Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Mmedumu kwenye mahusiano na Mohamed Said kwa miaka mingapi sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi nipo tayari kujadili yote hayo, lianzishe. Mradi usiyachanganye yote kwa pamoja. Kila post iwe na mada yake.FaizaFoxy chagu mada..
Mpira...
Siasa za ndani..
Biashara..
Safari za Nje Nchi yeyote..
Magari...
Kodi kubwa za Magari zinavyofifisha Uchumi wetu..
Mfumo mbovu wa kuandaa ajira kwa vijana Tanzania..
Chagua chochote hapo mimi nipo hapa kwenye hii debate...
Njoo nikufunzeNatamani tujadili namna ya mwanadada kufika climax kirahisi...
Naona umeshiba mkuu.Kama kichwa cha habari kinavyosema. yeyote yule, anzisha mada yoyote tulianzishe, wakati wowote.
Karibuni sana. Uwanja wa wazi huu, yeyote anaweza kuchangia na kuingilia mada. Hakuna kanuni rasmi isipokuwa kanuni za JF na za dola ziheshimiwe.
Ukiulizwa na bibie.."mada ni nini hapo?"DP WORLD INAKADIRIWA KUTIA HASARA NCHI. NINI MAONI YAKO?
Mada ni bikira😄😄Mada ni nini hapo?
Owing to,You have the right to your ideas.
Ameshauliza ameshindwa kuelewa kilichoulizwaUkiulizwa na bibie.."mada ni nini hapo?"
Jipange kwa kutafuta jibu mapema
Umewahi kuexperience changamoto za ndoa kama zinazotupata sisi vijana wa sasa?Nipo kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 42 sasa.
Mkuu hii mada au ni swali?Mada ahadi ya mabikra 72 peponi
Je kama wanaume watapewa mabikra 72 kule peponi,wanawake watapewa nini?
Watakuja kukwambia bila pesa haiwezakaniNatamani tujadili namna ya mwanadada kufika climax kirahisi...
Kama mwanamke hafikii climax kwa muda unaokubalika kikawaida, kuna uwezakano wa kuwa na mojawapo au zaidi ya matatizo mengi.Natamani tujadili namna ya mwanadada kufika climax kirahisi...
Mkuu hii mada au ni swali?
Mada ni nini hapo?Pumbavu. Huna cha kufanya. Una matatizo ya akili. Nenda katibiwe. Pumbavu sana. Pumbavu. Wewe ni mpumbavu kati ya wapumbavu wote duniani wanaowaza mambo ya kipumbavu. No wonder hua na ugomvi na kila mtu, kwaio umekalisha kinembeh huko umeboeka ukaona uje utafute ugomvi. Mzee wako atakua hakukazi vizuri ndio mana unakuja kutafuta ugomvi wa lazima humu. [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji867]
unaweza mauno kwel ww .......?Kama kichwa cha habari kinavyosema. yeyote yule, anzisha mada yoyote tulianzishe, wakati wowote.
Karibuni sana. Uwanja wa wazi huu, yeyote anaweza kuchangia na kuingilia mada. Hakuna kanuni rasmi isipokuwa kanuni za JF na za dola ziheshimiwe.