MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Kuna vitu utotoni hupaswi kuacha kuvifanya, ukiacha matokeo yake ndio haya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kichwa cha habari kinavyosema. yeyote yule, anzisha mada yoyote tulianzishe, wakati wowote.
Karibuni sana. Uwanja wa wazi huu, yeyote anaweza kuchangia na kuingilia mada. Hakuna kanuni rasmi isipokuwa kanuni za JF na za dola ziheshimiwe.
Nimeedit reviewMada ni nini, wanawake au wanawake wa JF au kujiamini na kutojiamini kwa wanawake?
Mada ni nini hapo?Mbona unapenda ushabiki wa dini sana?
Sikubaliani na hilo, binafsi nimeshanzisha mada nyingi sana. Zipitie hapa:MADA: CHANGAMOTO YA WANAWAKE KUKOSA KUJIAMINI.
Wanawake tumekua na changamoto ya uoga na kutojiamini ni kitu kama nature...
Kwenye masuala ya muhimu katika jamii
Mfano hapa jf mada karibia zote za muhimu zinazofundisha, zinazoishi kila siku zimeanzishwa na wanaume
Siamini kama wanawake wa humu hatuna mada za madini za kuanzisha kuleta manufaa kwa wengine.
Nini kifanyike kuondokana na changamoto hii katika jamii japo hapa nimetolea mfano kwa wanawake wa jf lakini hili tatizo lipo katika jamii yote.
Tufanye nini kutatua au tuache kama ilivyo liwe suala la nature na tukubaliane nalo?
Sijawahi kuiona hiyo ahadi? Uliitowa wewe?
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.
Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;
Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”
Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-
Quran 37:48-49:
And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.
“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.
Shehe nae anafafanua hapa
Mbona zinakuja thread zangu?Sikubaliani na hilo, binafsi nimeshanzisha mada nyingi sana. Zipitie hapa:
😃😃😃😃 Wanaitafuta pepo kwa kujifunika gubigubi kama majiniNataka kubishana na wewe kuhusu mavazi. Je kujifunika gubigubi na joto la dar kunakupeleka mbinguni?
Wanawake wavae mavazi ya heshima ila tu kujifinika kuanzia nywele na mabaibui kunasababisha harufu mbaya maeneo yote yenye nywele
Hapo unasemaje
Tatizo utaleta udini.Kama kichwa cha habari kinavyosema. yeyote yule, anzisha mada yoyote tulianzishe, wakati wowote.
Karibuni sana. Uwanja wa wazi huu, yeyote anaweza kuchangia na kuingilia mada. Hakuna kanuni rasmi isipokuwa kanuni za JF na za dola ziheshimiwe.
Hilo ni swali siyo mada. Kwa maswali bofya hapo chini:Mbona unapenda ushabiki wa dini sana?
Asante:
Kwa nini usijishushe ukatuta ndo Dada ukaolewa ukawa busy? Itakuondolea:
1. Stress.
2. Kukosa malengo.
3. Kukosa furaha.
4. Kutaka ugomvi usio sababu
Reference ya matatizo yako: Huu uzi ulioufungua sasa.
Hilo ni swali siyo mada. Kwa maswali bofya hapo chini:
Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa
General Knowledge. Naam, kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Natumia fursa hii ya mtandao adhyim wa JF kuwapa fursa wanamtandao wote wapate fursa ya kuuliza kuhusu mada au jambo lolote ambalo unataka upatiwe majibu. Si majibu yote yatatoka kwangu binafsi, bali nitajitahidi iwezekenavyo...www.jamiiforums.com
Mada ni nini hapo?