanuni rasmi isipokuwa kanuni za JF na za dola ziheshimiwe.
Unadhani Ni Nani msaliti kwenye Baraza la mawaziri na kwenye CC ya CCM?
 
Faiza ! Faiza! Faiza! Nakuita tena Faiza Foxy !!
Mara ngapi nikuonye juu ya kukoma kutafsiri Quran kwa akili yako bila kuangalia wanachuoni wamesema nini kuhusu aya husika??!!.
Je unajua hatari ya kuitafsiri Quran kwa mawazo yako binafsi.??!!
Mtume
صلى الله عليه وسلم anasema :
"من قال في القرٱن برأيه فليتبوأ مقعده من النار".
" Atakaeisemea Qur'an kwa mawazo yake ajiandalie makazi yake motoni.

Na Allaah mtukufu anasema katika sura ya 29 Aya ya 68 /Suuratil a'nkabuut ya kwamba :
{ وَمَنۡ أَظۡلَمُ مِمَّنِ ٱفۡتَرَىٰ عَلَى ٱللَّهِ كَذِبًا أَوۡ كَذَّبَ بِٱلۡحَقِّ لَمَّا جَآءَهُۥٓۚ أَلَيۡسَ فِي جَهَنَّمَ مَثۡوٗى لِّلۡكَٰفِرِينَ }
[Surah Al-ʿAnkabūt: 68]

"Na nani dhaalimu mkubwa kuliko yule anaye mzulia uwongo Allaah au anaye kanusha Haki inapo mjia? Je! Si katika Jahannamu ndio yatakuwa makaazi ya makafiri?."

Wewe unadai kiarabu ni very clear wakati ulikimbia madrassa??!!
How can be clear kwa mtu ambaye hajasoma kama wewe??!!

Tarjama maarufu za Qur'an from Arabic to Swahili hapa east Africa ni Tafsiri ya Sheikh Abdallaah Saleh Alfarsy aliyewahi kuwa kadhi mkuu wa Zanzibar na baadae akawa Kadhi mkuu wa Kenya na tarjama nyingine ni ya Sheikh Ali Muhsin Albarwan na Hawa wanachuoni wote wawili wametafsiri kwamba الأعراب
(Al Aa'raabu) ni mabedui, Sasa wewe ni nani Faiza kuleta tafsiri uliyookota jalalani kusema kwamba الأعراب ni waarabu halafu unachekesha watu kwa kudai kwamba ni very clear??!!
Wewe hiyo tafsiri inayosema kwamba
الأعراب
ni waarabu umeitoa wapi Faiza?? !!
Mwalimu aliyekufundisha tafsiri hiyo anaitwa nani Faiza??!!
Mimi ni muislamu wa madhehebu ya kisunni, lakini naamini hata makadiyani na mashia (Allaah awalaani), hawawezi kutafsiri kwamba
الأعراب
maana yake ni waarabu,
Kwa sababu pamoja na upotevu na ukafiri wao wakitafsiri hivyo watakuwa wamejitangaza kwamba hawana maarifa yoyote juu ya Lugha ya kiarabu!
Hapa chini nakuwekea tarjama ya kiingereza iliyoandikwa na wanachuoni wawili:,
Dr. Muhammad Taqiyyu ud Din Alhilali
Na Dr. Muhammad Muhsin Khan utuonyeshe ni wapi wamesema kwamba
الأعراب
Maana yake ni waarabu!!!.

{ ٱلۡأَعۡرَابُ أَشَدُّ كُفۡرٗا وَنِفَاقٗا وَأَجۡدَرُ أَلَّا يَعۡلَمُواْ حُدُودَ مَآ أَنزَلَ ٱللَّهُ عَلَىٰ رَسُولِهِۦۗ وَٱللَّهُ عَلِيمٌ حَكِيمٞ }
[Surah At-Tawbah: 97]

The bedouins are the worst in disbelief and hypocrisy, and more likely to be in ignorance of the limits (Allâh’s Commandments and His Laws) which Allâh has revealed to His Messenger. And Allâh is All-Knower, All-Wise.
Wanachuoni wako waongo/ Aarab ni Mwarabu, wao ameogo[pa nini kutafsiri ukweli? Neno Bedui wametajwa kama bedui kwenye Qur'an.

Mmedanganywa na tafsiri z kimaslahi hizo. Huyo Muhain Khan yeye ka copy hiyo tafsiri ya Al SArab.

Hivi nani anawapa haki ya kubadili majina ya Qur'an? Hivi nyinyi ni zaidi kuliko Allah? Allah aseme AlArab nyie mbadili na kusema "bedui".
 
Mara nyingi nimekuwa nikasema kwamba ADUI WA PALESTINA NI WAPALESTINA WENYEWE.
NA ADUI WA WAARABU NI WAARABU WENYEWE.
NA ADUI WA WAISLAMU NI WAISLAMU WENYEWE.
Hayo ni mawazo yako, sina sababu ya kuyabishia wala kuyajadili. Una haki na mawazo yako.

Waalestina najuwa kwa miaka zaidi ya 75 sasa wamenyang'anywa ardhi yao, kwa maana hiyo, kama ni adui basi ni wale walioingia mikatabaya Balfour.

Waarabu wanajulikana kwa unagfik, wametajwa hata kwenye Qur'an.

Waislam ni matatizo, wanachotakiwa wafate Uislam kama ulivyo kwenye Qur'an, wasifate tafsiri za uongo zinazowatenganisha.
 
Nimwekumbuka kuwa nna uzi wa malumbano kwa wanaojiamini.



Haya kijana leta hayo mambo ambayo unadhani sina elimu nayo.

Nimekuleta hapa kwa kufahamu kuwa hujuwi namna ya kufunguwa uzi, ili tusichanganye mada. Haya sema tatizo lako tukupe darsa.
سبحان الله!!!
Yaani kufungua Uzi pia ni kazi kubwa??!! Unadhani Mimi ni Darwesh??!!
Ni kweli Mimi kazi yangu zaidi ya miaka 25 ni Mwalimu wa Madrassa lakini usiniweke katika kundi la maustadhi wa mwaka 1947.
Ninajua Dunia imetoka wapi, ipo wapi na inaelekea wapi?
Ili nifungue Uzi nilikupa Sharti ambalo Bado hujalitekeleza!! Naomba unitafsirie maneno yafuatayo yaliyosemwa na Al Imaamu Alshaafii (Allaah amrehemu),
ili nijue kuwa najadiliana na mtu wa kiwango changu au napoteza muda tu ??!!.
Imamu Shaafii anasema:
ما ناقشت جاهلا إلا غلبني
و ما ناقشت عالما إلا غلبته.
Niambie kwa kiswahili Imamu Shaafii alimaanisha nini kwa maneno haya??.
 
Umesahau mliniambia amjui chochote kuhusu issa kuwa alikufa au yupo hai ...wakati kila siku mnasifu kuwa uislamu hauja acha kitu chochote ndani yake ...mlinikimbia kijanja maana kama ujui si unasema mtume muhammad amesema nini ....ila kwa ujanja uja

Nimekuleta hapa ili tusiharibu uzi wa watu kwa malumbano yetu.

Haya chaguwa mada uitakayo. Wachana na niliwaambia sijui na nani, mimi nipo peke yangu kama kuna mtu mwingoine ataingia kuchangia mada, huyo hayupo na mimi. Usijitukuze kijinga.
 
Nataka kubishana na wewe kuhusu mavazi. Je kujifunika gubigubi na joto la dar kunakupeleka mbinguni?

Wanawake wavae mavazi ya heshima ila tu kujifinika kuanzia nywele na mabaibui kunasababisha harufu mbaya maeneo yote yenye nywele
Hapo unasemaje
Suala la mwanamke kujifunika mwili mzima. Hapa unaingilia masuala ya imani za watu na si jambo jema. Anae jifunika ana sababu zake na mismamo yake lakini pia umezungumzia suala la harufu. Je una ushahidi wa japo mtu mmoja alie lalamika kua akivaa ivo anatoa harufu au umeweka dhana na dhamira tu?
 
Mada ahadi ya mabikra 72 peponi

Je kama wanaume watapewa mabikra 72 kule peponi,wanawake watapewa nini?
Sifhamu hilo umelitowa wapi, nimeona wengi sana mnalitaja taja hilo.

Qur'an inasema hivi kwenye aya tofauti tofati:

{Kamwe sitaruhusu kupotea kazi ya yeyote kati yenu, mwanamume au mwanamke.} (Aal lmran 2:195)

Na atakayefanya uadilifu, awe mwanamume au mwanamke, na hali yeye ni Muumini wa kweli, basi Sisi tutahuisha maisha mema. (An-Nahl 16:97)

Na mwenye kutenda mema, akiwa mwanamume au mwanamke, naye ni Muumini wa kweli, basi hao wataingia peponi. (An-Nisaa' 4:124)

Hakika Waislamu, wanaume na Waumini wanawake, wanaume na Waumini wanawake. [Mpaka mwisho wa aya ambapo Mwenyezi Mungu anasema:] Mwenyezi Mungu amewaandalia maghfira na ujira mkubwa. (Al-Ahzab 33:35)

Mwenyezi Mungu anawataja kuingia Peponi pamoja.

Wao na wake zao watakuwa katika kivuli kizuri. (Ya Sin 36:56)

Pia

Ingieni Peponi, nyinyi na wake zenu kwa furaha. (Al-Zukhruf 43:70)
 
Sifhamu hilo umelitowa wapi, nimeona wengi sana mnalitaja taja hilo.

Qur'an inasema hivi kwenye aya tofauti tofati:

{Kamwe sitaruhusu kupotea kazi ya yeyote kati yenu, mwanamume au mwanamke.} (Aal lmran 2:195)

Na atakayefanya uadilifu, awe mwanamume au mwanamke, na hali yeye ni Muumini wa kweli, basi Sisi tutahuisha maisha mema. (An-Nahl 16:97)

Na mwenye kutenda mema, akiwa mwanamume au mwanamke, naye ni Muumini wa kweli, basi hao wataingia peponi. (An-Nisaa' 4:124)

Hakika Waislamu, wanaume na Waumini wanawake, wanaume na Waumini wanawake. [Mpaka mwisho wa aya ambapo Mwenyezi Mungu anasema:] Mwenyezi Mungu amewaandalia maghfira na ujira mkubwa. (Al-Ahzab 33:35)

Mwenyezi Mungu anawataja kuingia Peponi pamoja.

Wao na wake zao watakuwa katika kivuli kizuri. (Ya Sin 36:56)

Pia

Ingieni Peponi, nyinyi na wake zenu kwa furaha. (Al-Zukhruf 43:70)
Hujajibu swali hapo au mi ndo sijaelewa,

wanawake watapewa nini zaidi ya ujira mkubwa na maghfira?

Maana wanaume watapewa bikra 72.
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema. yeyote yule, anzisha mada yoyote tulianzishe ki mdahalo (debate), wakati wowote.

Karibuni sana. Uwanja wa wazi huu, yeyote anaweza kuchangia na kuingilia mada. Hakuna kanuni rasmi isipokuwa kanuni za JF na za dola ziheshimiwe.
Kuhusu Engonga pia upotayari?
 
Kuhusu Engonga pia upotayari?
kabisa tena, njoo tu tena kuna vijana wangu hapa watakuboost kwa kuku pdiddy. Usijali kabisa, mafuta kama hauna pesa ya kununulia usihangaike, tutanunuwa dozen moja duka la dawa. Yapo Jonhson baby oil.
 
Back
Top Bottom