Nipo tayari kulumbana (Debate) na yeyote kuhusu chochote

Nipo tayari kulumbana (Debate) na yeyote kuhusu chochote

1712515447035.png
 
Miongozo ya Udhibiti wa Uzi.

Napendkeza Jukwaa letu la Siasa liendeshwe sawa na Bunge likiwa na kanuni za kuongoza Mijadala mbali na miongozo mikuu ya JF.
Kanuni za Bunge huongoza mijadala enye kuhakikisha utaratibu unafuatiliwa, haki kutolewa ikiwa ni pamoja na mazungumzo yenye kujenga-tia tija.

Kama kanuni za Bunge linavyo maintain Decorum, hapa Jamvini tuwe na utaratibu kama ule. Ikitokea mtafaruku, au majadiliano yakakengeuka kwa hoja isiyo na tija. Uzi ufutwe mara moja.
 
MADA: CHANGAMOTO YA WANAWAKE KUKOSA KUJIAMINI.
Wanawake tumekua na changamoto ya uoga na kutojiamini ni kitu kama nature...
Kwenye masuala ya muhimu katika jamii
Mfano hapa jf mada karibia zote za muhimu zinazofundisha, zinazoishi kila siku zimeanzishwa na wanaume

Siamini kama wanawake wa humu hatuna mada za madini za kuanzisha kuleta manufaa kwa wengine.

Nini kifanyike kuondokana na changamoto hii katika jamii japo hapa nimetolea mfano kwa wanawake wa jf lakini hili tatizo lipo katika jamii yote.

Tufanye nini kutatua au tuache kama ilivyo liwe suala la nature na tukubaliane nalo?
Sio Nature ni MALEZI Nina mfano dhairi Mimi mwenyewe umenitokea,
 
Maish
Kama kichwa cha habari kinavyosema. yeyote yule, anzisha mada yoyote tulianzishe, wakati wowote.

Karibuni sana. Uwanja wa wazi huu, yeyote anaweza kuchangia na kuingilia mada. Hakuna kanuni rasmi isipokuwa kanuni za JF na za dola ziheshimiwe.
Maisha ya ughaibuni ukituliza akili unapata pesa nzuri kuliko Tz,hasa ulaya na marekani na korea kusini tofauti na wengi wa ughaibuni wanavotuongopea tusiende
 
Hayo yote ni maswali ambayo huna majibu yake, siyo mada.

Kabla sijakujibu maswali tusafishe njia, Mimi naanza kwa kukuuliza, umeshawahi kumuuliza mama'ko kuhusu bikra yake ilimtoka vipi?
Jibu swali basi.. usijizungushe...

Je.. ilitolewa kwa Kubakwa?
Je.. BAISKELI ?
Je.. uliparamia JITI likakuchoma?
Je.. je.. je..

Na Je.. aliyekutoa Bikra ndio huyo huyo unae mpaka sasa hivi au alishasepa zake enzi hizo.

Uliskia raha au maumivu kupita kiasi? Hakutumia mate.. mafuta etc?
 
Jibu swali basi.. usijizungushe...

Je.. ilitolewa kwa Kubakwa?
Je.. BAISKELI ?
Je.. uliparamia JITI likakuchoma?
Je.. je.. je..

Na Je.. aliyekutoa Bikra ndio huyo huyo unae mpaka sasa hivi au alishasepa zake enzi hizo.

Uliskia raha au maumivu kupita kiasi? Hakutumia mate.. mafuta etc?
🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom