Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu edit na uandikeHivi wanawake mbona mnaringa Sana mkishaolewa?
Mfano mdogo tu, mwenzio akiomba mchezo lazima mlete visingizio, Kama sio kichwa kuuma Basi Ni tumbo au kuchoka. Hamuoni kwamba tunashawishika kuwa na michepuko?
Sijawahi kukimbia mdahalo na yeyote JF. Unaota.Uliambiwa ufanye mdahalo na Nyani Ngabu ukakimbia, hapa unatuambia nini tena ndugu, yaani umeshiba futari hapo Daresalama unaanza kutuambia utabishana na yeyote.
Acha hizo, ushakuwa mtu mzima sasa.
Mimi mwenyewe nashangaa nchi hii kwanini inazipoteza fursa za zao la bangi.Tubishane kuhusu uharamu wa bangi kwenye nchi hii....Mimi nasema sio haramu na inafaida kubwa..
Bisha sasa bisha
Nyani NgabuSijawahi kukimbia mdahalo na yeyote JF. Unaota.
NdioHujawacha kula kamasi?
Baada ya kukiandika kichwa cha mada basi maelezo ya mada yasiwe na alama za swali bali jenga hoja zako za kulumbana huku ukikazia kichwa cha mada.Mada
Uliolewa underage?Nipo kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 42 sasa.
Umetisha homieMimi mwenyewe nashangaa nchi hii kwanini inazipoteza fursa za zao la bangi.
Naamini zao la bangi lina faida kubwa sana kwa nchi ikiwa litalahalalishwa.
Sio Nature ni MALEZI Nina mfano dhairi Mimi mwenyewe umenitokea,MADA: CHANGAMOTO YA WANAWAKE KUKOSA KUJIAMINI.
Wanawake tumekua na changamoto ya uoga na kutojiamini ni kitu kama nature...
Kwenye masuala ya muhimu katika jamii
Mfano hapa jf mada karibia zote za muhimu zinazofundisha, zinazoishi kila siku zimeanzishwa na wanaume
Siamini kama wanawake wa humu hatuna mada za madini za kuanzisha kuleta manufaa kwa wengine.
Nini kifanyike kuondokana na changamoto hii katika jamii japo hapa nimetolea mfano kwa wanawake wa jf lakini hili tatizo lipo katika jamii yote.
Tufanye nini kutatua au tuache kama ilivyo liwe suala la nature na tukubaliane nalo?
Maisha ya ughaibuni ukituliza akili unapata pesa nzuri kuliko Tz,hasa ulaya na marekani na korea kusini tofauti na wengi wa ughaibuni wanavotuongopea tusiendeKama kichwa cha habari kinavyosema. yeyote yule, anzisha mada yoyote tulianzishe, wakati wowote.
Karibuni sana. Uwanja wa wazi huu, yeyote anaweza kuchangia na kuingilia mada. Hakuna kanuni rasmi isipokuwa kanuni za JF na za dola ziheshimiwe.
Jibu swali basi.. usijizungushe...Hayo yote ni maswali ambayo huna majibu yake, siyo mada.
Kabla sijakujibu maswali tusafishe njia, Mimi naanza kwa kukuuliza, umeshawahi kumuuliza mama'ko kuhusu bikra yake ilimtoka vipi?
Baada ya kukiandika kichwa cha mada basi maelezo ya mada yasiwe na alama za swali bali jenga hoja zako za kulumbana huku ukikazia kichwa cha mada.
Nahitaji kushiriki hii mada
🤣🤣🤣🤣Jibu swali basi.. usijizungushe...
Je.. ilitolewa kwa Kubakwa?
Je.. BAISKELI ?
Je.. uliparamia JITI likakuchoma?
Je.. je.. je..
Na Je.. aliyekutoa Bikra ndio huyo huyo unae mpaka sasa hivi au alishasepa zake enzi hizo.
Uliskia raha au maumivu kupita kiasi? Hakutumia mate.. mafuta etc?
Wanawake nao watapewa wanaume. Wanawake wataunda kikundi cha watu 72 wanapewa mwanaume mmojaMada ahadi ya mabikra 72 peponi
Je kama wanaume watapewa mabikra 72 kule peponi,wanawake watapewa nini?