Mada:
Je kuna unafuu kwenye swala la Manunuzi ya bidhaa online kwa kila MTU au ni ulimbukeni?
Binafsi Naona ni ulimbukeni kwa mfano MTU anahitaji simu inayouzwa laki 2 hapa dukani basi anaona Bora asave 50k anaagiza uko inauzwa 150k usafirishaji 30k inachukua wiki au mwezi anasubiri na bahati mbaya inaweza kuja na mapungufu sasa ili unalichukuliaje maana wanouza simh uchukua bulk na kabla wananunua sample kwa test je huyu mnunuzi wa kawaida sio mjinga kweli kama Ritz, okay bi faiza mpenzi njoo tulumbane.
Je kuna unafuu kwenye swala la Manunuzi ya bidhaa online kwa kila MTU au ni ulimbukeni?
Binafsi Naona ni ulimbukeni kwa mfano MTU anahitaji simu inayouzwa laki 2 hapa dukani basi anaona Bora asave 50k anaagiza uko inauzwa 150k usafirishaji 30k inachukua wiki au mwezi anasubiri na bahati mbaya inaweza kuja na mapungufu sasa ili unalichukuliaje maana wanouza simh uchukua bulk na kabla wananunua sample kwa test je huyu mnunuzi wa kawaida sio mjinga kweli kama Ritz, okay bi faiza mpenzi njoo tulumbane.