Nipo tayari kulumbana (Debate) na yeyote kuhusu chochote

Nipo tayari kulumbana (Debate) na yeyote kuhusu chochote

Mbona unapenda ushabiki wa dini sana?
Mada ni nini hapo?

Kama una maswali ambayo hayana mada, hapa siyo mahala pake, kuna uzi wake huo hapo chini:

 
MADA: CHANGAMOTO YA WANAWAKE KUKOSA KUJIAMINI.
Wanawake tumekua na changamoto ya uoga na kutojiamini ni kitu kama nature...
Kwenye masuala ya muhimu katika jamii
Mfano hapa jf mada karibia zote za muhimu zinazofundisha, zinazoishi kila siku zimeanzishwa na wanaume

Siamini kama wanawake wa humu hatuna mada za madini za kuanzisha kuleta manufaa kwa wengine.

Nini kifanyike kuondokana na changamoto hii katika jamii japo hapa nimetolea mfano kwa wanawake wa jf lakini hili tatizo lipo katika jamii yote.

Tufanye nini kutatua au tuache kama ilivyo liwe suala la nature na tukubaliane nalo?
Sikubaliani na hilo, binafsi nimeshanzisha mada nyingi sana. Zipitie hapa:

 
Alitoa mtume wenu
Sijawahi kuiona hiyo ahadi? Uliitowa wewe?

Vifungu

Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”

Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-

Quran 37:48-49:

And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.

“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.


Shehe nae anafafanua hapa

 
Nataka kubishana na wewe kuhusu mavazi. Je kujifunika gubigubi na joto la dar kunakupeleka mbinguni?

Wanawake wavae mavazi ya heshima ila tu kujifinika kuanzia nywele na mabaibui kunasababisha harufu mbaya maeneo yote yenye nywele
Hapo unasemaje
😃😃😃😃 Wanaitafuta pepo kwa kujifunika gubigubi kama majini
Hizi dini ni ukoloni tosha
 
Mbona unapenda ushabiki wa dini sana?
Hilo ni swali siyo mada. Kwa maswali bofya hapo chini:

 
Hilo ni swali siyo mada. Kwa maswali bofya hapo chini:


Sawa.

Rufiji inazama ,Je Jiwe alichemka kujenga JNHPP bila kufanya tathmini ya mazingira?
 
Back
Top Bottom